To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Yeah,upo correct mkuumlitakaa abakii jf pekeyakee wengine wana nyota zao jf kama kianzio tu
Nawakilisha
hongera boss max
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah,upo correct mkuumlitakaa abakii jf pekeyakee wengine wana nyota zao jf kama kianzio tu
Nawakilisha
hongera boss max
We mwenyewe ni chawa, acha kujipendekeza kwa huyo MelloMaxence Melo, Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums ameteuliwa kuwa mmjoa wa wajumbe wa Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi kwa muda wa miaka mitatu. Suala hili limezuia mijadala hata kwa wanachama wa JamiiForums wakidhani uhuru wao utakuwa umeminywa.
Unayopaswa kujua.
Bodi inayoundwa ni kwa ajili ya kuisimamia Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi. Kwa mujibu wa Kifungu cha 9 cha Sheria ya Ulinzi wa taarifa binafsi, bodi ina majukumu haya,
9.-(1) Bodi itasimamia utendaji wa Tume ilikuhakikisha kuwa utendaji huo unazingatia sheria nataratibu zinazosimamia Tume.
(2) Bila kuathiri ujumla wa kifungu kidogo cha (1),Bodi itakuwa na wajibu wa-
(a) kutoa miongozo ya kimkakati na kuunda seraza uendeshaji na usimamizi wa Tume;(b) kusimamia shughuli na utendaji kazi wamenejimenti ya Tume;(c) kuhakikisha matumizi bora ya rasilimali,ikijumuisha kuidhinishwa kwa mpango kazi wamwaka, bajeti ya mwaka na bajeti ya nyongeza;(d) kuidhinisha mipango ya uwekezaji ya Tume;(e) kuidhinisha ripoti za utendaji kazi wa Tume;(f) kuidhinisha kanuni za maadili kwa watumishiwa Tume;(g) kuidhinisha na kusimamia taratibu zausimamizi wa fedha na kanuni za utumishi waTume;(h) kuidhinisha uondoshaji wa mali za Tume; na(i) kutekeleza wajibu mwingine wowote kwa kadriTume itakavyoona inafaa kwa ajili ya kutimizamalengo yake kwa mujibu wa Sheria hii.10. Bodi inaweza, kwa madhumuni ya kutekelezamajukumu yake kwa ufanisi, kuunda na kuteua kutokamiongoni mwa wajumbe wake, kamati zozote kadriitakavyoona inafaa.
Kutokana na majukumu hayo msingi ya Bodi, JamiiForums haitaathirika kwa teuzi hii bali itakuwa katika nafasi ya kuhakikisha yanayosemwa na wananchi yanafika kwenye tume ya ulinzi wa taarifa binafsi
Aidha, Maxence Melo hajateuliwa kutokana na UCHAWA bali kutokana na mchango wake katika Ulinzi wa Taarifa binafsi. Mimi naona anaenda kuwa kama mwalimu kwa wengine ambao wapo ambao uelewa wao ni finyu kwenye masuala ya taarifa binafsi.
Aidha kwa sababu sio chawa, sidhani kama atashindwa kujiuzulu ikiwa atakutana na mambo ambayo hakubaliani nayo. Ikumbukwe mjumbe wa bodi anaruhusiwa kujiuzulu kwa kifungu cha 1(1)(3), kama ambavyo amekuwa akitetea suala la haki na faragha za watu, uteuzi huu hauko katika nafasi ya kumtoa katika kitu amesimamia miaka yote.
KWA WANA JF
Baada ya kujua kuwa mkurugenzi ni mjumbe wa bodi, WanaJF wanakuwa na nafasi ya moja kwa moja ya kuishauri bodi kwa kuwa wakiweka mawazo yao hapa yana nafasi ya kuonekana na watu kuchukua hatua. Maana yake ni kuwa, kama Maxence anaenda kushauri jambo anajua kutoka kwa wananchama anaweza kuthibitsha kwamba wananchi wanapitia hiki au kile. Hii maana yake wanachama wana nafasi kubwa ya kushiriki mchakato huu kwa uzuri.
Kitu kidogo km hicho ndiyo mhangaike na upambeTatizo moja la middle class ni UOGA TU, wanafikiri kuwa Mr. Melo kuwemo kwenye bodi ile itamfanya anunulike kirahisi na kutoa informations kuhusiana na IDs za humu ndani! ninaweka kichwa changu kwenye chopping block ,Mr. Melo hawezi kufanya hili, welldone kwako Mr. Melo kwa uteuzi wako, your a great man
Ban zitaanza kama Njugu.Labda management ya taifa inatafuta ukaribu na JF.
Umeongea kwa uchache, ila umeongea kitu kikubwa na kizito sana. Mwenye masikio na asikie.Sijui hata umeandika nini....
Jf ya 2015 kurudi nyuma sio JF ya 2015 kusonga mbele....hii inatokana na mfumo kupenyeza mods ndani ya hili jukwaa.
Mods wamechangia sana jf kukosa flavour kabisa....sembuse boss kaenda kitengo si ndo itageuka jukwaa la kampeni ya ccm ya tuvuke na mama 2025
Well.said.Dare to talk openly with caution
Tatizo ni kwamba atalambishwa asali tu,Tatizo moja la middle class ni UOGA TU, wanafikiri kuwa Mr. Melo kuwemo kwenye bodi ile itamfanya anunulike kirahisi na kutoa informations kuhusiana na IDs za humu ndani! ninaweka kichwa changu kwenye chopping block ,Mr. Melo hawezi kufanya hili, welldone kwako Mr. Melo kwa uteuzi wako, your a great man
Ukweli ndo huu.Mfumo ni mfumo tuu...maxence melo mtani wangu na boss wangu hapa lazima akubali kuingia kwenye mfumo wa kidola. Hakuna atakachosaidia na ameshaingia kwenye mfumo. In short ameyatimba kiaina.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijui hata umeandika nini....
Jf ya 2015 kurudi nyuma sio JF ya 2015 kusonga mbele....hii inatokana na mfumo kupenyeza mods ndani ya hili jukwaa.
Mods wamechangia sana jf kukosa flavour kabisa....sembuse boss kaenda kitengo si ndo itageuka jukwaa la kampeni ya ccm ya tuvuke na mama 2025
Watazipatajee? Hukumbuki mello jinsi alivyokuwa na seke seke kule rumande, lakini hakutajaa kamweee.Kwani hata sasa taarifa zetu za hapa Jf unafikiri hawana? Au unafikiri kwamba wanashindwa kuzipata bila hata kuwasiliana na Uongozi wa Jf?
Tambueni tu kwamba hakuna Siri yoyote ile hapa, kila kitu wanakifahamu.
Inatia wasi wasi kwa kweli.Sasa nimeelewa kwann baadhi ya nyuzi za msingi kisa zinagusa serikali zinafutwa humu JF.
Acha uoga wa kuogopa kivuli chako, kwani mkuu ukijulikana rasmi wasiwasi wako ni nini?,labda tuanzie hapoTatizo ni kwamba atalambishwa asali tu,
Kabisa mkuu..Inatia wasi wasi kwa kweli.
Je. Unaelewa lengo la zoezi la usajili tena wa hao watoa huduma za mitandaoni lililofanyika miaka Michache iliyopita??Do you know the reasons???Watazipatajee? Hukumbuki mello jinsi alivyokuwa na seke seke kule rumande, lakini hakutajaa kamweee.
Sahivi inatujia uoga, mmmh
Hamna kitu Kama hicho ,usitishe watu .. nadhani wewe Ni mgeni mengi huuafahamu ya Jf!Kwani hata sasa taarifa zetu za hapa Jf unafikiri hawana? Au unafikiri kwamba wanashindwa kuzipata bila hata kuwasiliana na Uongozi wa Jf?
Tambueni tu kwamba hakuna Siri yoyote ile hapa, kila kitu wanakifahamu.