Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
- Thread starter
-
- #21
Wewe huwezekani [COLOR=red[Yaani Umehamia angle Nyingine....[/COLOR] Ila pole Sana.
Haya pia ni Matokeo Ya Soka!
Haya....tupe matokeo ya uwanjani Simba SC dhidi ya ASEC Mimosas
Uungwana Uungwana Ndio Uti Wa Mgongo Wa Mpira Wa Miguu.Wapigwe tuu...nini kimewapelekaa....nakumbuka kipnd flan shabik wa simba alichaniwa jezi na washabk wa yanga..ss navyowaskia wachambuz wanalaan utafikir wana simba hawafanyiw ivo
Na Hiyo Ndio Hatari Sana Tukifika Huko.Saivi itakuwa ni kuviziana
Mkilipiziwa msilalamike dawa ya moto ni motoSiungi mkono vurugu hasa za kupigana kwa mashabiki wa soka hususan wa Simba na Yanga.
Lakini nimeona maranyingi mechi za Simba za kimataifa mashabiki wa Yanga wanakuepo na hawapigwi,labda ilo tukio la leo kuna shabiki wa Yanga aliwachokoza mashabiki wa Simba utani wa kuvuka mipaka kama matusi au vinginevyo.
Kupandikiza Chuki Pia Ni Kosa Kama Wale Wanavyopiga Watu Viwanjani Sheria Zichukue Mkondo Wake Kukomesha Haya.
Heshima Yako Mkuu.Kichwa chako kichafu?
Bob sijaangalia match matokeo yakoje?
Uungwana Ndio Uti Wa Mgongo Wa Mpira Wa Miguu Duniani.Mishabiki ya yanga mipumbavu sana..acha ipigwe ili akili ziwakae sawa
Uungwana!Mechi haiwahusu wamefuata nini uwanjani,wapigwe tu
Tulieni ivyo ivyo ole wenu msogee kwenye mechi za yanga,,,mmefurahi sio sasa mkilipiziwa msije mkalalamika dawa ya moto ni motoSisi tunawakilisha nchi wao wanaleta ujinga, ni haki yao kufukuzwa. Ingelikua Simba na Mtibwa sawa, ila linapokuja suala la kuwakilisha nchi walitakiwa waweke uyanga wao pembeni otherwise wasije uwanjani.
Waangslie kwenye luninga waache umbeaUungwana!
Uungwana Ndio Uti Wa Mgongo Wa Mpira Wa Miguu Duniani.
Uungwana upo huu wa kumtukania mtu mamaake?Hujafahamu Maana Ya Uungwana Katika Football.
Hata mimi ukinitukania mama yangu, tunamalizana hapohapo, nakubonda isasavyo. Wewe umekuja kuangalia mpira fata kilichokupeleka.Kuna Njia Sahihi Za Kushughulika Na Matukio Hayo Maana Kuamka Na Kuanza Kumshushia Kipigo Kizito Kuna Chafua Soka Letu Na Klabu Husika.
Kumbe umesikia alafu unatuletea habari chonganishi humuNilisikia Juu Juu Kuwa 3-1.
Kumbe umesikia alafu unatuletea habari chonganishi humuNilisikia Juu Juu Kuwa 3-1.
Utetezi wa kuhalalisha ujinga. Hamuwezi kustaarabika acheni kwenda uwanjani. Kama mmoja alitukaniwa mama yake huyo mama alizaa mashabiki wote?Mimi nilikuwepo eneo la tukio, kuna shabiki mmoja wa Yanga alimtukania jamaa mamake, level ya uvumilivu ilikuwa ni ndogo kwa aliyetukaniwa mama ndo ugomvi ulipoanzia.
Ile jamaa wa yanga kutaka kupiganaashabiki wa simba wakaamka kwa hasira na kumshushia kipigo kikali.
Hata humu Jf kuna watu wana utani uliovuka mipaka, laiti kama isimgekuwa anonymity wengi wangekuwa wamechezea vichapo.
Unahalalisha ujinga kwa mfano wa kijinga? Sisi tusio utambua huo upopoma wenu tuliwakemea na kuwataka TFF watoe adhabu na ilitolewa.Wapigwe tuu...nini kimewapelekaa....nakumbuka kipnd flan shabik wa simba alichaniwa jezi na washabk wa yanga..ss navyowaskia wachambuz wanalaan utafikir wana simba hawafanyiw ivo