William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,761
- 2,391
Hilo ninauhakika. Hawana jeuri ya kusema kuwa feitoto alitakiwa afanye Nini kisheria. Nasisitiza hakuna hoja za kisheria zinazombana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka maji ataita MmaHilo ninauhakika. Hawana jeuri ya kusema kuwa feitoto alitakiwa afanye Nini kisheria. Nasisitiza hakuna hoja za kisheria zinazombana
Mbona maneno yapo sita? 😁Watarudia maneno matano tu. Feitoto ni mchezaji wa Yanga kimkataba
Mbona wamefanya review aliyoomba na kayakanyaga mbele ya shangazi.Hilo ninauhakika. Hawana jeuri ya kusema kuwa feitoto alitakiwa afanye Nini kisheria. Nasisitiza hakuna hoja za kisheria zinazombana
Darasa la 4 la zamani lilikuwa na nguvu kuliko baadhi ya Wasomi wa sasa kama wewe.Hilo ninauhakika. Hawana jeuri ya kusema kuwa feitoto alitakiwa afanye Nini kisheria. Nasisitiza hakuna hoja za kisheria zinazombana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]Mbona maneno yapo sita? [emoji16]
Utabiri umetimia nilijua tu itakuwa hivyoMbona maneno yapo sita? 😁
Swala sio huruma swala Ni kuwekwa wazi vipengere vilivyombanaBush lawyers bado wanatapa tapa. Hakuna huruma hapa
Swala sio huruma swala Ni kuwekwa wazi vipengere vilivyombana
msiwe mnatabiri vitu vyepesi vyepesi kama hivi ambavyo vipo dhahiri kabisa. Kuna member humu alitabiri Simba kuishinda Vipers 1-0 na Yanga kutoa sare ya 1-1 dhidi ya AS Bamako, hayo sasa ndio mambo ya kujivunia inapotokea outcome sahihiUtabiri umetimia nilijua tu itakuwa hivyo
Vipengere× = Vipengele ✓Swala sio huruma swala Ni kuwekwa wazi vipengere vilivyombana
Wengi wao hawana huo upeo, wanachoangalia wao ni kubebwa na TFF pekee, wajinga wanadumazwa akili na TFF na wanashangilia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Swala sio huruma swala Ni kuwekwa wazi vipengere vilivyombana