Inabidi bunge na wabunge wapate somo kuwa kile walichosema ni uzushi mpaka kupelekea kutoa adhabu isiyostahili sasa rais kaona kina mantiki ingawa naye ameona kwa shinikizo kutoka kwa wananchi.
By the Way, inabidi karamagi na akina Kamfumu waombe radhi na hasa Karamagi aadhibiwe kwa kulidanganya bunge kuwa mapitio yameshakamilika wakati bosi wao kasema yalikuwa bado.
Raisi wetu pia inabidi ajifunze kuamua kwa wakati siyo maauzi yake yawe driven na malalamiko!
By the Way, inabidi karamagi na akina Kamfumu waombe radhi na hasa Karamagi aadhibiwe kwa kulidanganya bunge kuwa mapitio yameshakamilika wakati bosi wao kasema yalikuwa bado.
Raisi wetu pia inabidi ajifunze kuamua kwa wakati siyo maauzi yake yawe driven na malalamiko!