Tetesi: Tetesi za usajili ligi kuu Tanzania bara 2024/2025

Tetesi: Tetesi za usajili ligi kuu Tanzania bara 2024/2025

Mpanzu ameshatoka dubai kuonana na tajiri yupo dar ni swala la mda tu atatambulishwa
Saivi ni mwendo wa dubei tu. ..kama mutu iko leta shida, yeye iko kuja dubei mara moja elewana na tajiri iko patia yeye pesa baaas che!
 
Ok mkuu hii ndio ipo sawa sasa. Naona safari hii Simba wamekuwa "serious" kiasi fulani ukilinganisha na miaka miwili/mitatu iliyopita ambapo Simba ilikuwa inajua tu kupointi vipaji ila ikifika kusajili wanaenda timu nyingine.

Lakini kamati ya usajili itaharibu kwa kitu kimoja tu nacho ni kuwa nimemsikia Ahmed Ally anapayuka kuwa Fred Funga Funga ndio msaidizi wa Mukwala. Kufeli ndio kutaanzia hapo kwani Mukwala akipata majeraha au kadi timu itakuwa inapoteza ushindi. Kumbuka kwenye mashindano makubwa nafasi za kufunga huwa chache sana sasa kwa Fred Funga funga anayefunga goli moja kwa kila nafasi zaidi ya nne itakuwa majanga.

Kama Simba wamemuacha Luis, Kramo basi wamalizie kabisa na Fred kwani pale mbele panahitajika watu wanaoweza kutumia nafasi kwa ufasaha. Kama hawajapata somo kwenye ligi iliyoisha kuwa magoli mengi ni muhimu basi hawatakaa waelewe ninachokizungumza hapa kuhusiana na kuwa wafungaji wakali angalau wawili wanaojua kufunga bila wasiwasi.
Fred anahitajika kufundishwa kitu flan hivi sasa makocha wanatofautiana unajua katika kumuelekeza mchezaji kitaalam kwenye eneo alilopo kimajukumu,,jobe ndio aondoke ili kusevu pesa ya mshahara wanaweza fanyia jambo lingine la maaana kabisa.
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Mwigulu na wakinga wanahela
Ngoja wenye pesa mwaka huu wapigane vikumbo huko hewani, nyasi ndizo zitaumia,. Ule ujinga wa kusema unachukua ubingwa sjui zimebaki mechi 4 au 5, hautakuepo. Ubingwa naona unaenda kuamuliwa mechi ya mwisho kabisa.
 
Ok mkuu hii ndio ipo sawa sasa. Naona safari hii Simba wamekuwa "serious" kiasi fulani ukilinganisha na miaka miwili/mitatu iliyopita ambapo Simba ilikuwa inajua tu kupointi vipaji ila ikifika kusajili wanaenda timu nyingine.

Lakini kamati ya usajili itaharibu kwa kitu kimoja tu nacho ni kuwa nimemsikia Ahmed Ally anapayuka kuwa Fred Funga Funga ndio msaidizi wa Mukwala. Kufeli ndio kutaanzia hapo kwani Mukwala akipata majeraha au kadi timu itakuwa inapoteza ushindi. Kumbuka kwenye mashindano makubwa nafasi za kufunga huwa chache sana sasa kwa Fred Funga funga anayefunga goli moja kwa kila nafasi zaidi ya nne itakuwa majanga.

Kama Simba wamemuacha Luis, Kramo basi wamalizie kabisa na Fred kwani pale mbele panahitajika watu wanaoweza kutumia nafasi kwa ufasaha. Kama hawajapata somo kwenye ligi iliyoisha kuwa magoli mengi ni muhimu basi hawatakaa waelewe ninachokizungumza hapa kuhusiana na kuwa wafungaji wakali angalau wawili wanaojua kufunga bila wasiwasi.
Ni kweli usemacho ila Simba itaanza kufunga kutokea Kila upande, winga ya kuliwa, kushoto na nyuma ya mshambuliaji. Fred ataachwa Kwa sababu amekuja katikati ya msimu hivyo hakupata camp ya kujiandaa na wenzie, pili ni mfungaji Bora wa Zambia, tatu hatakaa mbali na goli kama zamani kutafuta mipira maana walishaji watakuwepo Kwa Kila angle. Trust me, akipata nafasi ya kucheza goli 10 kwake ni kitu kidogo sana
 
Bro nipo lubumbashi.,kuna mzigo nimekuja kuushusha hapa nilipo c mbali sana na timu ya tp mazembe ....
C nikajikuta naenda maeneo yale huku nikisubili wamalize kushusha.....
Nika muulizia mpanzu,,,allooooooh !
Kama tukimpata uko mji darslam watu hawatoleta timu uwanjani siku ya ngao
Ha ha haa
 
Ligi ikianza zile kelele za Mangungu tuachie timu yetu hazihitajiki humu.
Kwasasa munajikubali utadhani munatimu iliyo na muunganiko, kumbe ndio kwanza muunaanza kujikusanya!
Bahati nzuri maduka yenu yote tumeyafyeka kwenye timu yetu. Mwaka huu hamna chenu .

Ni mwaka ambao kila tundu lililopo kwenye mwili wa Amfibia litakuwa likitoa milio ya fwiii! na pwiii!
 
Back
Top Bottom