Tetesi: Tetesi za usajili ligi kuu Tanzania bara 2024/2025

Huyo Mukwala mwenyewe sasa ni mchezaji wa maana? .......nikama jina lake tu "Mikwala" hana lolote ni bora hata fred.
Mchezaji wa maana Asante kotoko wasinge muacha bure, wameona hana uwezo ndio maana wakaachana nae.

Msimu ulio isha kwenye ligi ya Ghana kamaliza na goli 14 kwenye mechi 30, idadi hiyo hata George mpole anafikisha.

Huyo Mukwala sijui Mikwala ni wakawaida sana, musitutishie kujamba wakati muna harisha.
 
Duh wewe hata mtoto wako unaweza mpa sumu akiishabikia simba
 
Hapana, ana shida ya goti
Shida yangu wampate Mpanzu n a beki Wa ivory Coast pia waongeze beki wa kushoto wa kimataifa itakua inatosha.

Wakija bongo Yusuph Kagoma au pale cost union kuna mido mzuri pia.

Jobe na onana waende hapa Simba itakua imenyoosha maelezo sasa
 
Shida yangu wampate Mpanzu n a beki Wa ivory Coast pia waongeze beki wa kushoto wa kimataifa itakua inatosha.

Wakija bongo Yusuph Kagoma au pale cost union kuna mido mzuri pia.

Jobe na onana waende hapa Simba itakua imenyoosha maelezo sasa
Beki wa Ivory Coast tayari
Beki wa kushoto wa kimataifa tayari
Mpanzu tayari.
Kagoma tayari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…