OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mo asisikiee hii yule hela zinamuwashaChama ni mrithi wa Azizi Ki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mo asisikiee hii yule hela zinamuwashaChama ni mrithi wa Azizi Ki
Habari nipendazo kuzisikiaMpanzu As Vita kuna taarifa wamemwambia abakie watamlipa mara 3 ya anacholipwa na Simba. Ila alikuwa keshasaini mkataba na malipo kufanyika.
Hii imekaaje?
Ni tetesi?Stephane Aziz Ki has not signed any new contract extension at Yanga till now. 🚨🇧🇫⤵️
Negotiations are still on, the club President confirmed it to Soccer Laduma in South Africa today:
“You know we signed him on a two-years contract and that contract has expired and that means those who are interested in him are talking to him directly. But for us, we are still talking to him and there is nothing finalized yet.”
Understand; Aziz is demanding USD $20,000 before signing any new contract with the reigning champions in Tanzania.
Clubs in North Africa and Saudi as well as South African clubs like Orlando Pirates and Kaizer Chiefs are all monitoring Ki Aziz’s situation.
#AfricanFootball
#Transfers
Simba waachane naye tuu, yasije yakajirudia ya manzokiMpanzu As Vita kuna taarifa wamemwambia abakie watamlipa mara 3 ya anacholipwa na Simba. Ila alikuwa keshasaini mkataba na malipo kufanyika.
Hii imekaaje?
Sawa mchawiHabari nipendazo kuzisikia
Kubaki 50 kuondoka 50Azizi Ki anaondoka?
🤪Mo asisikiee hii yule hela zinamuwasha
Mkuu nani anaweza kukataa sgning fee ya milioni 800+ na mshahara wa milioni 85+ ?Kubaki 50 kuondoka 50
Sisi wenyewe tupo tayari aende, tumnganinie sisi wa nini..?Mkuu nani anaweza kukataa sgning fee ya milioni 800+ na mshahara wa milioni 85+ ?
Agent mwenyewe anataka hela , hawa utoz wanaleta sjui upenzi na ushabiki kwenye hela[emoji23]
Kuna nini eti mkuu mbona naskia kuna kitu kizito kinakuja habar za kushtua[emoji2957]
Wapo watu wanajichanga kutafuta hiyo helaMkuu nani anaweza kukataa sgning fee ya milioni 800+ na mshahara wa milioni 85+ ?
Agent mwenyewe anataka hela , hawa utoz wanaleta sjui upenzi na ushabiki kwenye hela[emoji23]
Lisemwalo lipoKuna nini eti mkuu mbona naskia kuna kitu kizito kinakuja habar za kushtua
Hataki kucheza shirikishoMlete Mpanzu
[emoji23]Wapo watu wanajichanga kutafuta hiyo hela
Haji. Amechagua kubaki.Mlete Mpanzu