TFDA tupieni macho Wilson bakery ya Bunda wanauza mikate iliyokwisha muda wake

TFDA tupieni macho Wilson bakery ya Bunda wanauza mikate iliyokwisha muda wake

Mjukuu wa kigogo

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2023
Posts
445
Reaction score
1,094
Kwa hili nawaomba mamlaka ya chakula na dawa kwa kushirikiana na serikali kukitupia macho kiwanda cha kuoka mikate kiitwacho Wilson Bakery kilichopo mjini Bunda Kwani kinahatarisha afya za walaji kwa kuwauzia mikate na keki zilizokwisha pita muda wa matumizi.

Kwanza vifungashio vyake vingi havina sticker zenye kuonyesha ukomo wa matumizi(expiring date). Mfano mwingine Jana tuliagiza mtoto kwenda kununua cake, karudi na cake zishakuwa chembechemenza UNGA hata expiring date haionyeshi.

Serikali na mamlaka husika lindeni afya za walaji
 
Tfda ,haipo siku hizi Kuna tmda ,Yan tanzania medicine and drugs authority,Mamlaka ya vifaa tiba na dawa , Na haiusiki na usalama wa chakula Bali majukumu yake yaliamishiwa Tbs!!!!

Kwa hili nawaomba mamlaka ya chakula na dawa kwa kushirikiana na serikali kukitupia macho kiwanda cha kuoka mikate kiitwacho Wilson Bakery kilichopo mjini Bunda Kwani kinahatarisha afya za walaji kwa kuwauzia mikate na keki zilizokwisha pita muda wa matumizi.Kwanza vifungashio vyake vingi havina sticker zenye kuonyesha ukomo wa matumizi(expiring date).Mfano mwingine Jana tuliagiza mtoto kwenda kununua cake,karudi na cake zishakuwa chembechemenza UNGA hata expiring date haionyeshi.Serikali na mamlaka husika lindeni afya za walaji
 
Kwa hili nawaomba mamlaka ya chakula na dawa kwa kushirikiana na serikali kukitupia macho kiwanda cha kuoka mikate kiitwacho Wilson Bakery kilichopo mjini Bunda Kwani kinahatarisha afya za walaji kwa kuwauzia mikate na keki zilizokwisha pita muda wa matumizi.Kwanza vifungashio vyake vingi havina sticker zenye kuonyesha ukomo wa matumizi(expiring date).Mfano mwingine Jana tuliagiza mtoto kwenda kununua cake,karudi na cake zishakuwa chembechemenza UNGA hata expiring date haionyeshi.Serikali na mamlaka husika lindeni afya za walaji
Mkuu, suala la usalama wa chakula kwa walaji serikali ilikwisha litelekeza kitambo. Issue ya food safety ni wewe mlaji kujipambania mwenyewe, wameingiza siasa sana hata hao unaotaka wafuatilie wanajua kila kitu. Yaani kila mtu akiwa na kamtaji kake anakimbilia hiyo sekta, wapo wanaotengeneza unga wa lishe, peanut butter, juisi, maziwa mtindi, n.k, na wengi wao wanatulisha uchafu na vitu vilivyokwisha muda wake.
Wenye maduka wenyewe wanabadilisha hata tarehe ya kuexpire kwa kalamu ya wino. Cha msingi ni kutokukubali chakula cha aina hiyo, madhara yake yanachukua muda kuonekana lakini ni lazima utakumbana nayo mbele ya safari, haswa kwa watoto wadogo.
 
Niko hapa naomba malalamiko yako uyalete ofisi hapa kwenye bakery sio kwenye mtandao ama kuna director wa iko kiwanda ukitaka namba zake nikupe uwasiliane nae Mimi ni ndugu yake
 
Kwa hili nawaomba mamlaka ya chakula na dawa kwa kushirikiana na serikali kukitupia macho kiwanda cha kuoka mikate kiitwacho Wilson Bakery kilichopo mjini Bunda Kwani kinahatarisha afya za walaji kwa kuwauzia mikate na keki zilizokwisha pita muda wa matumizi.Kwanza vifungashio vyake vingi havina sticker zenye kuonyesha ukomo wa matumizi(expiring date).Mfano mwingine Jana tuliagiza mtoto kwenda kununua cake,karudi na cake zishakuwa chembechemenza UNGA hata expiring date haionyeshi.Serikali na mamlaka husika lindeni afya za walaji
Ungeweka picha iwe msaada kwa wahusika na walaji
 
Mkuu, suala la usalama wa chakula kwa walaji serikali ilikwisha litelekeza kitambo. Issue ya food safety ni wewe mlaji kujipambania mwenyewe, wameingiza siasa sana hata hao unaotaka wafuatilie wanajua kila kitu. Yaani kila mtu akiwa na kamtaji kake anakimbilia hiyo sekta, wapo wanaotengeneza unga wa lishe, peanut butter, juisi, maziwa mtindi, n.k
Kuna watu wanafakamia vyakula safarini kumbe vimeuzwa zaidi ya wiku haviishi mwisho vimezimuliwa kwenye fresh food
 
Kwa hili nawaomba mamlaka ya chakula na dawa kwa kushirikiana na serikali kukitupia macho kiwanda cha kuoka mikate kiitwacho Wilson Bakery kilichopo mjini Bunda Kwani kinahatarisha afya za walaji kwa kuwauzia mikate na keki zilizokwisha pita muda wa matumizi.Kwanza vifungashio vyake vingi havina sticker zenye kuonyesha ukomo wa matumizi(expiring date).Mfano mwingine Jana tuliagiza mtoto kwenda kununua cake,karudi na cake zishakuwa chembechemenza UNGA hata expiring date haionyeshi.Serikali na mamlaka husika lindeni afya za walaji
Sio suala la TFDA maana TFDA haipo ipo TMDA Ila kitengo Cha TFDA kimehamishiwa TBS kwa hio hapo waambie TBS sio TFDA
 
Kwa hili nawaomba mamlaka ya chakula na dawa kwa kushirikiana na serikali kukitupia macho kiwanda cha kuoka mikate kiitwacho Wilson Bakery kilichopo mjini Bunda Kwani kinahatarisha afya za walaji kwa kuwauzia mikate na keki zilizokwisha pita muda wa matumizi.Kwanza vifungashio vyake vingi havina sticker zenye kuonyesha ukomo wa matumizi(expiring date).Mfano mwingine Jana tuliagiza mtoto kwenda kununua cake,karudi na cake zishakuwa chembechemenza UNGA hata expiring date haionyeshi.Serikali na mamlaka husika lindeni afya za walaji
Zungumza na Bwana/Bibi Afya wa eneo lako.

Kwanza siku hizi hakuna TFDA iliyopo ni TMDA na hawahusiki na mambo ya vyakula.

Wahusika ni TBS kwa kushirikiana na hao watu.
 

Attachments

  • Screenshot_20231010-090819.png
    Screenshot_20231010-090819.png
    454.3 KB · Views: 16
  • IMG-20231010-WA0001.jpg
    IMG-20231010-WA0001.jpg
    65.7 KB · Views: 16
  • IMG-20231010-WA0002.jpg
    IMG-20231010-WA0002.jpg
    51.8 KB · Views: 14
  • IMG-20231010-WA0003.jpg
    IMG-20231010-WA0003.jpg
    63.5 KB · Views: 15
Kwa hili nawaomba mamlaka ya chakula na dawa kwa kushirikiana na serikali kukitupia macho kiwanda cha kuoka mikate kiitwacho Wilson Bakery kilichopo mjini Bunda Kwani kinahatarisha afya za walaji kwa kuwauzia mikate na keki zilizokwisha pita muda wa matumizi.

Kwanza vifungashio vyake vingi havina sticker zenye kuonyesha ukomo wa matumizi(expiring date). Mfano mwingine Jana tuliagiza mtoto kwenda kununua cake, karudi na cake zishakuwa chembechemenza UNGA hata expiring date haionyeshi.

Serikali na mamlaka husika lindeni afya za walaji
Daslam wako n mikate ina mchanga na inauzwa wziwazi.
 
Back
Top Bottom