TFF, Bodi ya ligi, Simba na Yanga mna agenda Moja, mnatuona mashabiki malofa

TFF, Bodi ya ligi, Simba na Yanga mna agenda Moja, mnatuona mashabiki malofa

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Hawa watu wametengeneza mgogoro na wanajua njia ya kuhusuluhisha maofsini.

Nimeamini Simba na Yanga zinatumika kisiasa, na Toka Leo sitajisumbua na hizi timu

Wakiona derby isiharibu shughuli ya wanawake duniani, macho na masikio yawe Arusha badala ya Chang'ombe uwanja wa Taifa, maana aliyetarajiwa kuwa mgeni rasmi wa derby ndo alikuwa Arusha kwenye siku ya wanawake

Derby ya Kariakoo ni platform kubwa ya kisiasa ambapo hapa tupo siku za mwisho kuelekea uchaguzi mkuu mwezi Oktober, na kabla ya hapo Kuna uwezekano mkubwa derby nyingine ikawa halijatokea katika calendar
Mama kutoka jumba jeupe hataki kuipoteza hii fursa
Ilipigwa simu Moja tu derby ihairishwe na mama kutoka jumba jeupe awe mgeni rasmi kwenye derby na ipigwe tarehe rafiki ili awepo

Nina uhakika mechi ya marudiano ipo 💯 na mgeni rasmi atakuwa mtu mazito mno

1. Simba

Nilishangaa timu yenye uzoefu kama Simba igomee mechi kisa pitch feeling ya dakika 20 tu na wanajua itifaki na taratibu zote, pamoja na adhabu ya kukatwa points, kulipa faini ya million 5 na kushushwa daraja.
Kwa timu makini kama Simba hawawezi ku risk na kujiingiza katika hatari hii

2. Bodi ya ligi

Baada ya Simba kuandika barua ya kulalamikia minor ishu bodi ya ligi wakaitisha kikao na kamati ya masaa 72, yaani kamati ya masaa 72 inatathmini mchezo ambao haujafanyika🤣😅 hiki ni kichekesho.

Na bodi ya ligi ndo mtunga kanuni waamue kuvunja mechi Kwa sababu za kibwege tu. Na wanajua Yanga walienda CAS ni hujuma mbaya sana

3 Young Africans
Makamu wa Rais wa Yanga akaibuka na kauli ya msimamo hewa ati mechi haichezwi tena na sisi mashabiki tukadakia

Leo asbh kabla ya misa ya kwanza bus la Young Africans likaamukia Bunju kwenye uwanja wa Simba na mabango ya TUNAMSAKA MY WETU, hii ni kuonesha kuwa mechi ikipangiwa tarehe nyingine mashabiki wawe tayari akilini kuwa Simba walikimbia Sasa laZima wacheze ili wamfunge MY WETU

4. TFF
Ukimya wa taasisi ya football kidogo umenishangaza, hawajakemea Simba,Yanga wala bodi ya ligi, wao wapo kimya tu,

TFF hawajaomba radhi Kwa mashabiki na wawekezaji waliopata usumbufu kama Azam media

5 Wizara ya michezo na serika

Wizara ya michezo akina maana FA hawa ndo wanatembeaga na sandarusi la pesa ya goli la mama, Kwa tukio kubwa kama hili na kashfa nyuma yake naamini wangetoa tamko au neo lolote Kwa wana football

Mashabiki na Watanzania hizi timu zinatupotezea concentration lakini hazipo serious kama tunavodhani, tupambane mambo ya muhimu katika Taifa
 

Attachments

  • markup_1000113064.png
    markup_1000113064.png
    769.7 KB · Views: 1
  • markup_1000113065.png
    markup_1000113065.png
    1.1 MB · Views: 1
Ajabu na kweli
 

Attachments

  • IMG-20250309-WA0003.jpg
    IMG-20250309-WA0003.jpg
    65.5 KB · Views: 1
Hawa watu wametengeneza mgogoro na wanajua njia ya kuhusuluhisha maofsini.

Nimeamini Simba na Yanga zinatumika kisiasa, na Toka Leo sitajisumbua na hizi timu

Wakiona derby isiharibu shughuli ya wanawake duniani, macho na masikio yawe Arusha badala ya Chang'ombe uwanja wa Taifa, maana aliyetarajiwa kuwa mgeni rasmi wa derby ndo alikuwa Arusha kwenye siku ya wanawake

Nina uhakika mechi ya marudiano ipo 💯 na mgeni rasmi atakuwa mtu mazito mno

1. Simba

Nilishangaa timu yenye uzoefu kama Simba igomee mechi kisa pitch feeling ya dakika 20 tu na wanajua itifaki na taratibu zote, pamoja na adhabu ya kukatwa points, kulipa faini ya million 5 na kushushwa daraja.
Kwa timu makini kama Simba hawawezi ku risk na kujiingiza katika hatari hii

2. Bodi ya ligi

Baada ya Simba kuandika barua ya kulalamikia minor ishu bodi ya ligi wakaitisha kikao na kamati ya masaa 72, yaani kamati ya masaa 72 inatathmini mchezo ambao haujafanyika🤣😅 hiki ni kichekesho.

Na bodi ya ligi ndo mtunga kanuni waamue kuvunja mechi Kwa sababu za kibwege tu. Na wanajua Yanga walienda CAS ni hujuma mbaya sana

3 Young Africans
Makamu wa Rais wa Yanga akaibuka na kauli ya msimamo hewa ati mechi haichezwi tena na sisi mashabiki tukadakia

Leo asbh kabla ya misa ya kwanza bus la Young Africans likaamukia Bunju kwenye uwanja wa Simba na mabango ya TUNAMSAKA MY WETU, hii ni kuonesha kuwa mechi ikipangiwa tarehe nyingine mashabiki wawe tayari akilini kuwa Simba walikimbia Sasa laZima wacheze ili wamfunge MY WETU

4. TFF
Ukimya wa taasisi ya football kidogo umenishangaza, hawajakemea Simba,Yanga wala bodi ya ligi, wao wapo kimya tu,

TFF hawajaomba radhi Kwa mashabiki na wawekezaji waliopata usumbufu kama Azam media

5 Wizara ya michezo na serika

Wizara ya michezo akina maana FA hawa ndo wanatembeaga na sandarusi la pesa ya goli la mama, Kwa tukio kubwa kama hili na kashfa nyuma yake naamini wangetoa tamko au neo lolote Kwa wana football

Mashabiki na Watanzania hizi timu zinatupotezea concentration lakini hazipo serious kama tunavodhani, tupambane mambo ya muhimu katika Taifa
Kwa hili kuto omba radhi TFF wamethibitisha kwamba wapo kama sanamu- figure heads,

There inhuman and do not have entrepreneurship skills, it is a self absorbed group
 
Kwani wewe unajiona una akili? Kama ulikuwa hujijui wewe sio lofa tu, bali ni taahira.
 
Hawa watu wametengeneza mgogoro na wanajua njia ya kuhusuluhisha maofsini.

Nimeamini Simba na Yanga zinatumika kisiasa, na Toka Leo sitajisumbua na hizi timu

Wakiona derby isiharibu shughuli ya wanawake duniani, macho na masikio yawe Arusha badala ya Chang'ombe uwanja wa Taifa, maana aliyetarajiwa kuwa mgeni rasmi wa derby ndo alikuwa Arusha kwenye siku ya wanawake

Nina uhakika mechi ya marudiano ipo 💯 na mgeni rasmi atakuwa mtu mazito mno

1. Simba

Nilishangaa timu yenye uzoefu kama Simba igomee mechi kisa pitch feeling ya dakika 20 tu na wanajua itifaki na taratibu zote, pamoja na adhabu ya kukatwa points, kulipa faini ya million 5 na kushushwa daraja.
Kwa timu makini kama Simba hawawezi ku risk na kujiingiza katika hatari hii

2. Bodi ya ligi

Baada ya Simba kuandika barua ya kulalamikia minor ishu bodi ya ligi wakaitisha kikao na kamati ya masaa 72, yaani kamati ya masaa 72 inatathmini mchezo ambao haujafanyika🤣😅 hiki ni kichekesho.

Na bodi ya ligi ndo mtunga kanuni waamue kuvunja mechi Kwa sababu za kibwege tu. Na wanajua Yanga walienda CAS ni hujuma mbaya sana

3 Young Africans
Makamu wa Rais wa Yanga akaibuka na kauli ya msimamo hewa ati mechi haichezwi tena na sisi mashabiki tukadakia

Leo asbh kabla ya misa ya kwanza bus la Young Africans likaamukia Bunju kwenye uwanja wa Simba na mabango ya TUNAMSAKA MY WETU, hii ni kuonesha kuwa mechi ikipangiwa tarehe nyingine mashabiki wawe tayari akilini kuwa Simba walikimbia Sasa laZima wacheze ili wamfunge MY WETU

4. TFF
Ukimya wa taasisi ya football kidogo umenishangaza, hawajakemea Simba,Yanga wala bodi ya ligi, wao wapo kimya tu,

TFF hawajaomba radhi Kwa mashabiki na wawekezaji waliopata usumbufu kama Azam media

5 Wizara ya michezo na serika

Wizara ya michezo akina maana FA hawa ndo wanatembeaga na sandarusi la pesa ya goli la mama, Kwa tukio kubwa kama hili na kashfa nyuma yake naamini wangetoa tamko au neo lolote Kwa wana football

Mashabiki na Watanzania hizi timu zinatupotezea concentration lakini hazipo serious kama tunavodhani, tupambane mambo ya muhimu katika Taifa
Bodi ya Ligi ya Tanzania haina weledi ilitakiwa maamuzi yafanyike ndani ya saa 1 kuthibitisha kwamba wajumbe hawana weledi hawakuwepo uwanjani wanategemea meneja wa uwanja na kamishina wa mchezo hata hivyo kwa zama hizi za kidigitali hawaendani na Kasi yake

There primitives, thus running an organization in a primitive manners similarly to poor management skills

Cha ajabu ticket zinapatikana Kwa njia ya mtandao wao wanaendesha taasisi kijima, wakae pembeni
 
Bodi ya Ligi ya Tanzania haina weledi ilitakiwa maamuzi yafanyike ndani ya saa 1 kuthibitisha kwamba wajumbe hawana weledi hawakuwepo uwanjani wanategemea meneja wa uwanja na kamishina wa mchezo hata hivyo kwa zama hizi za kidigitali hawaendani na Kasi yake

There primitives, thus running an organization in a primitive manners similarly to poor management skills

Cha ajabu ticket zinapatikana Kwa njia ya mtandao wao wanaendesha taasisi kijima, wakae pembeni
Bodi ya ligi, Simba na Yanga walikaa mezani wanacheza movie wala hamna u serious kama unadhani wewe
 
Bodi ya ligi, Simba na Yanga walikaa mezani wanacheza movie wala hamna u serious kama unadhani wewe
Tanzania tukubali kwamba tunaongozwa na wapumbavu, upumbavu ni kipaji mpumbavu ni mtu aliyebobea kwenye jambo fulani lakini ana mapuuza hatekelezi majukumu yake kwa weledi
 
Kama umeona unafki wa viongozi wako, taratibu unaanza kupona. Soon utakuwa mzima kabisa na utashangaa hata hiyo timu uliishabikiaje. Nadhani ulilogwa na shangazi yako mmoja upande wa baba ila usijali una dalili za kupona.
Huna uwezo wa kupambana mambo
Upo gizani we ni layman tu
Hapa najichosha hata kukueleza haya mambo yanayotaka fikra pevu
 
Hawa watu wametengeneza mgogoro na wanajua njia ya kuhusuluhisha maofsini.

Nimeamini Simba na Yanga zinatumika kisiasa, na Toka Leo sitajisumbua na hizi timu

Wakiona derby isiharibu shughuli ya wanawake duniani, macho na masikio yawe Arusha badala ya Chang'ombe uwanja wa Taifa, maana aliyetarajiwa kuwa mgeni rasmi wa derby ndo alikuwa Arusha kwenye siku ya wanawake

Nina uhakika mechi ya marudiano ipo 💯 na mgeni rasmi atakuwa mtu mazito mno

1. Simba

Nilishangaa timu yenye uzoefu kama Simba igomee mechi kisa pitch feeling ya dakika 20 tu na wanajua itifaki na taratibu zote, pamoja na adhabu ya kukatwa points, kulipa faini ya million 5 na kushushwa daraja.
Kwa timu makini kama Simba hawawezi ku risk na kujiingiza katika hatari hii

2. Bodi ya ligi

Baada ya Simba kuandika barua ya kulalamikia minor ishu bodi ya ligi wakaitisha kikao na kamati ya masaa 72, yaani kamati ya masaa 72 inatathmini mchezo ambao haujafanyika🤣😅 hiki ni kichekesho.

Na bodi ya ligi ndo mtunga kanuni waamue kuvunja mechi Kwa sababu za kibwege tu. Na wanajua Yanga walienda CAS ni hujuma mbaya sana

3 Young Africans
Makamu wa Rais wa Yanga akaibuka na kauli ya msimamo hewa ati mechi haichezwi tena na sisi mashabiki tukadakia

Leo asbh kabla ya misa ya kwanza bus la Young Africans likaamukia Bunju kwenye uwanja wa Simba na mabango ya TUNAMSAKA MY WETU, hii ni kuonesha kuwa mechi ikipangiwa tarehe nyingine mashabiki wawe tayari akilini kuwa Simba walikimbia Sasa laZima wacheze ili wamfunge MY WETU

4. TFF
Ukimya wa taasisi ya football kidogo umenishangaza, hawajakemea Simba,Yanga wala bodi ya ligi, wao wapo kimya tu,

TFF hawajaomba radhi Kwa mashabiki na wawekezaji waliopata usumbufu kama Azam media

5 Wizara ya michezo na serika

Wizara ya michezo akina maana FA hawa ndo wanatembeaga na sandarusi la pesa ya goli la mama, Kwa tukio kubwa kama hili na kashfa nyuma yake naamini wangetoa tamko au neo lolote Kwa wana football

Mashabiki na Watanzania hizi timu zinatupotezea concentration lakini hazipo serious kama tunavodhani, tupambane mambo ya muhimu katika Taifa
Hii script imechorwa tu vizuri mechi isichezwe jumamosi,..
2025 hii kila platform kubwa lazma itumike..
Na platform kubwa ya kimichezo ni game ya Simba na yanga
Isingewezekana mechi kuchezwa pale bila mhusika mkuu kuwepo,
game itapangiwa tarehe nyingine huku ratiba zote zikiangaliwa vizuri mambo yasije yakaingiliana tena na team zote zitatokea uwanjani na kitapigw
 
Hawa watu wametengeneza mgogoro na wanajua njia ya kuhusuluhisha maofsini.

Nimeamini Simba na Yanga zinatumika kisiasa, na Toka Leo sitajisumbua na hizi timu

Wakiona derby isiharibu shughuli ya wanawake duniani, macho na masikio yawe Arusha badala ya Chang'ombe uwanja wa Taifa, maana aliyetarajiwa kuwa mgeni rasmi wa derby ndo alikuwa Arusha kwenye siku ya wanawake

Nina uhakika mechi ya marudiano ipo 💯 na mgeni rasmi atakuwa mtu mazito mno

1. Simba

Nilishangaa timu yenye uzoefu kama Simba igomee mechi kisa pitch feeling ya dakika 20 tu na wanajua itifaki na taratibu zote, pamoja na adhabu ya kukatwa points, kulipa faini ya million 5 na kushushwa daraja.
Kwa timu makini kama Simba hawawezi ku risk na kujiingiza katika hatari hii

2. Bodi ya ligi

Baada ya Simba kuandika barua ya kulalamikia minor ishu bodi ya ligi wakaitisha kikao na kamati ya masaa 72, yaani kamati ya masaa 72 inatathmini mchezo ambao haujafanyika🤣😅 hiki ni kichekesho.

Na bodi ya ligi ndo mtunga kanuni waamue kuvunja mechi Kwa sababu za kibwege tu. Na wanajua Yanga walienda CAS ni hujuma mbaya sana

3 Young Africans
Makamu wa Rais wa Yanga akaibuka na kauli ya msimamo hewa ati mechi haichezwi tena na sisi mashabiki tukadakia

Leo asbh kabla ya misa ya kwanza bus la Young Africans likaamukia Bunju kwenye uwanja wa Simba na mabango ya TUNAMSAKA MY WETU, hii ni kuonesha kuwa mechi ikipangiwa tarehe nyingine mashabiki wawe tayari akilini kuwa Simba walikimbia Sasa laZima wacheze ili wamfunge MY WETU

4. TFF
Ukimya wa taasisi ya football kidogo umenishangaza, hawajakemea Simba,Yanga wala bodi ya ligi, wao wapo kimya tu,

TFF hawajaomba radhi Kwa mashabiki na wawekezaji waliopata usumbufu kama Azam media

5 Wizara ya michezo na serika

Wizara ya michezo akina maana FA hawa ndo wanatembeaga na sandarusi la pesa ya goli la mama, Kwa tukio kubwa kama hili na kashfa nyuma yake naamini wangetoa tamko au neo lolote Kwa wana football

Mashabiki na Watanzania hizi timu zinatupotezea concentration lakini hazipo serious kama tunavodhani, tupambane mambo ya muhimu katika Taifa
Uwache kukimbilia supu za vibudu akili zote zimechukuliwa...haji manara ajengewe sanamu wenye akili yanga ni wawili tu!
 
Back
Top Bottom