ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Hawa watu wametengeneza mgogoro na wanajua njia ya kuhusuluhisha maofsini.
Nimeamini Simba na Yanga zinatumika kisiasa, na Toka Leo sitajisumbua na hizi timu
Wakiona derby isiharibu shughuli ya wanawake duniani, macho na masikio yawe Arusha badala ya Chang'ombe uwanja wa Taifa, maana aliyetarajiwa kuwa mgeni rasmi wa derby ndo alikuwa Arusha kwenye siku ya wanawake
Derby ya Kariakoo ni platform kubwa ya kisiasa ambapo hapa tupo siku za mwisho kuelekea uchaguzi mkuu mwezi Oktober, na kabla ya hapo Kuna uwezekano mkubwa derby nyingine ikawa halijatokea katika calendar
Mama kutoka jumba jeupe hataki kuipoteza hii fursa
Ilipigwa simu Moja tu derby ihairishwe na mama kutoka jumba jeupe awe mgeni rasmi kwenye derby na ipigwe tarehe rafiki ili awepo
Nina uhakika mechi ya marudiano ipo 💯 na mgeni rasmi atakuwa mtu mazito mno
1. Simba
Nilishangaa timu yenye uzoefu kama Simba igomee mechi kisa pitch feeling ya dakika 20 tu na wanajua itifaki na taratibu zote, pamoja na adhabu ya kukatwa points, kulipa faini ya million 5 na kushushwa daraja.
Kwa timu makini kama Simba hawawezi ku risk na kujiingiza katika hatari hii
2. Bodi ya ligi
Baada ya Simba kuandika barua ya kulalamikia minor ishu bodi ya ligi wakaitisha kikao na kamati ya masaa 72, yaani kamati ya masaa 72 inatathmini mchezo ambao haujafanyika🤣😅 hiki ni kichekesho.
Na bodi ya ligi ndo mtunga kanuni waamue kuvunja mechi Kwa sababu za kibwege tu. Na wanajua Yanga walienda CAS ni hujuma mbaya sana
3 Young Africans
Makamu wa Rais wa Yanga akaibuka na kauli ya msimamo hewa ati mechi haichezwi tena na sisi mashabiki tukadakia
Leo asbh kabla ya misa ya kwanza bus la Young Africans likaamukia Bunju kwenye uwanja wa Simba na mabango ya TUNAMSAKA MY WETU, hii ni kuonesha kuwa mechi ikipangiwa tarehe nyingine mashabiki wawe tayari akilini kuwa Simba walikimbia Sasa laZima wacheze ili wamfunge MY WETU
4. TFF
Ukimya wa taasisi ya football kidogo umenishangaza, hawajakemea Simba,Yanga wala bodi ya ligi, wao wapo kimya tu,
TFF hawajaomba radhi Kwa mashabiki na wawekezaji waliopata usumbufu kama Azam media
5 Wizara ya michezo na serika
Wizara ya michezo akina maana FA hawa ndo wanatembeaga na sandarusi la pesa ya goli la mama, Kwa tukio kubwa kama hili na kashfa nyuma yake naamini wangetoa tamko au neo lolote Kwa wana football
Mashabiki na Watanzania hizi timu zinatupotezea concentration lakini hazipo serious kama tunavodhani, tupambane mambo ya muhimu katika Taifa
Nimeamini Simba na Yanga zinatumika kisiasa, na Toka Leo sitajisumbua na hizi timu
Wakiona derby isiharibu shughuli ya wanawake duniani, macho na masikio yawe Arusha badala ya Chang'ombe uwanja wa Taifa, maana aliyetarajiwa kuwa mgeni rasmi wa derby ndo alikuwa Arusha kwenye siku ya wanawake
Derby ya Kariakoo ni platform kubwa ya kisiasa ambapo hapa tupo siku za mwisho kuelekea uchaguzi mkuu mwezi Oktober, na kabla ya hapo Kuna uwezekano mkubwa derby nyingine ikawa halijatokea katika calendar
Mama kutoka jumba jeupe hataki kuipoteza hii fursa
Ilipigwa simu Moja tu derby ihairishwe na mama kutoka jumba jeupe awe mgeni rasmi kwenye derby na ipigwe tarehe rafiki ili awepo
Nina uhakika mechi ya marudiano ipo 💯 na mgeni rasmi atakuwa mtu mazito mno
1. Simba
Nilishangaa timu yenye uzoefu kama Simba igomee mechi kisa pitch feeling ya dakika 20 tu na wanajua itifaki na taratibu zote, pamoja na adhabu ya kukatwa points, kulipa faini ya million 5 na kushushwa daraja.
Kwa timu makini kama Simba hawawezi ku risk na kujiingiza katika hatari hii
2. Bodi ya ligi
Baada ya Simba kuandika barua ya kulalamikia minor ishu bodi ya ligi wakaitisha kikao na kamati ya masaa 72, yaani kamati ya masaa 72 inatathmini mchezo ambao haujafanyika🤣😅 hiki ni kichekesho.
Na bodi ya ligi ndo mtunga kanuni waamue kuvunja mechi Kwa sababu za kibwege tu. Na wanajua Yanga walienda CAS ni hujuma mbaya sana
3 Young Africans
Makamu wa Rais wa Yanga akaibuka na kauli ya msimamo hewa ati mechi haichezwi tena na sisi mashabiki tukadakia
Leo asbh kabla ya misa ya kwanza bus la Young Africans likaamukia Bunju kwenye uwanja wa Simba na mabango ya TUNAMSAKA MY WETU, hii ni kuonesha kuwa mechi ikipangiwa tarehe nyingine mashabiki wawe tayari akilini kuwa Simba walikimbia Sasa laZima wacheze ili wamfunge MY WETU
4. TFF
Ukimya wa taasisi ya football kidogo umenishangaza, hawajakemea Simba,Yanga wala bodi ya ligi, wao wapo kimya tu,
TFF hawajaomba radhi Kwa mashabiki na wawekezaji waliopata usumbufu kama Azam media
5 Wizara ya michezo na serika
Wizara ya michezo akina maana FA hawa ndo wanatembeaga na sandarusi la pesa ya goli la mama, Kwa tukio kubwa kama hili na kashfa nyuma yake naamini wangetoa tamko au neo lolote Kwa wana football
Mashabiki na Watanzania hizi timu zinatupotezea concentration lakini hazipo serious kama tunavodhani, tupambane mambo ya muhimu katika Taifa