TFF inaendesha mpira kwa kupendelea Simba

TFF inaendesha mpira kwa kupendelea Simba

Nchi imejaa wapuuzi na wajinga ndio maana sio kwa serikali au Tff wanaweza kufanya wanachojisikia, ni aibu kwa mpira wetu Ratiba ya ligi ibadilishwe kwasababu za kipuuzi kiasi hiki!!. Vipi na Mbeya city wakiomba mechi isogezwe mbele?, Kuna vitu vya kijinga havipaswa kufanyika na watu humu wanashupaza mafuzu yao "eti Simba ni kubwa!!" Ukubwa kwenye upuuzi??.. Simba ilipoenda Dubai na kuandaa hizo mechi za kirafiki haikutambua Ratiba ya mechi zake za ligi?, Tff na Simba wapunguze upuuzi na naamini kwakuwa mpira wetu ni Simba na Yanga tutegemee siku za usoni yanga kuja na kitu hiki ili kuona nini kinafuata...!!
 
Ukubwa wa timu unapimwa kwa umri wake tangu ilipoanzishwa, fan base yake, na wingi wa mataji!

Leo hii nikikuuliza Man City, Real Madrid, au Barcelona zinashika nafasi ya ngapi Ulaya/duniani! Utakuwa na majibu? Lakini ukifuatilia mwaka wake wa kuanzishwa na mataji iliyochukua; ndipo utapata majibu kama ni timu kubwa, au la.
Okay tuje kwenye fan base leta data za uto ig vs simba ig
Facebook uto vs simba
Twitter uto vs simba tuone nani mkubwa?
Klabu yako inaweza kuwa kongwe lakini ukongwe wake unakaribia kumaliza mwendo
 
Nchi imejaa wapuuzi na wajinga ndio maana sio kwa serikali au Tff wanaweza kufanya wanachojisikia, ni aibu kwa mpira wetu Ratiba ya ligi ibadilishwe kwasababu za kipuuzi kiasi hiki!!. Vipi na Mbeya city wakiomba mechi isogezwe mbele?, Kuna vitu vya kijinga havipaswa kufanyika na watu humu wanashupaza mafuzu yao "eti Simba ni kubwa!!" Ukubwa kwenye upuuzi??.. Simba ilipoenda Dubai na kuandaa hizo mechi za kirafiki haikutambua Ratiba ya mechi zake za ligi?, Tff na Simba wapunguze upuuzi na naamini kwakuwa mpira wetu ni Simba na Yanga tutegemee siku za usoni yanga kuja na kitu hiki ili kuona nini kinafuata...!!
Unaumia ukiwq wapi?
 
Okay tuje kwenye fan base leta data za uto ig vs simba ig
Facebook uto vs simba
Twitter uto vs simba tuone nani mkubwa?
Klabu yako inaweza kuwa kongwe lakini ukongwe wake unakaribia kumaliza mwendo
Acha kuwaza kijinga ukubwa wa timu unapimwa na fans base kumbe?, Vipi Al nasri aliyojiunga Cr7 leo ni kubwa kuliko PSG? 😅... Unakalilishwa ujinga kijana
 
Okay tuje kwenye fan base leta data za uto ig vs simba ig
Facebook uto vs simba
Twitter uto vs simba tuone nani mkubwa?
Unapoitaja Yanga, unawataja wananchi wa Tanzania. Angalia hapo kwenye familia yako tu kuna mashabiki wangapi wa Yanga, ukilinganisha na simba, halafu unipe mrejesho!
 
Acha kuwaza kijinga ukubwa wa timu unapimwa na fans base kumbe?, Vipi Al nasri aliyojiunga Cr7 leo ni kubwa kuliko PSG? 😅... Unakalilishwa ujinga kijana
Nimemjibu mwenzako aliendika fan base wekaneni sawa
 
Unapoitaja Yanga, unawataja wananchi wa Tanzania. Angalia hapo kwenye familia yako tu kuna mashabiki wangapi wa Yanga, ukilinganisha na simba, halafu unipe mrejesho!
Unaposema wananchi ni wale watu hohe hae ambao hata kumiliki simu janja kuja mtandaoni kulike social media pages zenu hawawezi
 
Suala sio kuumia, hapa suala je Kuna sababu zipi za msingi zilizopelekea ratiba kubadilija..... Umekaa kishabiki maandazi!!.
Basi tuliza kalio pesa inaongea
 
Hii taarifa imetolewa lini na wapi? Nina uhakika hii taarifa haina ukweli.
 
Sasa Simba ambayo kwa mujibu wa CAF ndo timu ya 11 bora Africa nzima kati ya timu zaidi ya 1000, kwanini ifananishwe na utopolo ambayo ipo nafasi ya 74 huko, kwa kupewa kipaumbele sawa? Simba ni mtoto pendwa (last born) wa CAF na TFF. Ndo maana unaona kila wiki lazima CAF waionyeshe simba. Utopolo sijawahi waona hata siku moja 😂😂
 
TFF anapendelean Simba na Yanga

Simba mchezo wake umehairishwa bila sababu maalum pengine Simba wamesort na Mbeya city ndo maana mbeya city wapo kimya ila sio sawa

Yanga walifanya usajili wa kisinda kimazabe kumficha mchezaji avic town kumleta kisinda dirisha limefungwa wao na tff wakaongopa mchezaj katolewa kwa mkopo na eti yawanga waliwah dirisha..

TFF wako wanapendelea simba na yanga
 
Ukubwa wa timu unapimwa kwa umri wake tangu ilipoanzishwa, fan base yake, na wingi wa mataji!

Leo hii nikikuuliza Man City, Real Madrid, au Barcelona zinashika nafasi ya ngapi Ulaya/duniani! Utakuwa na majibu? Lakini ukifuatilia mwaka wake wa kuanzishwa na mataji iliyochukua; ndipo utapata majibu kama ni timu kubwa, au la.
Hiyo timu kubwa ya utopolo inashika nafasi ya ngapi kwenye rank za FIFA/CAF? au Utasema rank ni ujinga kwasababu inashika nafasi ya 78?
Screenshot_20230114-092758_1.jpg
 
Back
Top Bottom