Mimi kama shabiki wa Yanga natamani kuona huyu jamaa asivae jezi ya Simba msimu ujao, hii taarifa imenikosha sana.Dili limeingiliwa na Waturuki wa Vita, lolote linawezekana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi kama shabiki wa Yanga natamani kuona huyu jamaa asivae jezi ya Simba msimu ujao, hii taarifa imenikosha sana.Dili limeingiliwa na Waturuki wa Vita, lolote linawezekana
Sawa.Mimi kama shabiki wa Yanga natamani kuona huyu jamaa asivae jezi ya Simba msimu ujao, hii taarifa imenikosha sana.
Bro nilikuambia kuhusu mpanzu unaona sasaNi rasmi Sasa Chamou Karaboue, mashine ya zege ni mnyama
Bado badoBro nilikuambia kuhusu mpanzu unaona sasa
Me naona kuna watu wanaomba hili dili lifeli ....uyu mtu akijaaaaaah..Bado bado
Mimi kama shabiki wa Yanga natamani kuona huyu jamaa asivae jezi ya Simba msimu ujao, hii taarifa imenikosha sana.
@paco anthony ndugu kwenye kila penye kutakiwa mafanikio lazima lazima kuwe na WACHAWI....hapa ni Mungu tu afanye kazi yake.Me naona kuna watu wanaomba hili dili lifeli ....uyu mtu akijaaaaaah..
Yaaan bro we acha tu....huyyu mpanzu akijaaaa watu watakuwa wanabana pumbu kila akiwa na mpira@paco anthony ndugu kwenye kila penye kutakiwa mafanikio lazima lazima kuwe na WACHAWI....hapa ni Mungu tu afanye kazi yake.
Usikute Uto wapo kwa mganga wanaroga isiweMe naona kuna watu wanaomba hili dili lifeli ....uyu mtu akijaaaaaah..
Acha dharau, hawatumii waganga wale, muulize hata Mayele.Usikute Uto wapo kwa mganga wanaroga isiwe
Hawa wanaweza hata kumwaga damu ili tu simba isifanikiwe.Usikute Uto wapo kwa mganga wanaroga isiwe
YeahMe naona kuna watu wanaomba hili dili lifeli ....uyu mtu akijaaaaaah..
😂Hawa wanaweza hata kumwaga damu ili tu simba isifanikiwe
Sio usikute ...kwan ushirikina c mpaka ukae kilingeniUsikute Uto wapo kwa mganga wanaroga isiwe
Tulikuwa tuishalala, tumemsajiri nani ?Mpo kimy wakuu usajili wa saa6 hamjauona
Huyo Hamza ni mwasibu wa JF. 😀😃😄😁Timu itakuwa na kasi sana
ila Huyo Hamza ni nani?
Tumemsajili Mangungu mkuu.Tulikuwa tuishalala, tumemsajiri nani ?
Tumemsajiri nani ?
Walivyo serious unaweza jua ni makocha wa maana kumbe wametoka kufundisha ligi daraja la 6C kule South AfricaView attachment 3035777Nimependa Matola anendelea kuwa kocha Msaidizi.
Vipi, Debora humsubiri?Namsubiri Elias Mpanzu.