7. Kiungo Mika Miche kutoka Lupopp anahusishwa na Simba SC
8. Bonaventure Bonito kiungo mshambuliaji kutoka Senegal anahisishwa na Yanga
9. Mlinzi Kelvin Kijili was Singida Fountain Gate anahusishwa na Simba SC
9. Simba SC inahusishwa na winga Kutoka Nigeria Jonathan Alukwu
10. Metacha Mnata anatakiwa na Geita Gold
11. Hernest Malonga -Diables Noirs to Simba Sports Club
12. Mohamed Mustapha -El Merriekh to Azam FC
13. Faris Ondongo kutoka AS Otoho anahitajika na Singida Fountain Gate
14. Striker Mcameroon Leon Ateba anatakiwa na Yanga
15. Simba SC inahusishwa na mchezaji raia wa Colombia Mauricio Cortes
16. Salehe Masoud kutoka JKU amesinya Simba SC
17. Augustine Okra ni mwananchi
18. Cesar Lobi Manzoki anahitajika msimbazi
19. Simba SC inahusishwa na kiungo wa Ittihad Tanger Madicke Kane
20. Striker Mzimbabwe, Michael Chalamba kutoka Chicken Inn ya Zimbabwe anakaribia kujiunga na Simba Sc
21. Simba SC inamfukuzia winga was Tanzania Prisons Edwin Barua
22..Yanga inafikiria kumtoa Jesus Morocco kwa mkopo Singida FG
23.. Winga wa As Maniema ya DRC anakaribia kujiunga na Young Africans
24. Gamba Idd kutoka JKU amejiunga na JKT
25. Babacar Sarr ni mnyama
26. Golikipa raia wa Burundi, Justine Ndikumana amejiunga na Mtibwa Sugar
27. Charles Ilanfya, Rashid Juma kutoka Ihefu pamoja na Nasoro Kapama kutoka Simba wamejiunga Mtibwa Sugar
28. Simba SC inawania saini ya kiungo mshambuliaji raia wa Gambia, Babou Cham
29. Winga kutoka Maniema, Basiala Agee anahitajika na Young Africans