Soma taarifa ya bodi kwanini mechi ilihairishwa, aya ya mwisho. Tunauliza maswali yasiyo sahihi sababu hatusomi.Hili swali nimelitoa humuhumu Kwa mwana JF nikali highligh tu maana hata Mimi nimejiuliza sana na nimeliuliza sana Kuanzia Jana ila Kila mtu ukimuuliza ana lala mbele.
View attachment 3264198
Kwa hiyo nyinyi simba ni wageni wa uwanja wa Mkapa kiasi cha kuona ni bora kususia mechi, badala ya kucheza mechi kwa mujibu wa ratiba, na hao wahusika walio wazuia kuingia uwanjani kuchukuliwa hatua za kisheria!!Soma taarifa ya bodi kwanini mechi ilihairishwa, aya ya mwisho. Tunauliza maswali yasiyo sahihi sababu hatusomi.
View attachment 3264331
Mkuu, sababu ya kuhairishwa mechi inayotajwa na hiyo taarifa ya bodi ni Simba kuzuiwa mazoezi tu?Kwa hiyo nyinyi simba ni wageni wa uwanja wa Mkapa kiasi cha kuona ni bora kususia mechi, badala ya kucheza na hao wahusika walio wazuia kuingia uwanjani kuchukuliwa hatua za kisheria!!
Ni siku chache tu mlitoka kucheza na Azam! Shida ilikuwa kweli ni kunyimwa nafasi ya kufanya mazoezi ya mwisho, au kuna sababu nyingine nyuma ya pazia? Mfano ishu ya ushirikina, na pia hofu ya kipigo kutokana na baadhi ya wachezaji muhimu kuwa na majeraha!!
Sababu nyingine ni zipi nje ya hii ya kuzuiwa kuingia uwanjani?Mkuu, sababu ya kuhairishwa mechi inayotajwa na hiyo taarifa ya bodi ni Simba kuzuiwa mazoezi tu?
Soma aya ya mwisho boss ni kwanini Mechi imehairishwa.Sababu nyingine ni zipi nje ya hii ya kuzuiwa kuingia uwanjani?
Kweli kaka.. na kama hiyo kanuni inaainisha mgeni akinyimwa nafasi yakufanya mazoezi, adhabu ya mwenyej ni faini, kama hivyo ndivyo si timu zitafanya maksudi tuu kumyima mgeni asifanye mazoez akijua atalipa tuu icho ki faini. Hapa tunaharibu, pongezi kwa viongozi wa Simba huu ujinga lazima ukomeshwe.Na huo uhuni ndio ilitakiwa kutumika kufanikisha upuuzi wa utopolo kwa kuchungulia madhaifu ya Kanuni za bodi ya ligi. Kwa Bahati mbaya viongozi wa Simba ni smart zaidi ya wale wa utopolo...Na kuna uwezekano wa kugombea na mechi nyingine za ligi kama hatua za kinidhamu hazitachukuliwa dhidi ya hao wahuni...Upumbavu upumbavu hatutaki! UBAYA UBWELA