TFF inataka kumaliza uchawi Tanzania na kuziacha nchi nyingine zikiloga bila kuchukuliwa hatua. Ona, huu hapa ni zaidi ya kupitia mlango mwingine kwenda uwanjani.Hahaha. We jamaa umedata aisee. Kesho tembea kinyumenyume kutoka huko chanika hadi kariakoo kuuenzi huo utamaduni wako
Kusema watu wasitumie ushikina kwenye michezo unamaanisha nini? Kupitia mlango mwingine kwaajili ya kukwepa ushirikina ndio ushirikina?Kbsaaaa asiingizee mambo yake mungu kwa kuwa timu inatumia na kuamini ushirikina. Alfu ajabu eti wawapo uwanjanj unawaona wakipinga magoti Tena kumlilia na kumuomba mungu ..mm huwa sielewi kbsaa mambo ya kishirikina wkt huo huo Bado mnaenda kumuomba mungu awafushe
Kwa kifupi Sana kuwa hao wachezaji wache tabia za kilozi
Hahaha watakuja wakuambie hata mchawi humuomba mungu πππ
Uchawi hauwezi kumalizwa na TFF, wanataka pesa TU kutoka kwenye timu, tutawapa lakini watu wetu wanaamini na kuuogopa uchawi bila kujali dini, elimu, cheo Wala kabilaSawa mshika dini