Teua-Tengua, nyingine itakuja tu ndani ya miezi miwili ijayo!

Teua-Tengua, nyingine itakuja tu ndani ya miezi miwili ijayo!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Sasa wapiga kura, wananchi, walipa kodi, tumeanza kujua kiini cha Teua-Tengua zinazoendelea kila baada ya miezi miwili au mitatu.

Wengi wanaokumbwa si kwamba hawafanyi kazi, la hasha!

Wengine si kwamba ni wabadhirifu, la hasha!

Inavyoelekea, hizi Teua-Tengua msingi wake ni mmoja tu- kuhakikisha hakuna mwenye mtaji wa urafiki, fedha na ushawishi, anajitengenezea mfumo, au mtandao wake wa 2025!

Hivyo Teua-Tengua zitaendelea, ili nyie wenye macho kudu kwa kiti cha Urais, 2025, mahesabu yenu yasikae sawa.

Ni maoni yangu!
Sijui nami nigombee?
 
Huwezi kusikia huyu maza ametengua watu kutoka Tanga, Pwani na Zanzibar ndiyo ujue maza ni mdini kupita kiasi
Screenshot_20231231-153711.png
 
Inavyoelekea, hizi Teua-Tengua msingi wake ni mmoja tu- kuhakikisha hakuna mwenye mtaji wa urafiki, fedha na ushawishi, anajitengenezea mfumo, au mtandao wake wa 2025!
Makonda alikuwa anajijenga mwenyewe na kumponda bosi wake. Hivyo ilikuwa ni lazima atenguliwe.

Lkn pia akili ya Makonda ni ndogo, si mzuri wa kuchanganua na kupambanua mambo kutokana na muktadha, mahala, na kwa nafsi aliyo nayo. Atafeli mara nyingi Sana.
 
Aliyewapa katiba na wao kutufanyia maigizo ndio wakualaumiwa.

Maana inatumika vibaya
 
binafsi nime-bet kuhusu makonda, soon ataanza kuitawala arusha kimuhemuko kupitia matukio akidhani itamjenga kisiasa kumbe itazidi kumuharibia.
 
Eti anasema makonda amefanya kazi nzuri, amekichemsha chama
Ko wanamtoa ili iweje? Kizime tena

Huu ni unafki na udhalilishaji wa waziwazi, kwamba mnamtumia mtu kwa faida binafsi na kumuhamisha bila sababu za msingi
 
Sasa wapiga kura, wananchi, walipa kodi, tumeanza kujua kiini cha Teua-Tengua zinazoendelea kila baada ya miezi miwili au mitatu.

Wengi wanaokumbwa si kwamba hawafanyi kazi, la hasha!

Wengine si kwamba ni wabadhirifu, la hasha!

Inavyoelekea, hizi Teua-Tengua msingi wake ni mmoja tu- kuhakikisha hakuna mwenye mtaji wa urafiki, fedha na ushawishi, anajitengenezea mfumo, au mtandao wake wa 2025!

Hivyo Teua-Tengua zitaendelea, ili nyie wenye macho kudu kwa kiti cha Urais, 2025, mahesabu yenu yasikae sawa.

Ni maoni yangu!
Sijui nami nigombee?
Binafsi namuona Mteuzi na mtenguzi hayupo competent na washauri wake wana mmislead.
 
Kati Ya Samia na Wiliam Ruto nani katangulia kushika madaraka ya urais?
Je Ruto bado naye anatengua tengua km mama wa Mipasho?
 
Sasa wapiga kura, wananchi, walipa kodi, tumeanza kujua kiini cha Teua-Tengua zinazoendelea kila baada ya miezi miwili au mitatu.

Wengi wanaokumbwa si kwamba hawafanyi kazi, la hasha!

Wengine si kwamba ni wabadhirifu, la hasha!

Inavyoelekea, hizi Teua-Tengua msingi wake ni mmoja tu- kuhakikisha hakuna mwenye mtaji wa urafiki, fedha na ushawishi, anajitengenezea mfumo, au mtandao wake wa 2025!

Hivyo Teua-Tengua zitaendelea, ili nyie wenye macho kudu kwa kiti cha Urais, 2025, mahesabu yenu yasikae sawa.

Ni maoni yangu!
Sijui nami nigombee
Kunatubika billions of money kwennye hizi teuzi
 
Back
Top Bottom