- Thread starter
- #781
Vita anacheza mashindano gani?Hataki kucheza shirikisho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vita anacheza mashindano gani?Hataki kucheza shirikisho
Usajili haujaishaHaji. Amechagua kubaki.
Usajili umeshaisha. Tumemaliza.
Tuendelee na mambo mengine.
Leo ni nusu fainali EURO.
Wamemsajili au wameangukia pua?Yanga wakimsaini yule dogo Mtasingwa, nitawakubali sana. Dogo ana kitu adimu sana kwenye eneo la kiungo mkabaji.
Acha uoga, Yanga hatuna interest nae.Bado hapa Kuna vichekesho. Mchezaji hadi sasa yuko Ulaya ya Tanga. Wenye naye wanasema wanamtafutia Passport aende Gent ya Ubelgiji. Ofa ya Gent ni dollar laki moja na kipengele Cha asilimia kadhaa wakimuuza. Ngoja tuone kama ataripoti mazoezini Kwa Coastal Union. Hata Jangwani panaweza kuwa ndo Ulaya
Wapi wamesema?Nimefurahi Aziz andambwile ku sign Yanga..
Kwenye App ya yanga nimeangalia dakika kama 20 zilizopita...Jamaa anajua sana boli, Aucho kapata msaidizi,..Wapi wamesema?
Kumaanisha?Next is Simba Somba
Onana sijui alikua ndo uchezaji wake, au alivyokuja bongo sifa zikazid akaanza kucheza kama ndo Star man wa Timu?Next is Simba Somba
Wapi wamesema?
Ila mkuu nimecheka kitu kimoja, hii nchi unaweza kuwaendesha watu asilimia kubwa kwa usanii na wakakuamini,Next is Simba Somba
True....anawachezea akili tuIla mkuu nimecheka kitu kimoja, hii nchi unaweza kuwaendesha watu asilimia kubwa kwa usanii na wakakuamini,
Injinia wa mchongo anadanganya watu kwenye media kua aziz hajasain bla bla kibao, kumbe jamaa alishasain bwaba, anatafuta namna badae aonekane mkombozi kwa wanachama wa yanga kwamba amemwini jamaa asaini mbele ya timu kubwa za kaskazini na kusini mwa afrika ili aendelee kukalia kiti cha urais na kula pesa za yanga vizuri..[emoji23]
Hizi zote mbwbwe tu ,,, injinia wa mchongo anataka.kuonekana kama masiah..
Kuna uwezekano akatambulishwa JS Kabylie ya AlgeriaNi rasmi Sasa, Sadio Kanoute ameondoka Simba SC
Usajili haujaishaKwahio lawi kaamua kubaki tanga aogeshwe kwenye karai na wamama wa kitanga sio...kila la heri kwake.