nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Tukizingatia hilo hata Che hapaswi kubaki...Hivi mnatazama kweli mechi au performance ya mchezaji mmoja mmoja. Huyu kachomesha mara ngapi na kugeuka kwake kama ng'ombe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukizingatia hilo hata Che hapaswi kubaki...Hivi mnatazama kweli mechi au performance ya mchezaji mmoja mmoja. Huyu kachomesha mara ngapi na kugeuka kwake kama ng'ombe.
Gwalala ni mzawaGwalala sio mzawa
Ni raia wa nchi gani ?Gwalala sio mzawa
Kaongeza miaka mingapi?Gamondi stays
Anampisha LawiHuyu wangemuacha, huwa anajitahidi
MmojaKaongeza miaka mingapi?
Huyo Lawi bado anajitafuta, hatuwezi amini moja kwa moja kama atajipata au laa hapo Simba.Anampisha Lawi
MkenyaNi raia wa nchi gani ?
Pep Guardiola mnene atampa nafasiHuyo Lawi bado anajitafuta, hatuwezi amini moja kwa moja kama atajipata au laa hapo Simba.
Kuna wachezaji vijana wazawa wengi wanafanya vizuri kwenye timu zisizo na pressure, wakija Simba au Yanga unawakataa. Tena bora Yanga hata nafasi kidogo kidogo wanapewa ila Simba ni tatizo kuvumilia mchezaji anayechipukia.
Kenedy alishajipata, akawa na usitahimilivu wa hali zote, ila kwa vile imeamliwa hivyo, tunamtakia kila la heri huko aendako.
Pep yeye jopo limeridhia abaki?Pep Guardiola mnene atampa nafasi
Mechi za Prisons na Namungo safari hii kiwango chake kimeshika Sana.Hivi mnatazama kweli mechi au performance ya mchezaji mmoja mmoja. Huyu kachomesha mara ngapi na kugeuka kwake kama ng'ombe.
Simba hawako serious kabisa!! Yaani msimu ujao ndio wanategemea mgunda awape ubingwa!! Simba inaonekana imeshapoteana kabisa viongozi hawajui wafanye nini?Pep Guardiola mnene atampa nafasi
Juma Mgunda ni spare tyre. Kocha mpya ni Mreno kutoka timu ya Petro Atletico ya Angola. Na msaidizi wake lazima abakie Selemani Matola.Simba wasiingie mkenge kufata maneno ya wachambuzi naashabiki wa utopolo wakampa mkataba Juma.Mgunda, mechi za Kagera na Namungo.amepoteza point kijinga kwa kukosa mbinu mbadala.
Tangu lini?Mkenya
Tatizo umriHuyo Lawi bado anajitafuta, hatuwezi amini moja kwa moja kama atajipata au laa hapo Simba.
Kuna wachezaji vijana wazawa wengi wanafanya vizuri kwenye timu zisizo na pressure, wakija Simba au Yanga unawakataa. Tena bora Yanga hata nafasi kidogo kidogo wanapewa ila Simba ni tatizo kuvumilia mchezaji anayechipukia.
Kenedy alishajipata, akawa na usitahimilivu wa hali zote, ila kwa vile imeamliwa hivyo, tunamtakia kila la heri huko aendako.
Nilichanganya..ni mtanzania wa visiwaniTangu lini?
Ana asilimia kubwa kubakiPep yeye jopo limeridhia abaki?
Huyo ni mtanzqnia DM wa maana kabisaNilichanganya..ni mtanzania wa visiwani
Huyu jamaa Yanga hajapata nafasi ya kutosha tu,Thank you Augustine Okra