Tetesi: Tetesi za usajili ligi kuu Tanzania bara 2024/2025

Kweli wewe ni Mzee wa hovyo kabisa!
Mtu anajiita hivyo ,unategemea maisha yake yatakuaje? Maisha ya kichawi na kimaskini, hata anayoyaongea hayana maana , ni maneno ya kichawi na kimaskini, yan hadi mtu anaamua kujiita hivyo ni kwamba amekata tamaa ya maisha kabisa anataka kufa tu, kama una akili timamu huwezi kujiita hivyo anavyojiita, na zaidi haifai kurushiana maneno na mtu wa sampuli hio,atakuambukiza umaskini, uchawi na kukata tamaa kwake.
Nimemaliza.
 
Saa tano hii tena Simba wanatambulisha mchezaji..eehh sijui nani?
 
Ma fav Player [emoji8][emoji182][emoji8][emoji182]
[emoji881]
[emoji3590][emoji833]. Hapa sasa nina furahaaa!! Huyu uhakikaa.
[emoji91][emoji91][emoji91]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…