Muuza Viat
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 2,826
- 7,388
Jazba hizoooooooooMlete mumeo aje awavushe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jazba hizoooooooooMlete mumeo aje awavushe
Huyo hatapata namba, atakufa kiwango kimyakimya kama vijana wengine walioko Simba akina Mohamed, Hamis, Duchu, Hussein Abel, Abdallah Riziki,Jimson Mwanuke n.k.Golden boy Chasambi....jamaa anajua mpaka anajua tena. Ni muda mrefu simba tumekosa mbadala wa chama katika kuhakikisha strikers wanapata assists za kutosha .
Awamu hii mmesajili hapo Simba vyuma vingapi vyenye hadhi ya CAF CL,?.Mchezaji mzuri anaonekana toka mwanzo
Aje atupe muongozo sisi mashabiki, wanachama na wapenzi wa timu hii kubwa barani africaHichilema karibu kiongozi wa Simba uje uwatoe dukuduku juu ya yale mliyoamua hapo klabuni kuhusu usajili wa dirisha dogo
Sankara na yanga hii imek
50/50
😀Aje atupe muongozo sisi mashabiki, wanachama na wapenzi wa timu hii kubwa barani africa
Usajili ni kamali.Awamu hii mmesajili hapo Simba vyuma vingapi vyenye hadhi ya CAF CL,?.
Au bado mnajitafuta baada ya ubabaishaji wa awali wa kuleta akina Manzoki ili mpate kura?.
Mimi nimestaafu kuishangilia Simba hadi pale itakapofanya mambo yanayoonekana kwa vitendo, ninailinda afya yangu nisijekufa kwa pressure.
Ondoa Man utd mkuuHata Ulaya na Uarabuni kuna timu nyingi viongozi wanaingilia makocha e.g United, Belouzdad, Ahly etc
Nasikia wakala wake kachomoa,Ranga Chivaviro Jangwani kwa mkopo
Kwemaaa,
Kuelekea dirisha dogo la usajili 15 . 12. 2023 kufungulia Nini maoni YAKo wewe mwana Simba mwenzangu tusajili maeneo gani kuboresha kikosi chetu?
Unapendekeza Ni wachezaji gani na gani unatamani Simba iwaache kwa haraka Sana hata bila kupepesa macho na ukitoa na sababu itakuwa vizuri Sana.
Binafsi eneo la msingi ambao wengi tunalijua ni kiungo mkabaji, tunahitaji mtu tough, mwenye nguvu, pumzi na ambae Hana majeraha ya mara kwa mara, na mwisho mwenyewe experience na awe na umri wa kuridhisha ( sio tunamtumia msimu mmoja Alafu tunaanza kuhangaika Tena )
Nawasilisha
Uko sahihi.
kwa nini niiondoe?Ondoa Man utd mkuu
Kumanioko mwenyeweSpecial Kumanioko to you! JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala you!
Tuliza kishundu dada uzae salamaJazba hizooooooooo
Jazba hizoooooooooTuliza kishundu dada uzae salama