Tetesi: Tetesi za usajili ligi kuu Tanzania bara 2024/2025

Tetesi: Tetesi za usajili ligi kuu Tanzania bara 2024/2025

Hata kama alikuwepo timu siyo mchezaji mmoja,as roma alikufa goli sita bila kwa Liverpool golini akiwa Allison, lakini Liverpool wakamsajili Allison
Mkuu mbona unanijibu swali ambalo sijaliuliza? Nimeuliza kama alikuwepo hayo mengine unayatoa wapi
 
Aliyefungwa 7 na Simba siyo huyu, yule anaitwa Mohammed Camara... Alitemwa ndio akasajiliwa huyu wa sasa ambae Simba wamemchukua.
 
Kibu denis ana frustruations, nachelea kuamini kua aliyokua anayafanya yalikua maamuzi yake binafsi , nahis kulikua na baraka za viongozi sasa yeye kawa mbuz wa kafara tu kuwalinda viongozi.
 
Mmoja kati ya Ayoub Lakred(likely) na Fred Michael Koublan ataondolewa Simba SC kumpisha striker mpya
Kwani si bado kuna nafasi moja ya mchezaji wa kimataifa baada ya Onana kutokuwa sehemu ya kikosi
 
Back
Top Bottom