kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
- Thread starter
- #101
TFF inataka kumaliza uchawi Tanzania na kuziacha nchi nyingine zikiloga bila kuchukuliwa hatua. Ona, huu hapa ni zaidi ya kupitia mlango mwingine kwenda uwanjani.Hahaha. We jamaa umedata aisee. Kesho tembea kinyumenyume kutoka huko chanika hadi kariakoo kuuenzi huo utamaduni wako
View: https://www.youtube.com/watch?v=91T03bzKcYg&t=23s