Teuzi mbalimbali kujaa majina ya watoto wa viongozi na vigogo Serikalini kama taifa tunaelekea wapi?

Teuzi mbalimbali kujaa majina ya watoto wa viongozi na vigogo Serikalini kama taifa tunaelekea wapi?

Undava King

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2017
Posts
3,422
Reaction score
5,659
Nipo nawaza tu kama mwanangu nae ipo siku mtamkumbuka kwenye teuzi zenu ama ndiyo atakula kulingana na urefu wa kamba ya baba yake ilipoishia.

Kweli maisha kwa masikini ni ndoto isiyofikika, dunia uwanja wa vita na sisi ndiyo tunaopiganishwa, masikini mwenzangu hamka ukachakarike uitafutie familia mlo wa siku na ulipe kodi yao, kumbuka kuwa wapo wavuja jasho na wapo wanaofaidi matunda ya keki hiyo..bahati nikubahatika kuwa na mkono mrefu utafikiwa.

Walianza babu zao sasa wamemaliza mzunguko wa baba zao katika ufalme, picha linaashiria kabisa ni kuwa wazazi wanawapokeza mikoba watoto wao kurithi miliki wakati mwanangu namrithisha jembe la mkono na ardhi yenye ugumba kwa kukosa mbolea na pembejeo ni wazi wananing'ong'a.

Hata ile ada niliyotumia kumsomesha nikidhani ndiyo ukombozi nayo imeishia matumboni mwao hivi sasa wananikejeli tu wakinena kwa vinywa vyao vinavyonuka rushwa, upendeleo, ubinafsi na unafiki.

Ajira ni chache mwambie mwanao ajiajiri aache uvivu mbona kazi ni nyingi tu graduate kafuge hata bata huku bata la Masaki hajui anachokula wa Tabata kweli wanao haki kuna day watapata.. Dunia ni njema ila walimwengu hawana maana.
 
With everything else being equal ni rahisi zaidi kwa mtoto wa mwanasiasa kuwa mwanasiasa (amekulia kwenye siasa huenda anazipenda au ana contacts zaidi)

Cha kusikitisha ni kuona huu uongozi ni kama ulaji sababu uongozi ni wito; uongozi ni kazi na uongozi ni kujitolea; Sisi wananchi tumeacha kuwawajibisha hawa watumishi wetu ndio maana wanakuwa walamba asali na sisi makombo hivyo kupata cheo imekuwa ni kupata ulaji na sio kutumikia UMMA

Ndio maana unalilia kuwa Kiongozi
 
Hamjafika serikali ya Ufipa.

Hamjafika serikali ya Uingereza

Hamjafika serikali ya umoja wa waarabu

Hamjafika popote pale ambako kuna 'makabila'

CHADEMA ni kabila
Uk ni kabila

UAE ni kabila

Tanzania ni la Umoja wa makabila

CCM ni kabila
Serikali ni Kabila

Bisha ujipinde.

Ila vitu vingine tunaweza bandua na kubandika(copy and paste) lakini suala la nani ateuliwe nani apewe cheo ndio nongwa!
 
  1. Nipo nawaza tu kama mwanangu nae ipo siku mtamkumbuka kwenye teuzi zenu ama ndiyo atakula kulingana na urefu wa kamba ya baba yake ilipoishia.

Kweli maisha kwa masikini ni ndoto isiyofikika, dunia uwanja wa vita na sisi ndiyo tunaopiganishwa, masikini mwenzangu hamka ukachakarike uitafutie familia mlo wa siku na ulipe kodi yao, kumbuka kuwa wapo wavuja jasho na wapo wanaofaidi matunda ya keki hiyo..bahati nikubahatika kuwa na mkono mrefu utafikiwa.

Walianza babu zao sasa wamemaliza mzunguko wa baba zao katika ufalme, picha linaashiria kabisa ni kuwa wazazi wanawapokeza mikoba watoto wao kurithi miliki wakati mwanangu namrithisha jembe la mkono na ardhi yenye ugumba kwa kukosa mbolea na pembejeo ni wazi wananing'ong'a.

Hata ile ada niliyotumia kumsomesha nikidhani ndiyo ukombozi nayo imeishia matumboni mwao hivi sasa wananikejeli tu wakinena kwa vinywa vyao vinavyonuka rushwa,upendeleo, ubinafsi na unafiki..ajira nichache mwambie mwanao ajiajiri aache uvivu mbona kazi ni nyingi tu graduate kafuge hata bata...huku bata la masaki hajui anachokula watabata kweli wanao haki kuna day watapata..dunia ni njema ila walimwengu hawana maana.
Tusimung'unye maneno tuwateje
 
Wa kulaumiwa ni babu na wazazi wako. Wakati kina Julius wanapigania uhuru wao walikuwa wanakunywa Chimpumu na kuzichakata papuchi za wake wa watu...

Kaza buti wanao wasije kulalamika kama wewe...

Kuna watu kibao wamepigania uhuru na nyerere. Ila nao hawapewi nafasi

Mzee Mohamed Said analia humu kila siku
 
Nipo nawaza tu kama mwanangu nae ipo siku mtamkumbuka kwenye teuzi zenu ama ndiyo atakula kulingana na urefu wa kamba ya baba yake ilipoishia.

Kweli maisha kwa masikini ni ndoto isiyofikika, dunia uwanja wa vita na sisi ndiyo tunaopiganishwa, masikini mwenzangu hamka ukachakarike uitafutie familia mlo wa siku na ulipe kodi yao, kumbuka kuwa wapo wavuja jasho na wapo wanaofaidi matunda ya keki hiyo..bahati nikubahatika kuwa na mkono mrefu utafikiwa.

Walianza babu zao sasa wamemaliza mzunguko wa baba zao katika ufalme, picha linaashiria kabisa ni kuwa wazazi wanawapokeza mikoba watoto wao kurithi miliki wakati mwanangu namrithisha jembe la mkono na ardhi yenye ugumba kwa kukosa mbolea na pembejeo ni wazi wananing'ong'a.

Hata ile ada niliyotumia kumsomesha nikidhani ndiyo ukombozi nayo imeishia matumboni mwao hivi sasa wananikejeli tu wakinena kwa vinywa vyao vinavyonuka rushwa,upendeleo, ubinafsi na unafiki..ajira nichache mwambie mwanao ajiajiri aache uvivu mbona kazi ni nyingi tu graduate kafuge hata bata...huku bata la masaki hajui anachokula watabata kweli wanao haki kuna day watapata..dunia ni njema ila walimwengu hawana maana.
Mnaanzishaga mada nzuri huku mna jazba !
Hauelezei vya maana unaishia kulalamika tu!
Uoga wetu waTz ndiyo kaburi letu.
 
Wa kulaumiwa ni babu na wazazi wako. Wakati kina Julius wanapigania uhuru wao walikuwa wanakunywa Chimpumu na kuzichakata papuchi za wake wa watu...

Kaza buti wanao wasije kulalamika kama wewe...
Babu acha majivuno wee, kwahyo kwa kuwaa hao walipigania uhuru ndo watoto wao watafune hii nchi? Kwan yao pekee yao?

Huwa unakera sometimes khaaaah
 
HIKI CHAMA KINA WENYEWE JAMANI NA WENYEWE NDY HAO UKIPATA KOFIA LAKO LA KIJANI NA FULANA OVER SIZE HIYO NDY POSHO YAKO.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwamba uongozi ndo lengo la kusomesha watoto wako?wasipopata uongozi inakuwa umepata hasara?

Kwamba uongozi ni ulaji na unataka zamu ya ulaji Kwa watoto wako?

Hizo mentality Bora wakose kabisa uongozi hata wa mtaa...
Mentality za kijinga sana
 
Back
Top Bottom