TFF inaendesha mpira kwa kupendelea Simba

TFF inaendesha mpira kwa kupendelea Simba

APPROXIMATELY

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2021
Posts
2,035
Reaction score
2,715
TFF inaendesha mpira kupendelea Simba, leo hii imejihizirisha,kusogeza mechi ya Simba na Mbeya City mbele, kwa sababu za kipumbavu ni kuzalilisha nchi yetu.

Nauliza hapa Simba walipoenda huko Dubai wameenda kuwakilisha nchi? Simba walipo enda huko Dubai TFF imewahusu nini mpaka wakasogeza mechi mbele? Kwani hii ni preason?

TFF WAPO KWA AJILI YA KUPOKEA PESA ZA SIMBA?
Eti tumehairisha mechi kwa kuwa Simba watakuwa na mchovu wa safari, khaaaaaah bonge la ujinga. Leo hii nimegundua mpira wa Tanzania unaendeshwa kwa rushwa na kupendelea Simba, God bless TFF.
 
Kikawaida fair play inatakowa iwepo lkn ingelokua timu nyingine wangrkataa. Hiyo fair kwa nn isiwe kwa timu zote? Yanga olikataliwa ilipotoka sudan ikabid icheze kwa fatigue.

All in all hii mechi kolo atapoteza. Mechi zote kuahirishwa hua anapigwa hata sare hua hapati.
 
Kikawaida fair play inatakowa iwepo lkn ingelokua timu nyingine wangrkataa. Hiyo fair kwa nn isiwe kwa timu zote? Yanga olikataliwa ilipotoka sudan ikabid icheze kwa fatigue.

All in all hii mechi kolo atapoteza. Mechi zote kuahirishwa hua anapigwa hata sare hua hapati.
Utopolo wazee wa mbeleko kulia lia Tff kipindi inawapa kona goli ilikuwa haiipendelei Simba Mnyama
 
TFF inaendesha mpira kupendelea Simba, leo hii imejihizirisha,kusogeza mechi ya Simba na Mbeya City mbele, kwa sababu za kipumbavu ni kuzalilisha nchi yetu.

Nauliza hapa Simba walipoenda huko Dubai wameenda kuwakilisha nchi? Simba walipo enda huko Dubai TFF imewahusu nini mpaka wakasogeza mechi mbele? Kwani hii ni preason?

TFF WAPO KWA AJILI YA KUPOKEA PESA ZA SIMBA?

Eti tumehairisha mechi kwa kuwa Simba watakuwa na mchovu wa safari, khaaaaaah bonge la ujinga. Leo hii nimegundua mpira wa Tanzania unaendeshwa kwa rushwa na kupendelea Simba, God bless TFF.
Sioni tatizo kuwasogezea Simba Mechi yao mbele kutokana na majukumu ya maandalizi. Tatizo ni pale walipokataa kusogeza mbele Mechi ya Kagera Vs Yanga wakitokea Tunis. Lile lilikuwa kosa na naamini hata wao TFF wanajua walikurupuka Ila hawawezi kusema hadharani Kwa Sasa.
 
TFF inaendesha mpira kupendelea Simba, leo hii imejihizirisha,kusogeza mechi ya Simba na Mbeya City mbele, kwa sababu za kipumbavu ni kuzalilisha nchi yetu.

Nauliza hapa Simba walipoenda huko Dubai wameenda kuwakilisha nchi? Simba walipo enda huko Dubai TFF imewahusu nini mpaka wakasogeza mechi mbele? Kwani hii ni preason?

TFF WAPO KWA AJILI YA KUPOKEA PESA ZA SIMBA?

Eti tumehairisha mechi kwa kuwa Simba watakuwa na mchovu wa safari, khaaaaaah bonge la ujinga. Leo hii nimegundua mpira wa Tanzania unaendeshwa kwa rushwa na kupendelea Simba, God bless TFF.

Ndio ukweli ligi yetu Bila Simba na Yanga; Hamna Mpira
 
Hilo Shirikisho linaendeshwa na vilaza! Unategemea nini? Enzi za Msomi Leodgar Chilla Tenga, upuuzi kama huo usingetokea.
Enzi ya leodger Tenga nakumbuka alituhusu muamala wa simba kwenda kwa baadhi ya wachezaji wa uto wacheze hovyo watandikwe 5 mtungi umesahau?
 
Pambana utoke kwenye 0.5 yako
Ukubwa wa timu unapimwa kwa umri wake tangu ilipoanzishwa, fan base yake, na wingi wa mataji!

Leo hii nikikuuliza Man City, Real Madrid, au Barcelona zinashika nafasi ya ngapi Ulaya/duniani! Utakuwa na majibu? Lakini ukifuatilia mwaka wake wa kuanzishwa na mataji iliyochukua; ndipo utapata majibu kama ni timu kubwa, au la.
 
Back
Top Bottom