Teuzi ya Maxence Melo, ina maana gani kwa JF na wanachama wake?

Teuzi ya Maxence Melo, ina maana gani kwa JF na wanachama wake?

Maxence Melo, Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums ameteuliwa kuwa mmjoa wa wajumbe wa Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi kwa muda wa miaka mitatu. Suala hili limezuia mijadala hata kwa wanachama wa JamiiForums wakidhani uhuru wao utakuwa umeminywa.

Unayopaswa kujua.
Bodi inayoundwa ni kwa ajili ya kuisimamia Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi. Kwa mujibu wa Kifungu cha 9 cha Sheria ya Ulinzi wa taarifa binafsi, bodi ina majukumu haya,

9.-(1) Bodi itasimamia utendaji wa Tume ilikuhakikisha kuwa utendaji huo unazingatia sheria nataratibu zinazosimamia Tume.
(2) Bila kuathiri ujumla wa kifungu kidogo cha (1),Bodi itakuwa na wajibu wa-
(a) kutoa miongozo ya kimkakati na kuunda seraza uendeshaji na usimamizi wa Tume;​
(b) kusimamia shughuli na utendaji kazi wamenejimenti ya Tume;​
(c) kuhakikisha matumizi bora ya rasilimali,ikijumuisha kuidhinishwa kwa mpango kazi wamwaka, bajeti ya mwaka na bajeti ya nyongeza;​
(d) kuidhinisha mipango ya uwekezaji ya Tume;​
(e) kuidhinisha ripoti za utendaji kazi wa Tume;​
(f) kuidhinisha kanuni za maadili kwa watumishiwa Tume;​
(g) kuidhinisha na kusimamia taratibu zausimamizi wa fedha na kanuni za utumishi waTume;​
(h) kuidhinisha uondoshaji wa mali za Tume; na​
(i) kutekeleza wajibu mwingine wowote kwa kadriTume itakavyoona inafaa kwa ajili ya kutimizamalengo yake kwa mujibu wa Sheria hii.​
10. Bodi inaweza, kwa madhumuni ya kutekelezamajukumu yake kwa ufanisi, kuunda na kuteua kutokamiongoni mwa wajumbe wake, kamati zozote kadriitakavyoona inafaa.

Kutokana na majukumu hayo msingi ya Bodi, JamiiForums haitaathirika kwa teuzi hii bali itakuwa katika nafasi ya kuhakikisha yanayosemwa na wananchi yanafika kwenye tume ya ulinzi wa taarifa binafsi

Aidha, Maxence Melo hajateuliwa kutokana na UCHAWA bali kutokana na mchango wake katika Ulinzi wa Taarifa binafsi. Mimi naona anaenda kuwa kama mwalimu kwa wengine ambao wapo ambao uelewa wao ni finyu kwenye masuala ya taarifa binafsi.

Aidha kwa sababu sio chawa, sidhani kama atashindwa kujiuzulu ikiwa atakutana na mambo ambayo hakubaliani nayo. Ikumbukwe mjumbe wa bodi anaruhusiwa kujiuzulu kwa kifungu cha 1(1)(3), kama ambavyo amekuwa akitetea suala la haki na faragha za watu, uteuzi huu hauko katika nafasi ya kumtoa katika kitu amesimamia miaka yote.

KWA WANA JF
Baada ya kujua kuwa mkurugenzi ni mjumbe wa bodi, WanaJF wanakuwa na nafasi ya moja kwa moja ya kuishauri bodi kwa kuwa wakiweka mawazo yao hapa yana nafasi ya kuonekana na watu kuchukua hatua. Maana yake ni kuwa, kama Maxence anaenda kushauri jambo anajua kutoka kwa wananchama anaweza kuthibitsha kwamba wananchi wanapitia hiki au kile. Hii maana yake wanachama wana nafasi kubwa ya kushiriki mchakato huu kwa uzuri.
Ukiishateuliwa na ukakubali uteuzi, ahahahahaha!!!
 
Maxence Melo, Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums ameteuliwa kuwa mmjoa wa wajumbe wa Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi kwa muda wa miaka mitatu. Suala hili limezuia mijadala hata kwa wanachama wa JamiiForums wakidhani uhuru wao utakuwa umeminywa.

Unayopaswa kujua.
Bodi inayoundwa ni kwa ajili ya kuisimamia Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi. Kwa mujibu wa Kifungu cha 9 cha Sheria ya Ulinzi wa taarifa binafsi, bodi ina majukumu haya,

9.-(1) Bodi itasimamia utendaji wa Tume ilikuhakikisha kuwa utendaji huo unazingatia sheria nataratibu zinazosimamia Tume.
(2) Bila kuathiri ujumla wa kifungu kidogo cha (1),Bodi itakuwa na wajibu wa-
(a) kutoa miongozo ya kimkakati na kuunda seraza uendeshaji na usimamizi wa Tume;​
(b) kusimamia shughuli na utendaji kazi wamenejimenti ya Tume;​
(c) kuhakikisha matumizi bora ya rasilimali,ikijumuisha kuidhinishwa kwa mpango kazi wamwaka, bajeti ya mwaka na bajeti ya nyongeza;​
(d) kuidhinisha mipango ya uwekezaji ya Tume;​
(e) kuidhinisha ripoti za utendaji kazi wa Tume;​
(f) kuidhinisha kanuni za maadili kwa watumishiwa Tume;​
(g) kuidhinisha na kusimamia taratibu zausimamizi wa fedha na kanuni za utumishi waTume;​
(h) kuidhinisha uondoshaji wa mali za Tume; na​
(i) kutekeleza wajibu mwingine wowote kwa kadriTume itakavyoona inafaa kwa ajili ya kutimizamalengo yake kwa mujibu wa Sheria hii.​
10. Bodi inaweza, kwa madhumuni ya kutekelezamajukumu yake kwa ufanisi, kuunda na kuteua kutokamiongoni mwa wajumbe wake, kamati zozote kadriitakavyoona inafaa.

Kutokana na majukumu hayo msingi ya Bodi, JamiiForums haitaathirika kwa teuzi hii bali itakuwa katika nafasi ya kuhakikisha yanayosemwa na wananchi yanafika kwenye tume ya ulinzi wa taarifa binafsi

Aidha, Maxence Melo hajateuliwa kutokana na UCHAWA bali kutokana na mchango wake katika Ulinzi wa Taarifa binafsi. Mimi naona anaenda kuwa kama mwalimu kwa wengine ambao wapo ambao uelewa wao ni finyu kwenye masuala ya taarifa binafsi.

Aidha kwa sababu sio chawa, sidhani kama atashindwa kujiuzulu ikiwa atakutana na mambo ambayo hakubaliani nayo. Ikumbukwe mjumbe wa bodi anaruhusiwa kujiuzulu kwa kifungu cha 1(1)(3), kama ambavyo amekuwa akitetea suala la haki na faragha za watu, uteuzi huu hauko katika nafasi ya kumtoa katika kitu amesimamia miaka yote.

KWA WANA JF
Baada ya kujua kuwa mkurugenzi ni mjumbe wa bodi, WanaJF wanakuwa na nafasi ya moja kwa moja ya kuishauri bodi kwa kuwa wakiweka mawazo yao hapa yana nafasi ya kuonekana na watu kuchukua hatua. Maana yake ni kuwa, kama Maxence anaenda kushauri jambo anajua kutoka kwa wananchama anaweza kuthibitsha kwamba wananchi wanapitia hiki au kile. Hii maana yake wanachama wana nafasi kubwa ya kushiriki mchakato huu kwa uzuri.
Kilichonishangaza umetuuliza Sisi Maswali ili tukujibu lakini nawe tena kwa Kiherere chako umejijubu katika baadhi ya Aya zako za huu Uzi hivyo ni kama tu Unatuchanganya na Kutusanifu kimtindo vile vile.

Asante Onana, Lakred na Benchika!!!
 
Tatizo moja la middle class ni UOGA TU, wanafikiri kuwa Mr. Melo kuwemo kwenye bodi ile itamfanya anunulike kirahisi na kutoa informations kuhusiana na IDs za humu ndani! ninaweka kichwa changu kwenye chopping block ,Mr. Melo hawezi kufanya hili, welldone kwako Mr. Melo kwa uteuzi wako, your a great man
Wasiwasi ambao wewe umeuita uoga ni akili pia, nchi hii tumeshuhudia mengi, ikiwemo watu kupotea, kutekwa na kudhuriwa...
 
Sijui hata umeandika nini....
Jf ya 2015 kurudi nyuma sio JF ya 2015 kusonga mbele....hii inatokana na mfumo kupenyeza mods ndani ya hili jukwaa.
Mods wamechangia sana jf kukosa flavour kabisa....sembuse boss kaenda kitengo si ndo itageuka jukwaa la kampeni ya ccm ya tuvuke na mama 2025
[emoji1666][emoji1666][emoji1666] tena mada/issue nzito nzito zilitupwa humu unashangaa hazifunguki au kufutwa...
 
Well.said.
Miaka ya karibuni kuna trend imeanza humu ndani admin wanachomoa thread zingine zikipostiwa bila kutoa justification..hii inaleta feedback kua usiamini mtu kwa kila jambo na wakati wote.
Jf imepoteza ubora.... 2011 nlikua napita humu kama guest naogopa hata kucomment sina content..
2013 nikajiunga (id yangu ya zamani ina tabu kidogo) JF ilikua nzuri kweli, ukiwa na jambo lako chap haraka unapata majibu,
Madudu ya kwenye jamii mtu unakuja kuyamwaga humu bila hofu lakini sahizi ubabaifu umekua mwingi sana.
Hii futa futa ya thread mara comment yako ikipitiwa na mods ndo itaruhusiwa ni upuuzi.
Kama vipi wafute baadhi ya majukwaa
 
Yawezekana ni woga tu usio na msingi, lakini tahadhari ni muhimu sana maishani.

Ni ukweli kuwa USIRI Ndio nguzo kubwa ya Mtandao wetu huu. CONFIDENTIALITY/ANONYMITY. Serikali yetu, toka enzi za JK, haiipendi JF. Utawala wa JPM ulitumia mbinu za kibabe dhidi ya JF, zikashindwa.

Kuwa karibu na adui yako, ni moja ya mbinu za kupambana nae. Wanawake ni mafundi sana wa mbinu hii.

Bwana Melo ameanza kuwa karibu sana na Gavoo. Ameanza kupata 'mashavu'.

Mimi ninaanza sana kupata wasiwasi na hatma ya huu mtandao.
 
Naamini uzi huu haujakiuka sheria ya mijadala hapa JF naamini badala ya kufutwa JamiiForums inapaswa kujibu.

Miongoni mwa taarifa zilizo gonga vichwa vya habari ni ile ya uteuzi wa Mkurugenzi wa JF ndugu Maxence Melo rejea uzi huu Maxence Melo ateuliwa kuwa Mjumbe wa Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi

Kwa upande wangu uteuzi huu ni kiashiria kwamba JamiiForums si jukwaa salama tena. Siamini kama privacy yangu itaendelea kuwa stable maana mmiliki wa jukwaa ambaye ana access ya taarifa zangu binafsi ni mteule wa waziri, waziri ambaye ni mteule wa Rais.

Sidhani kama Max anaweza kuwanyima hawa watu taarifa zako hivyo ukiwa na issue sensitive nakushauri utafakari mara 2 kabla ya kuiweka hapa.

Pia nashauri ndugu Maxence Melo either aachie ngazi hapa JF na kumkabidhi mikoba Mike Mushi au akatae uteuzi tata aliopata vinginevyo sioni mwanga wa usiri wa taarifa binafsi hapa jukwaani.

Mods badala ya kukimbilia kufuta, jibuni tuambieni boss wenu ambaye ni mteule serikalini akiwaomba taarifa zangu hamta mtumia ili aziwasilishe kwa boss wake?
 
Kwa jambo gani sensitive ulilonalo uhofie kujulikana? Ni hizi chit chat tuu?
 
Max aliwahi kusema kuwa huwa anawanyima polisi access pale wanapotaka kujua taarifa zetu binafsi.
Polisi!...tiss wanakujua vizuri tu,mimi nilishaona mtu ananiripoti akitaja kuna langu la ukoo hapa,nadhani alikosea badala ya kutuma huko anakotakiwa kutuma akareply,tena yuko bize humu acha tu
 
Maxence Melo, Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums ameteuliwa kuwa mmjoa wa wajumbe wa Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi kwa muda wa miaka mitatu. Suala hili limezuia mijadala hata kwa wanachama wa JamiiForums wakidhani uhuru wao utakuwa umeminywa.

Unayopaswa kujua
Bodi inayoundwa ni kwa ajili ya kuisimamia Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi. Kwa mujibu wa Kifungu cha 9 cha Sheria ya Ulinzi wa taarifa binafsi, bodi ina majukumu haya,

9.-(1) Bodi itasimamia utendaji wa Tume ilikuhakikisha kuwa utendaji huo unazingatia sheria nataratibu zinazosimamia Tume.

(2) Bila kuathiri ujumla wa kifungu kidogo cha (1),Bodi itakuwa na wajibu wa-
(a) kutoa miongozo ya kimkakati na kuunda seraza uendeshaji na usimamizi wa Tume;​
(b) kusimamia shughuli na utendaji kazi wamenejimenti ya Tume;​
(c) kuhakikisha matumizi bora ya rasilimali,ikijumuisha kuidhinishwa kwa mpango kazi wamwaka, bajeti ya mwaka na bajeti ya nyongeza;​
(d) kuidhinisha mipango ya uwekezaji ya Tume;​
(e) kuidhinisha ripoti za utendaji kazi wa Tume;​
(f) kuidhinisha kanuni za maadili kwa watumishiwa Tume;​
(g) kuidhinisha na kusimamia taratibu zausimamizi wa fedha na kanuni za utumishi waTume;​
(h) kuidhinisha uondoshaji wa mali za Tume; na​
(i) kutekeleza wajibu mwingine wowote kwa kadriTume itakavyoona inafaa kwa ajili ya kutimizamalengo yake kwa mujibu wa Sheria hii.​

10. Bodi inaweza, kwa madhumuni ya kutekelezamajukumu yake kwa ufanisi, kuunda na kuteua kutokamiongoni mwa wajumbe wake, kamati zozote kadriitakavyoona inafaa.

Kutokana na majukumu hayo msingi ya Bodi, JamiiForums haitaathirika kwa teuzi hii bali itakuwa katika nafasi ya kuhakikisha yanayosemwa na wananchi yanafika kwenye tume ya ulinzi wa taarifa binafsi.

Aidha, Maxence Melo hajateuliwa kutokana na UCHAWA bali kutokana na mchango wake katika Ulinzi wa Taarifa binafsi. Mimi naona anaenda kuwa kama mwalimu kwa wengine ambao wapo lakini uelewa wao ni finyu kwenye masuala ya taarifa binafsi.

Aidha kwa sababu sio chawa, sidhani kama atashindwa kujiuzulu ikiwa atakutana na mambo ambayo hakubaliani nayo. Ikumbukwe mjumbe wa bodi anaruhusiwa kujiuzulu kwa kifungu cha 1(1)(3), kama ambavyo amekuwa akitetea suala la haki na faragha za watu, uteuzi huu hauko katika nafasi ya kumtoa katika kitu amesimamia miaka yote.

KWA WANA JF
Baada ya kujua kuwa Mkurugenzi ni Mjumbe wa Bodi, WanaJF wanakuwa na nafasi ya moja kwa moja ya kuishauri bodi kwa kuwa wakiweka mawazo yao hapa yana nafasi ya kuonekana na watu kuchukua hatua.

Maana yake ni kuwa, kama Maxence anaenda kushauri jambo anajua kutoka kwa wananchama anaweza kuthibitsha kwamba wananchi wanapitia hiki au kile. Hii maana yake wanachama wana nafasi kubwa ya kushiriki mchakato huu kwa uzuri.
Huyu anakwenda kuwa kuwadi wa CCM tu,, hakuna lingine.....tujiandae kutekwa sasa na kuuliwa kwa kusema ukweli.
 
Maxence Melo, Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums ameteuliwa kuwa mmjoa wa wajumbe wa Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi kwa muda wa miaka mitatu. Suala hili limezuia mijadala hata kwa wanachama wa JamiiForums wakidhani uhuru wao utakuwa umeminywa.

Unayopaswa kujua
Bodi inayoundwa ni kwa ajili ya kuisimamia Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi. Kwa mujibu wa Kifungu cha 9 cha Sheria ya Ulinzi wa taarifa binafsi, bodi ina majukumu haya,

9.-(1) Bodi itasimamia utendaji wa Tume ilikuhakikisha kuwa utendaji huo unazingatia sheria nataratibu zinazosimamia Tume.

(2) Bila kuathiri ujumla wa kifungu kidogo cha (1),Bodi itakuwa na wajibu wa-
(a) kutoa miongozo ya kimkakati na kuunda seraza uendeshaji na usimamizi wa Tume;​
(b) kusimamia shughuli na utendaji kazi wamenejimenti ya Tume;​
(c) kuhakikisha matumizi bora ya rasilimali,ikijumuisha kuidhinishwa kwa mpango kazi wamwaka, bajeti ya mwaka na bajeti ya nyongeza;​
(d) kuidhinisha mipango ya uwekezaji ya Tume;​
(e) kuidhinisha ripoti za utendaji kazi wa Tume;​
(f) kuidhinisha kanuni za maadili kwa watumishiwa Tume;​
(g) kuidhinisha na kusimamia taratibu zausimamizi wa fedha na kanuni za utumishi waTume;​
(h) kuidhinisha uondoshaji wa mali za Tume; na​
(i) kutekeleza wajibu mwingine wowote kwa kadriTume itakavyoona inafaa kwa ajili ya kutimizamalengo yake kwa mujibu wa Sheria hii.​

10. Bodi inaweza, kwa madhumuni ya kutekelezamajukumu yake kwa ufanisi, kuunda na kuteua kutokamiongoni mwa wajumbe wake, kamati zozote kadriitakavyoona inafaa.

Kutokana na majukumu hayo msingi ya Bodi, JamiiForums haitaathirika kwa teuzi hii bali itakuwa katika nafasi ya kuhakikisha yanayosemwa na wananchi yanafika kwenye tume ya ulinzi wa taarifa binafsi.

Aidha, Maxence Melo hajateuliwa kutokana na UCHAWA bali kutokana na mchango wake katika Ulinzi wa Taarifa binafsi. Mimi naona anaenda kuwa kama mwalimu kwa wengine ambao wapo lakini uelewa wao ni finyu kwenye masuala ya taarifa binafsi.

Aidha kwa sababu sio chawa, sidhani kama atashindwa kujiuzulu ikiwa atakutana na mambo ambayo hakubaliani nayo. Ikumbukwe mjumbe wa bodi anaruhusiwa kujiuzulu kwa kifungu cha 1(1)(3), kama ambavyo amekuwa akitetea suala la haki na faragha za watu, uteuzi huu hauko katika nafasi ya kumtoa katika kitu amesimamia miaka yote.

KWA WANA JF
Baada ya kujua kuwa Mkurugenzi ni Mjumbe wa Bodi, WanaJF wanakuwa na nafasi ya moja kwa moja ya kuishauri bodi kwa kuwa wakiweka mawazo yao hapa yana nafasi ya kuonekana na watu kuchukua hatua.

Maana yake ni kuwa, kama Maxence anaenda kushauri jambo anajua kutoka kwa wananchama anaweza kuthibitsha kwamba wananchi wanapitia hiki au kile. Hii maana yake wanachama wana nafasi kubwa ya kushiriki mchakato huu kwa uzuri.
Maxence kishaoza tayari, anakwenda kuwa chawa tu wa CCM, sina kabisa imani naye hata kidogo. Never deal na viongozi incompetent kwani hawapendi kukosolewa hata kidogo, wao wanawaza kuua tu na kuiba.
 
inafikirisha sana, mero kuwa pamoja na serikali....
 
Back
Top Bottom