- Thread starter
- #141
Kwenye miaka 22 tena ya Afrika si michacheNi mcheza mdogo striker.
Hadi akubali kucheza shirikisho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye miaka 22 tena ya Afrika si michacheNi mcheza mdogo striker.
Hadi akubali kucheza shirikisho
Acha akacheze mashindano ya taarabu (shirikisho)Kwenye miaka 22 tena ya Afrika si michache
SawaAcha akacheze mashindano ya taarabu (shirikisho)
Ametoka wapi na anacheza namba ngapi mkuuSteven Mukwara anaelekea Simba SC
Ni Striker raia wa Uganda alikuwa anacheza Asante Kotoko ya Ghana kwa misimu miwili msimu huu ndyo mfungaj Bora wa ligi ya GhanaAmetoka wapi na anacheza namba ngapi mkuu
Asante mkuuNi Striker raia wa Uganda alikuwa anacheza Asante Kotoko ya Ghana kwa misimu miwili msimu huu ndyo mfungaj Bora wa ligi ya Ghana
Huu uongozi umekaa vilaza badala ya kusajili wachezaji wa kuziba nafasi wanasajili kwa mtazamo wao.Ivi simba kusajili namba 10 haijawah kua kipaumbele chao toka wawe na Chama miaka yote? Maana mawinga ndo kipaumbele chao kabisa
Nadhani ni Mukwala siyo “Mukwara”Steven Mukwara anaelekea Simba SC
Yeah MukwalaNadhani ni Mukwala siyo “Mukwara”
Namba 9, ni Mganda anacheza GhanaAmetoka wapi na anacheza namba ngapi mkuu
Vipi Agustinho cristovao Paciencia wamefikia wapi ?Pep Guardiola Mnene anaweza kuwa kocha mkuu Simba SC
Waarabu wamembebaVipi Agustinho cristovao Paciencia wamefikia wapi ?
Mkuu hivi unafuatilia mpira!?
Mbona timu ulizotaja msimu huu Yanga alipata tabu kupata matokeo?
Tena kama coastal Yanga anakuja kupata goli dakika za jioni ten goli moja.
Umefuatilia Mpira na Ihefu nusu fainali CRDB?
Umefuatilia game ya ihefu Mbarali ya 2-1 dhidi ya Yanga?
Je hapo upinzani haukuoneshwa??
Embu kuwa reasonable basi mkuu.
Kaenda klabu gani ?Waarabu wamembeba
Mkuu utapata ugonjwa wa moyo bure kwa huo uongozi wa Simba. Pale Kwa Try Again na Mangungu hakuna anayeujua mpira na sajili zao nyingi ni za "youtube" na kudanganywa na mawakala na madalali wao waliopo hapa nchini ambao ni waandishi wa habari za michezo.Huu uongozi umekaa vilaza badala ya kusajili wachezaji wa kuziba nafasi wanasajili kwa mtazamo wao.