TFF Inunue Golf Cart ya Kubebea Majeruhi Kutoka Uwanjani

Kichuguu

Platinum Member
Joined
Oct 11, 2006
Posts
17,048
Reaction score
22,790
Uwanja wa Mkapa ni uwanja mzuri sana wenye sifa zote za kimataifa. Kinacghotia aibu ni pale mchezaji anapoumia, basi jamaa wa first Aid humbebva kwa machela, jambo ambalo ni la kizamani sana na huweza kusababisha mchezaji kuangushwa iwapo wabebaji hawatakuwa na kimo kimoja.

Imefika wakati wa TFF kununu Golf Cart yenye kutumia betri kwa kazi hiyo; bei yake haifiki $3000 tu.

 
Ushauri sigo mbaya,ila kwa vigezo vyako umechemka.
Miaka yote toka huo uwanja uanze kutumiwa,wameanguka wachezaji wangapi,kwa kubebwa na watu wenye kimo tofauti! Unahisi wanaochagua wa kubeba majeruhi,akili hiyo hawana?!
 
Imefika wakati wa TFF kununu Golf Cart yenye kutumia betri kwa kazi hiyo; bei yake haifiki $3000 tu.
Bi Kizimkazi angekuwa na watenda kazi wenye akili angetoa hela za Golf Cart na si hela ya kununua magoli ya Simba na Yanga.

Tupo nyuma kimaendeleo huku wenye dhamana wakitapanya hela Kwa mambo yasiyo na tija
 
Ushauri sigo mbaya,ila kwa vigezo vyako umechemka.
Miaka yote toka huo uwanja uanze kutumiwa,wameanguka wachezaji wangapi,kwa kubebwa na watu wenye kimo tofauti! Unahisi wanaochagua wa kubeba majeruhi,akili hiyo hawana?!
Acha ushamba wewe: Viwanja vingine vya kisasa vinavyotumia golf carts huwa wanaanguka watu wangapi?
 
Huenda hawajui manufaa yake!
ila mara nyingi wanaangalia mpira UEFA n.k, walitakiwa kuangalia kwenye viwanja vya wenzetu kuna nini ili na huku waviweke vile ambavyo wana uwezo navyo. kweli kagolf kama haka ndio hadi kiongozi akumbushwe? kwani hajui wajibu wake, ningekuwa mimi ningeona aibu sana.
 
Acaha ushamba wewe: Viwanja vingine vya kisasa vinavyotumia golf carts huwa wanaanguka watu wangapi?
Sawa,nimekuelewa. Ungependa kuiona uwanjani. Wahusika, bado wana machela za kutosha! Pole sana
 
serikali ndio wenye uwanja huo,na ndio watanunua maana nimesikia ni mpango wa matengenezo
 
Tanzania yangu.

Hata substitution bord inatushinda ipo ya kishamba mno.

Kibao cha namba kinachotumiwa kuwaita wachezaji nje ya uwanja kwenye substitution huitwa "substitution board" au "sub board" kwa ufupi.

Bado pia wanazingua kwenye microfones za marefa wanajaza magundi.

Sterwards wetu wanaangalia Mpira baada ya Usalama.

Askari wanaingia Uwanjani nw Magwanda nk

CHANGAMOTO NI NYINGI SANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…