- Thread starter
- #821
Mmoja au wawiliNani kabaki kwani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmoja au wawiliNani kabaki kwani?
Tufunge usajiri mbona wanatoshaJonathan Alukwu anafukuziwa na Simba SC kama dili la Elie Mpanzu litafeli
Huyu niliskiaga atakuja Yanga mwaka janaImoro Inrahim ni mali ya Singida Black stars
Hata wewe kama una dread usiite msimbazi. Watakuteka na kukisajili kwa nguvu. Jamaa wamepaniki kuondoka kwa chama, sasa wanaokatiza kila anayepita mbele yao.Tufunge usajiri mbona wanatosha
Msajlini na cocastic Sasa maana kila anayepita mbele yenu mnamsajili.Jonathan Alukwu anafukuziwa na Simba SC kama dili la Elie Mpanzu litafeli
Jamaa naye ni timu kataa ndoa nini? Maana umempamba kweli.Bonge moja la signing.
Mkuu hayo ndio maumivu ya makolo tuliyokua tunayataka,juzi na jana walishaanza kudanganyana kuhusu ki 😂,maumivu waliyonayo leo usipimeHizi hasira za kutaka kutawala maisha ya watu hazitakifikisha kokote zaidi ya kukuumiza moyo. Hivi unajuaje kama amepewa pesa zinazolingana na mshahara huo nje ya Zilizoandikwa? Hakuna palipoandikwa amesaini Kwa masharti gani lakini mwenzetu umetokwa povu utadhani umechukuliwa mke?
Mimi nakaribia kuoa alafuJamaa naye ni timu kataa ndoa nini? Maana umempamba kweli.
Naona umeumia sana mkuu.kati ya vitu vya kijinga kuwah kutokea kwenye dunia ya mpira ni mchezaji kuacha pesa na kufata ushabiki wa timu [emoji1][emoji23][emoji706]
Vipi balekeAziz alisaini mapema kabla ya hata ligi kuisha. Yanga waliamua kukaa kimya. Aziz asingeiacha hiyo ofa kama angekuwa hajasaini. Ndo maana kwenye mkeka huu wa tetesi, tetesi namba moja ni ya Aziz kusaini miaka miwili Yanga
BadoVipi baleke
Mkuu hizi taarifa kuwa Simba wamepeleka ofa ndogo kwa Mpanzu ndio maana anasuasua je kuna ukweli wowote au redio mbao tu zinazusha?Jonathan Alukwu anafukuziwa na Simba SC kama dili la Elie Mpanzu litafeli
Nilikwambia hili dili lazima togwa liingie inzi, .....Jonathan Alukwu anafukuziwa na Simba SC kama dili la Elie Mpanzu litafeli
Hakuna ukweli. Mchezaji aanadai kabaki na mkataba wa miezi minne klabu inadai ana mwaka mmoja hivyo Kuna mgogoroMkuu hizi taarifa kuwa Simba wamepeleka ofa ndogo kwa Mpanzu ndio maana anasuasua je kuna ukweli wowote au redio mbao tu zinazusha?
Bado mkuu, Mpanzu anaweza kutangazwa mwishoni kabisa baada ya watu kumtangaza BalekeNilikwambia hili dili lazima togwa liingie inzi, .....
Ila yuko Avic townVipi baleke
Ila msimu wa 24/25 utakua bora sana kwa ushindani huu mana timu zinashusha vifaa tuIla yuko Avic town
Amesinya😁Bado mkuu, Mpanzu anaweza kutangazwa mwishoni kabisa baada ya watu kumtangaza Baleke
Duu. Bosi ajilipue tu anunue huo mkataba wa mwaka mmoja hata kama As Vita wanadanganya. Huyo mchezaji wakimkosa sasa hivi basi msimu ujao hashikiki gharama yake itakuwa kubwa sana.Hakuna ukweli. Mchezaji aanadai kabaki na mkataba wa miezi minne klabu inadai ana mwaka mmoja hivyo Kuna mgogoro