Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee! Jamaa kakukosea nini!?Special Kumanioko to you! JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala you!
Nyakati zina_change. Barcelona wenyewe TU La_Masia yao imeshindwa kuwabeba.Unaizungumzia ulaya gani hii ya kina Teh Hag na Pochetino ambao mpaka sasa bado ni makocha au ulaya nyingine. Unaziona Liver na Arsenal leo zipo pale sababu,wamewapa uhuru makocha,Guardiola ndio kabisa hataki kuingiliwa.
Bongo hizi timu kubwa hamna hata mmoja ambayo ina project za muda mrefu kwa vijana ndani ya timu yao.
Simba ya Kibadeni na Julio walijaribu ila baada ya kuona mafanikio yanachelewa wakaachana na programs ya vijana.
Bongo kinacho tushindwa ni kimoja uvumilivu ,viongozi na mashabiki wote sio wavumilivu, ubaya zaidi kiongozi nae anakuwa na akili kama za shabiki maandazi za kumpa presha kocha.
Al Ahly hao unawaona,kuna wachezaji wengi wanapandishwa toka timu yao ya vijana,kwenye michuano yao ya vijana hawa okotezi vijana mitaani kama kwetu.
Kwani Barca kuna maingizo mangapi ya vijana wadogo kwenye timu yao ya wakubwa....Nyakati zina_change. Barcelona wenyewe TU La_Masia yao imeshindwa kuwabeba.
Huyu kwakweli simfaham kabsaJonathan alukwu,huyo jamaa ni moto wa kuotea mbali
Kuanzia kesho au keshokutwa wataanza kutangazaTunaomba tetesi za msimbazi, naona hadi sasa kupo kimya sana
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Ngoja tusubiri tuoneKuanzia kesho au keshokutwa wataanza kutangaza
Barca inapita ktk wakati mgumu sana kiuchumi na kipindi hikihiki kigumu, hujawahi iona Barca ikifanya vibaya La Liga, zaidi ya 60 to 70 percent timu imejengwa na La Masia, ndo wamebeba La Liga na ndio wanaisumbua Madrid na Atletico huko Spain.Nyakati zina_change. Barcelona wenyewe TU La_Masia yao imeshindwa kuwabeba.
Watamlipa pesa ngapi au nae ni garasaSimba wanamtaka winga Raia wa Peru
Miquison analipwa million 40Watamlipa pesa ngapi au nae ni garasa
Kwa kazi gani anayotufanyia zaidi ya kufuga kitambi!Miquison analipwa million 40
Milioni 40! Kwa kipi anachofanya yule mmakonde, si bora hata waboreshe maslahi ya kibu D.Miquison analipwa million 40
Huyo Karamoko akija Yanga, atatusaidia sana. Kuhusu Msuva, sina wasiwasi naye. Bado ana uwezo wa kuisaidia Yanga kwenye mechi za ndani, na pia zile za Kimataifa.Sankara Karamoko - yanga