Sijaona popote kwenye vyanzo, vikionesha kuwa ametokea Monastir bali hakuwa na timu kwanzia msimu wa 2020Babakar Starr kiungo mkabaji raia wa Senegal kutoka US Monastir ya Tunisia kama nilivyosema hapo awali amewasli bongoland na tayari ni mnyama
Sio huyu mkuu umechanganya mafile, Babacar Sarr wapo wawili huyo mwenye miaka 32 aliyewahi kuchezea Molde sio aliyesajiliwa na Simba Sc,Babacar Sarr aliyesajiliwa na Simba ana miaka 26 na kabla ya kusajiliwa Simba Sc alikuwa akiitumikia miamba ya Tunisia Us MonastirSijaona popote kwenye vyanzo, vikionesha kuwa ametokea Monastir bali hakuwa na timu kwanzia msimu wa 2020View attachment 2863588View attachment 2863590
😀Sijaona popote kwenye vyanzo, vikionesha kuwa ametokea Monastir bali hakuwa na timu kwanzia msimu wa 2020View attachment 2863588View attachment 2863590
Daaah imebidi nicheke tu hahahahahaSijaona popote kwenye vyanzo, vikionesha kuwa ametokea Monastir bali hakuwa na timu kwanzia msimu wa 2020View attachment 2863588View attachment 2863590
Hapo sawa. Ila inaonekana kacheza kwa kipindi kifupi sana Monastir July-November 2023. Ishu ni nini?Sio huyu mkuu umechanganya mafile, Babacar Sarr wapo wawili huyo mwenye miaka 32 aliyewahi kuchezea Molde sio aliyesajiliwa na Simba Sc,Babacar Sarr aliyesajiliwa na Simba ana miaka 26 na kabla ya kusajiliwa Simba Sc alikuwa akiitumikia miamba ya Tunisia Us Monastir
Majina yanafanana hadi uraia, nimewachanganyaSio huyu mkuu umechanganya mafile, Babacar Sarr wapo wawili huyo mwenye miaka 32 aliyewahi kuchezea Molde sio aliyesajiliwa na Simba Sc,Babacar Sarr aliyesajiliwa na Simba ana miaka 26 na kabla ya kusajiliwa Simba Sc alikuwa akiitumikia miamba ya Tunisia Us Monastir
Nitajie timu bora unayoijua isiyofanyisha wachezaji majaribio. Tuongee kwa fact si mihemko ya redioni
Mchezaji hata kuandika anashindwa, kuna kitu kweli hapo. Ona alivyoshika peni akisaini huo mkataba wake.
Hajaja kwenye mashindano ya kuandika insha.Mchezaji hata kuandika anashindwa, kuna kitu kweli hapo. Ona alivyoshika peni akisaini huo mkataba wake.
Kama kupunguza shobo ni ngumu basi ficheni hata ujinga tuMchezaji hata kuandika anashindwa, kuna kitu kweli hapo. Ona alivyoshika peni akisaini huo mkataba wake.
Kwenye Ulimwengu wa soka wa Kisasa haiwezekani "kumtimua" mchezaji, labda useme kavunjiwa mkataba wake. Mchezaji wa kulipwa hatimuliwi kama ilivyo kwenye ridhaa.Nassoro Kapama katimuliwa Simba SC
Unalipwa afu unaambiwa poteaKwenye Ulimwengu wa soka wa Kisasa haiwezekani "kumtimua" mchezaji, labda useme kavunjiwa mkataba wake. Mchezaji wa kulipwa hatimuliwi kama ilivyo kwenye ridhaa.
Huu ni uzi maalumu wa kupeana updates za usajili wa dirisha dogo unaotazamiwa kufunguliwa tarehe 15.12.2023. Karibu
1. Ladack Juma Chasambi ni mwekundu wa Msimbazi akitokea Mtibwa Sugar
2. Beki wa Yanga raia wa Uganda Gift Fred anahusishwa kuhitajika na Klabu ya Arab Contractors ya Misri kwa mkopo
3. Klabu ya Yanga wanaangalia uwezekano wa kumpata mshambuliaji wa Dynamo Doula , Leonel Ateba (24) .
4. Inaelezwa kuwa, Azam FC inaweza kufanya usajili wa Mlinda Lango kutoka nchini Kenya na klabu ya AFC Leopards Levis Opiyo ili kuimarisha eneo lao hilo ambalo kwa sasa Ali Ahmada, Zuber Foba na Abdulai lddrisu hakuna mwenye uhakika wa namba.
Opiyo msimu uliopita akiwa na AFC Leopards, alibeba Tuzo ya Kipa Bora katika michuano ya Mozzart Bet Cup, huku kwenye Ligi Kuu ya Kenya, akishika nafasi ya pili kwa waliokusanya clean sheet nyingi akiwa nazo 16, kinara alikuwa na 17.
4. Henock Inonga Baka anatakiwa na RS Berkane ya Morocco
5. Simba SC inawania saini ya kiungo Msenegali Sidy Sarr
5. Daniel Adrian mlinzi wa kulia kutoka Ghana ni mali ya Geita Gold
6. -Klabuya Simba sc wamefikia makubaliano ya kumsajili Eric Mbangossoum kutoka Union Touarga Sportiff,
-Vyanzo vya habari kutoka Moroco vinathibitisha kuwa wamekubali Simba sc kulipa zaidi ya $235,000 tu kama ada ya uhamisho.
30. Simba SC inafikiria kuachana na wachezaji wake. Shaban Chilunda, Steven Mwanuke, Ahmed Feruz, Abdallah na Nassoro Kapama7. Kiungo Mika Miche kutoka Lupopp anahusishwa na Simba SC
8. Bonaventure Bonito kiungo mshambuliaji kutoka Senegal anahisishwa na Yanga
9. Mlinzi Kelvin Kijili was Singida Fountain Gate anahusishwa na Simba SC
9. Simba SC inahusishwa na winga Kutoka Nigeria Jonathan Alukwu
10. Metacha Mnata anatakiwa na Geita Gold
11. Hernest Malonga -Diables Noirs to Simba Sports Club
12. Mohamed Mustapha -El Merriekh to Azam FC
13. Faris Ondongo kutoka AS Otoho anahitajika na Singida Fountain Gate
14. Striker Mcameroon Leon Ateba anatakiwa na Yanga
15. Simba SC inahusishwa na mchezaji raia wa Colombia Mauricio Cortes
16. Salehe Masoud kutoka JKU amesinya Simba SC
17. Augustine Okra ni mwananchi
18. Cesar Lobi Manzoki anahitajika msimbazi
19. Simba SC inahusishwa na kiungo wa Ittihad Tanger Madicke Kane
20. Striker Mzimbabwe, Michael Chalamba kutoka Chicken Inn ya Zimbabwe anakaribia kujiunga na Simba Sc
21. Simba SC inamfukuzia winga was Tanzania Prisons Edwin Barua
22..Yanga inafikiria kumtoa Jesus Morocco kwa mkopo Singida FG
23.. Winga wa As Maniema ya DRC anakaribia kujiunga na Young Africans
24. Gamba Idd kutoka JKU amejiunga na JKT
25. Babacar Sarr ni mnyama
26. Golikipa raia wa Burundi, Justine Ndikumana amejiunga na Mtibwa Sugar
27. Charles Ilanfya, Rashid Juma kutoka Ihefu pamoja na Nasoro Kapama kutoka Simba wamejiunga Mtibwa Sugar
28. Simba SC inawania saini ya kiungo mshambuliaji raia wa Gambia, Babou Cham
29. Winga kutoka Maniema, Basiala Agee anahitajika na Young Africans