Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lupweko amekariri standard za FIFA halafu hajui ukomo wa standards za FIFA zinahusika katika ngazi zipi. Standard za FIFA zinafanya kazi kwa ngazi za kimataifa pekee.
Kwa mashindano ya ndani kinachoangaliwa ni namna ya kufuata zile sheria za FIFA, kama ingekuwa kunakufuata standards za FIFA basi tungeona FIFA wanaingilia kati juu ya viwanja vyetu vibovu tunavyotumia kwenye ligi yet
Azam mvua ikinyesha inakuajeHatutaki VAR kama za ulaya bali replay za Azam pekee zinatosha kwa mwamuzi kuangalia tukio uwanjani na kujiridhisha kama sisi tunaoangalia kwenye luninga tunavyopata wasaa kujiridhisha. Gharama hapo ni kununua tv na ving'amuzi vya Azam tu na kuviweka viwanjani. Na azam pia waongeze idadi za camera zao
Bila shaka TFF wameona ushauri wako tusubiri utekelezajiKwa mashindano ya ndani kinachoangaliwa ni namna ya kufuata zile sheria za FIFA, kama ingekuwa kunakufuata standards za FIFA basi tungeona FIFA wanaingilia kati juu ya viwanja vyetu vibovu tunavyotumia kwenye ligi yet au unataka kusema kiwanja kama cha Manungu kipo kwenye standard ya FIFA? Lakini hawawezi kuingilia kati kwasababu ni mashindano ya ndani ila inapotokea mashindano ya kimataifa hapo ndipo kitu kinachoitwa standard hutumika. Halafu pili toa kichwani kwako dhana ya V.A.R kama limtambo likubwa kama la wazungu bali sisi tutumie tu replay inatosha sana na hakuna kosa litakalokuwa limekiukwa ndani ya sheria za FIFA eti kisa waamuzi kupitia replay kwenye mashindano yetu ya ndani
Ni kweli mkuuKaria anachanganya mambo makusudi, makosa ya marefa tunayaona kupitia replay za Azam tv. Siyo kosa replay tunazo ziona sisi na wao marefa wawekewe pale uwanjani walau kwa kuanzia. Implementation ya VAR hata huko Ulaya inatofautiana kwa baadhi ya nchi.
Hiyo ni changamoto ndogo sana inayoweza kurekebishikaAzam mvua ikinyesha inakuaje
Uweke VAR kwenye viwanja kama madimbwi ya Samaki hebu tuwe serious kidogo.Ukitaka uone TFF hawapo serious na mpira wa bongo angalia hiyo nembo ya GSM bado hadi leo inadisplay kama moja ya wadhamini wa Ligi kuu pamoja na mkataba kusitishwa wiki sasa.
Kila mwaka kuna fungu linatoka FIFA kwa ajili ya maendeleo ya soka kwa mashirikishi ya mpira lakini sioni TFF wanatumia vp fungu hilo ni bors wanunue hizo VAR tu
Acha kumuita mwenzio mjinga..ametoa suluhisho kwa mazingira yetu..wewe mwerevu mbona hujatoa suluhuWewe ni jinga