Tetesi: Tetesi za usajili ligi kuu Tanzania bara 2024/2025

Tetesi: Tetesi za usajili ligi kuu Tanzania bara 2024/2025

Viongozi wa Simba ni wapuuzi na waongo waongo au tuite matapeli.

Utasikia wanasajili wachezaji "wenye namba nyingi" Gambia,Mauritania,Ushelishi,Madagascar,Rwanda,Somalia na Malawi.

Ukiangalia nchi tu anayotoka mchezaji unachoka akili.
 
Viongozi wa Simba ni wapuuzi na waongo waongo au tuite matapeli.

Utasikia wanasajili wachezaji "wenye namba nyingi" Gambia,Mauritania,Ushelishi,Madagascar,Rwanda,Somalia na Malawi.

Ukiangalia nchi tu anayotoka mchezaji unachoka akili.
Viongoz walewale wa simba ndio wanataka kusajili hao wachezaji🤣, tunapigwa tena
 
Nchi
Viongozi wa Simba ni wapuuzi na waongo waongo au tuite matapeli.

Utasikia wanasajili wachezaji "wenye namba nyingi" Gambia,Mauritania,Ushelishi,Madagascar,Rwanda,Somalia na Malawi.

Ukiangalia nchi tu anayotoka mchezaji unachoka akili.
Nchi siyo shida, shida ni wachezaji ndo maana Kuna Wasomali na Wanyarwanda wanaocheza ligi kubwa
 
Viongozi wa Simba ni wapuuzi na waongo waongo au tuite matapeli.

Utasikia wanasajili wachezaji "wenye namba nyingi" Gambia,Mauritania,Ushelishi,Madagascar,Rwanda,Somalia na Malawi.

Ukiangalia nchi tu anayotoka mchezaji unachoka akili.
Tuwe na akiba ya Maneno.
Hao hao Viongozi na Wachezaji unaobeza ndio Wanafanya Simba iwe Namba 6 kwa Ubora Afrika. Acha kufuata kelele za Wachambuzi wa Mchongo. Hiyo timu inayosemwa bora mbona imeishia Robo kama Simba. Jikubalini timu haina tatizo kubwa kama mnavyoaminishwa.

YANGA anaongoza Ligi kwa Mipango MICHAFU.
1. MECHI YA KAGERA, Yanga alifungwa Kagera akapokwa goli mwamuzi amefungiwa.

2. MECHI YA PRISON, Yanga alikuwa anaenda kupoteza. Ikatolewa RED CARD YA MCHONGO yanga akapata goli. Mwamuzi kapewa Onyo.

3. MECHI YA COASTAL UNION, Yanga alishapotea. Kitasa cha Kati LAMECK Lawi anapewa RED CARD YA KITUKO. Yanga anapata mseleleko. Red card imefutwa na mwamuzi ameonywa.
4. Ni mengi siwez ongea ujinga unaoendelea. Hali hii imeshusha hadhi/Ubora wa Ligi yetu Afrika sote tunajua.

Kwa uchache SIMBA siyo mbaya kihiiiiivo ndio maaana hata mechi ya Juzi ambayo Yanga ameshinda 2-1 unaweza kusema Arajiga 2 Simba 1.
So acheni umbwiga mjue. Simba is next level.
 
Tuwe na akiba ya Maneno.
Hao hao Viongozi na Wachezaji unaobeza ndio Wanafanya Simba iwe Namba 6 kwa Ubora Afrika. Acha kufuata kelele za Wachambuzi wa Mchongo. Hiyo timu inayosemwa bora mbona imeishia Robo kama Simba. Jikubalini timu haina tatizo kubwa kama mnavyoaminishwa.

YANGA anaongoza Ligi kwa Mipango MICHAFU.
1. MECHI YA KAGERA, Yanga alifungwa Kagera akapokwa goli mwamuzi amefungiwa.

2. MECHI YA PRISON, Yanga alikuwa anaenda kupoteza. Ikatolewa RED CARD YA MCHONGO yanga akapata goli. Mwamuzi kapewa Onyo.

3. MECHI YA COASTAL UNION, Yanga alishapotea. Kitasa cha Kati LAMECK Lawi anapewa RED CARD YA KITUKO. Yanga anapata mseleleko. Red card imefutwa na mwamuzi ameonywa.
4. Ni mengi siwez ongea ujinga unaoendelea. Hali hii imeshusha hadhi/Ubora wa Ligi yetu Afrika sote tunajua.

Kwa uchache SIMBA siyo mbaya kihiiiiivo ndio maaana hata mechi ya Juzi ambayo Yanga ameshinda 2-1 unaweza kusema Arajiga 2 Simba 1.
So acheni umbwiga mjue. Simba is next level.
7_2
Ulionewa na refa gani?
Haya Simba mna team bora, tembeeni kifua mbele
 
Hizi sio Tetesi za usjaili Ligi Kuu?? bora ungesema Tetesi la Usajili Simba na Yanga.

We Taarfa Asilimia 99 zinahusu Simba na Yanga halaf unaita Tetesi za Ligi Kuu??

Najua kuna mtu ata nijibu vibaya ila hata wewe angalia kwa akili zako imagine unamsomea mtu kichwa cha habar then unaanza kusoma ndani anasikia Simba na Yanga aslimia 99% zipo hizo tu.

No Taarfa za Ihefu,
No Namungo
No Azam
No Tabora United

And Others halaf Jina la uzi Tetesi za Ligi kuu??
 
Simba Sc inawania Saini ya striker Mzambia Rick Banda
Naona simba inarudia makosa yale yale kusajili strike ambae hata ligi ya nyumbani hayupo kwenye top 10 strikers. Just because ni bei che
 
  • Thanks
Reactions: K11
Hizi sio Tetesi za usjaili Ligi Kuu?? bora ungesema Tetesi la Usajili Simba na Yanga.

We Taarfa Asilimia 99 zinahusu Simba na Yanga halaf unaita Tetesi za Ligi Kuu??

Najua kuna mtu ata nijibu vibaya ila hata wewe angalia kwa akili zako imagine unamsomea mtu kichwa cha habar then unaanza kusoma ndani anasikia Simba na Yanga aslimia 99% zipo hizo tu.

No Taarfa za Ihefu,
No Namungo
No Azam
No Tabora United

And Others halaf Jina la uzi Tetesi za Ligi kuu??
Ni kweli but who cares ihefu na namungo na tabora united wanamsajili nani? Labda azam

We all know liague ya bongo focus iko kwa team mbili simba na yanga
 
Kwaiyo makolo wanataka kusajiri kikosi kizima.!
Uyo kiungo mkabaji anaewindwa na yanga hapo namba 6 ni nani.
Ni tetesi. Ukicheki wachezaji wengi hapo ni mabeki na viungo wakabaji. Yaani simba wanafanya overhaul defence na viungo
 
Back
Top Bottom