- Thread starter
- #201
Tabia zake hazipendezi, injury prone, hawezi kufanya pressingHuyu jamaa Yanga hajapata nafasi ya kutosha tu,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tabia zake hazipendezi, injury prone, hawezi kufanya pressingHuyu jamaa Yanga hajapata nafasi ya kutosha tu,
Alisajiliwa Kisiasa sanaHuyu jamaa Yanga hajapata nafasi ya kutosha tu,
SahihiAlisajiliwa Kisiasa sana
Usajili wa hovyo msimu huu Asec Mimosas hawakuwa na vipaji vya maana ukiondoa Sankara Karamoko tuSerge Pokou to Simba Sc?
Simba in fanbase kubwa mitandaoni taarifa zake zinatrend kutengeneza maokoto kwa magazetiMsimu wa usajili ukiwadia, kila mchezaji utashangaa anahusishwa na simba!
Imagine mpaka Stephane Aziz Kii naye anahusishwa na simba! Lomalisa aliyekejeliwa na simba hao hao wakati anasajiliwa Yanga kwa kuitwa dada Joy/ce; naye eti anahusishwa na simba!!
Walifikaje robo final?Usajili wa hovyo msimu huu Asec Mimosas hawakuwa na vipaji vya maana ukiondoa Sankara Karamoko tu
Walikuwa kwenye Kundi ambalo timu mbili kubwa hazikuwa form.Walifikaje robo final?
Pokou ni top player broUsajili wa hovyo msimu huu Asec Mimosas hawakuwa na vipaji vya maana ukiondoa Sankara Karamoko tu
Hakuna top player wa vile bro kwa nafasi anayocheza hata Ajibu yupo vizuri kuliko huyo PokouPokou ni top player bro
SawaHakuna top player wa vile bro kwa nafasi anayocheza hata Ajibu yupo vizuri kuliko huyo Pokou
😂😂 Kibegi kamuachia nani?Thank you Imman Kajula
Boss usajili hapo unyamani unafanywa na nani?.Manu Lobota
Semaji la Shirikisho liko kimya!😂😂 Kibegi kamuachia nani?