King Mswat 11
JF-Expert Member
- May 24, 2023
- 207
- 319
Hii habar imeniumiza sanaAtabaki kwa sababu Mpanzu ni ngumu kuja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii habar imeniumiza sanaAtabaki kwa sababu Mpanzu ni ngumu kuja
Nani sasa?Kosa lingine...
Hapo tungetafuta mzawa mzuri anayewajua hao kina Salim...
tungeachana naye kwanza,,, hawa tulio nao wanatosha sana,,Hii habar imeniumiza sana
Tunahitaji Killer mmoja kule mbele asiye na mbwembwe, Onana mbwembwe Nyingitungeachana naye kwanza,,, hawa tulio nao wanatosha sana,,
Tatizo sio bodi! Ni changamoto ya watu walio kwenye bodi, mfano mtu kama masoud atasaidia nini mtu anatukana mpaka bidhaa za mdhamini wa club just imagine! Yanga itaendelea kuongoza na kuchukua ubingwa kwa muda mrefu! Simba ina viongozi ambao kila mtu anajiona mjuaji na mwisho lazima wafanye sabotage kwa maslahi yao.Uko sahihi lakini kulingana na mchakato wa umiliki unavyozidi kusogea mbele, utaratibu unakulazimu kuwa na bodi na watendaji wengine wenye mamlaka zinazoeleweka. Hapo ndipo ugumu wa kuwa na mtu mmoja anayefanya kazi zote za msingi huja. Bodi ikishakuwepo maana yake Ina mamlaka na Kila mtu atapaswa awe na majukumu yake muwe mmeyapanga nyote na kukubaliana
Pole mkuu. Mpanzu anaenda GenkHii habar imeniumiza sana
Limo jina tumbona ayoub yuko kwenye kikosi
Naonaga Wachezaj wa congo washenzi majivuni mengi, tamaa nyingi na hawana msimamo.Mpanzu kimeishia wapi wakuu.
Naonaga Wachezaj wa congo washenzi majivuni mengi, tamaa nyingi na hawana msimamo.Mpanzu kimeishia wapi wakuu.
Ivi izi hua zinakuaje??Simba inapambana kumpata Philipe Kinzumbi kuziba nafasi ya Mpanzu. Dili ni kama haliwezekani kwani Kinzumbi alishasaini Raja Casablanca. Mchezaji anapambana kuvunjiwa mkataba wake klabu inagoma.
TamaaIvi izi hua zinakuaje??
Mchezaj unasaini kwa haraka alf mwisho wa siku ndani ya wakati mfupu unataka kuondoka?
Dili la kinzumbi kipi kinataka kumuondoa kule? Maana wale wanapesa kibao sanaTamaa
Raja ana njaa kwa sasa.Dili la kinzumbi kipi kinataka kumuondoa kule? Maana wale wanapesa kibao sana