Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
SiijuiUnaijua madhabahu ya Tanga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SiijuiUnaijua madhabahu ya Tanga?
Kwanza tujue wale wote wanaoiota nafasi ya Urais kwa sasa.Kwani kiranja mkuu kisha kuonyesha nia ya kuwania urais?
Hunaga hoja. Una wivu wa kimaku sana.Hata mumeo naye yupo hivyo
Kuna Mwanajamiimii mwenzetu humu ndani alisema waswahili ni wanafiki,wanachoongea siyo wanachomainisha tofauti na wa baraEti anasema makonda amefanya kazi nzuri, amekichemsha chama
Ko wanamtoa ili iweje? Kizime tena
Huu ni unafki na udhalilishaji wa waziwazi, kwamba mnamtumia mtu kwa faida binafsi na kumuhamisha bila sababu za msingi
Good morning kigoli wetuKumekuchaaaaa!!!
Acha kumfananisha Ruto na vitu vya kijinga.Kati Ya Samia na Wiliam Ruto nani katangulia kushika madaraka ya urais?
Je Ruto bado naye anatengua tengua km mama wa Mipasho?
Ruto ni smart na yuko focused halafu pia kenya na Tz ni nchi tofauti kabisa.kenya hakuna longo longo si unaona madaktari walivyokaza?Na sasa wameungana na macrinicians kuweka misimamo zaidi.sisi wabongo ni sawa na nyumbu tu tunakimbia kimbia bila kujua tunaelekea wapi.Kati Ya Samia na Wiliam Ruto nani katangulia kushika madaraka ya urais?
Je Ruto bado naye anatengua tengua km mama wa Mipasho?
Ni HOFU tu,Kwani kiranja mkuu kisha kuonyesha nia ya kuwania urais?
Ni masikitiko makubwa, au watu wa kada ya Pwani wasiwe wanapewa kampuni au ni udhaifu wa mother tu?Ruto ni smart na yuko focused halafu pia kenya na Tz ni nchi tofauti kabisa.kenya hakuna longo longo si unaona madaktari walivyokaza?Na sasa wameungana na macrinicians kuweka misimamo zaidi.sisi wabongo ni sawa na nyumbu tu tunakimbia kimbia bila kujua tunaelekea wapi.
Wengine tumejiajiri mkuu, hapo inakuwaje?Ni HOFU tu,
Hujawahi kuwa ofisi Moja na kiongozi wako ambaye unamzidi uwezo?
Wewe tulia tu, hata hapo ulipo huna kazi waweza kutenguliwa!Wengine tumejiajiri mkuu, hapo inakuwaje?