Tetesi: Tetesi za usajili ligi kuu Tanzania bara 2024/2025

Tetesi: Tetesi za usajili ligi kuu Tanzania bara 2024/2025

Aziz Ambangile Mwambalaswa
Kwa sasa naona wachezaji wazawa wanakuja kula mafao na kufanya mazoezi basi.

Ligi ikianza wengi hata kwenye mbao ndefu hawatapata nafasi hiyo ya kuikalia.
 
1. Inaelezwa kuwa kiungo wa Young Africans Aziz Ki ameongeza mkataba wa miaka miwili na timu hiyo
2. Klabu ya Azam na Young Africans zinamuwania beki kisiki wa Coastal Union Lameck Lawi
3. Kuna uwezekano winga wa Simba Sc, Aubin Kramo akapelekwa kwa mkopo Zesco United ya Zambia
4. Kiungo mchezeshaji raia wa Gambia, Foday Trawally anaweza kujiunga na Simba Sc kwa mkataba wa miaka 3
5. Beki wa kati wa Asec, Anthony Tra Bi Tra anahusishwa kujiunga na Simba Sc
6. Kiungo mkabaji wa Singida Black Stars anawindwa na Young Africans kuchukua nafasi ya Zawadi Mauya atakayetupiwa virago
7. Kiungo wa Raja AC, Abdelhay Forsy anatakiwa na Simba Sc kwa mkopo
8. Klabu ya Singida Black Stars imemsajili Mlinda lango wa Horoya AC ya Guinea, Mohamed Camara na inakaribia kumnasa beki wa kushoto Imoro Ibrahim
9. Young Africans SC inakaribia kuinasa Saini ya beki wa kushoto kutoka Asec, Frank Zouzou
10. Beki WA kati raia wa Mauritania, Lamin Ba anafatiliwa kwa karibu na Simba SC
11. Henock Inonga anakaribia kujiunga AS FAR ya Morocco kama mambo yatakwenda vizuri
12. Simba SC inaangalia uwezekano wa kumsajili beki wa RS Berkane, Issofou Dayo
13. Simba SC inamfukuzia kiungo mshambuliaji , Augustine Okejepha
14. Derick Fordojou ni mnyama
15. Rodgers Torach, anakaribia kujiunga na SC
16. Mohamed Damaro Camara anafatiliwa kwa ukaribu na Simba SC
17. Daniel Msengani anawaniwa na Simba SC
18. Victorien Adebayor amejiunga na Sungida Black Stars SC
19. Beno Kakolanya, anawindwa Young Africans kuziba nafasi ya Metacha Mnata
20. Striker wa mpira Jean Baleke, anatakiwa na Young Africans
21. Luis Jose Miquissone anatakiwa na APR ya Rwanda
22. Kiungo wa mpira kutoka Coastal union, Greyso Gelard anatakiwa na Young Africans
23. Young Africans wanawania Saini ya Duvan Elenga
24. Simba SC wanamuwinda Flory Yangao
25 Waziri wa raha , Skudu Makudubela bye bye Yanga
26. Simba Sc inamuwania Chance Leroy
27. Ayoub Lakred anahitajiwa na Wydad AC
28. Simba Sc inawania Saini ya striker Mzambia Rick Banda
29. Omar Nahji kuchukua mikoba ya Benchika Simba SC
30. Vilabu Vya Al Qadsia ya Kuwait na Pyramids FC ya Egypt zimeonesha nia ya kuhitaji Huduma ya Fabrice Ngoma wa Simba Sc
31. Golikipa Yona Amos anakaribia kujiunga Young Africans
32. Joshua Mutale anatakiwa kujiunga Simba SC
33. Kelvin Kapumbu anatakiwa Simba SC
34. Gnagna Barry na Mousa Camara wa Horoya AC wanawindwa na Simba Sc
35.Ousmane Drame wa Horoya AC anawindwa na Simba Sc
36. Saidio Kanout, Putin ataondoka Simba Sc
37. Mabululu anatakiwa Simba SC
38. Lameck Lawi anatakiwa Simba SC
38. Frolent Ibenge anaweza kujiunga SC
39. Chadrack Boka ni mwananchi
40. Basiala Agee anahitajiwa na Yanga
41. Aziz Ambangile anahitajika Simba SC kuchukua nafasi ya Abdallah Hamis
Namba 2 na 38 ya kwanza kama sijaelewa
 
Rasmi
 

Attachments

  • EA5A295D-212A-404F-A783-9BB2A0887AC5.jpeg
    EA5A295D-212A-404F-A783-9BB2A0887AC5.jpeg
    1.2 MB · Views: 14
Nguruwe FC wapo kwenye maongezi ya kumuongezea mkataba Mzee Saido!
 
Tuwe na akiba ya Maneno.
Hao hao Viongozi na Wachezaji unaobeza ndio Wanafanya Simba iwe Namba 6 kwa Ubora Afrika. Acha kufuata kelele za Wachambuzi wa Mchongo. Hiyo timu inayosemwa bora mbona imeishia Robo kama Simba. Jikubalini timu haina tatizo kubwa kama mnavyoaminishwa.

YANGA anaongoza Ligi kwa Mipango MICHAFU.
1. MECHI YA KAGERA, Yanga alifungwa Kagera akapokwa goli mwamuzi amefungiwa.

2. MECHI YA PRISON, Yanga alikuwa anaenda kupoteza. Ikatolewa RED CARD YA MCHONGO yanga akapata goli. Mwamuzi kapewa Onyo.

3. MECHI YA COASTAL UNION, Yanga alishapotea. Kitasa cha Kati LAMECK Lawi anapewa RED CARD YA KITUKO. Yanga anapata mseleleko. Red card imefutwa na mwamuzi ameonywa.
4. Ni mengi siwez ongea ujinga unaoendelea. Hali hii imeshusha hadhi/Ubora wa Ligi yetu Afrika sote tunajua.

Kwa uchache SIMBA siyo mbaya kihiiiiivo ndio maaana hata mechi ya Juzi ambayo Yanga ameshinda 2-1 unaweza kusema Arajiga 2 Simba 1.
So acheni umbwiga mjue. Simba is next level.
5imba ni timu tishio barani Africa wanaosema ni mbovu wana wivu
 
Tuwe na akiba ya Maneno.
Hao hao Viongozi na Wachezaji unaobeza ndio Wanafanya Simba iwe Namba 6 kwa Ubora Afrika. Acha kufuata kelele za Wachambuzi wa Mchongo. Hiyo timu inayosemwa bora mbona imeishia Robo kama Simba. Jikubalini timu haina tatizo kubwa kama mnavyoaminishwa.

YANGA anaongoza Ligi kwa Mipango MICHAFU.
1. MECHI YA KAGERA, Yanga alifungwa Kagera akapokwa goli mwamuzi amefungiwa.

2. MECHI YA PRISON, Yanga alikuwa anaenda kupoteza. Ikatolewa RED CARD YA MCHONGO yanga akapata goli. Mwamuzi kapewa Onyo.

3. MECHI YA COASTAL UNION, Yanga alishapotea. Kitasa cha Kati LAMECK Lawi anapewa RED CARD YA KITUKO. Yanga anapata mseleleko. Red card imefutwa na mwamuzi ameonywa.
4. Ni mengi siwez ongea ujinga unaoendelea. Hali hii imeshusha hadhi/Ubora wa Ligi yetu Afrika sote tunajua.

Kwa uchache SIMBA siyo mbaya kihiiiiivo ndio maaana hata mechi ya Juzi ambayo Yanga ameshinda 2-1 unaweza kusema Arajiga 2 Simba 1.
So acheni umbwiga mjue. Simba is next level.

Hoja yako ya timu kunufaika na maamuzi sio haipo kwa Yanga peke yake hata Simba imekuwa ni mnufaika wa maamuzi ya marefarii. Kwa msimu huu Simba na Yanga ni timu ipi ilipata magoli mengi ya penati? Magoli yote ya Saidoo msimu huu yametokana na penati.
Mechi ya Yanga dhidi ya Kagera ni kweli Yanga amepata point 1 kimamosa lakini sitaki kukubaliana nawewe kuwa Yanga walinunua hiyo mechi kwa kuwaonga waamuzi bali Yanga alipata point 1 kutokana na kutokuwa makini waamuzi. Yanga iweze kuimudu Al Ahly, Belouizdad, Medeama na Mamelodi bila mchezo mchafu ina haja gani ya kufanya mchezo mchafu kwa timu ya kawaida kama Kagera?

Mechi ya Yanga vs Prison, mchezaji wa Yanga ndiye aliyetangulia kupata red card, kama ingekuwa kuna mchongo hata kadi nyekundu kwa mchezaji wa Yanga isingetolewa.

Jambo lingine ni kwamba sio timu kuwa pungufu ndio guarantee ya kushinda mechi, timu inaweza kuwa pungufu na kama hauna kikosi chenye ubora unaweza kupata sare au kupoteza pia. Simba imecheza na Mashujaa iliyokuwa pungufu tangu first half je iliweza kushinda? Simba ilicheza na Prisons na kufungwa goli 2 huku mchezaji wa Prisons akitolewa kwa kadi nyekundu.

Yanga wameonewa mechi mbili mfululizo dhidi ya Kagera mechi ya marudiano, kwa kuambiwa offside kila goli huku mechi dhidi ya Mtibwa ikawa na offside ya kituko. Lakini ubora wa Yanga ukaifanya wa score hata kama waamuzi wanalazimisha matokeo yasiwe upande wa Yanga. Lakini upande Simba imegeuka kuwa na udhuru na magoli ya offside, dhidi ya Dodoma jiji Freddy alikuwa yupo eneo la kuotea.

Hakuna timu isiyonufaika na maamuzi ya waamuzi ndio maana huko ulaya wameamua kuweka VAR ilimradi kupunguza makosa ya waamuzi viwanjani
 
Back
Top Bottom