Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
Uwanja wa Mkapa ni uwanja mzuri sana wenye sifa zote za kimataifa. Kinacghotia aibu ni pale mchezaji anapoumia, basi jamaa wa first Aid humbebva kwa machela, jambo ambalo ni la kizamani sana na huweza kusababisha mchezaji kuangushwa iwapo wabebaji hawatakuwa na kimo kimoja.
Imefika wakati wa TFF kununu Golf Cart yenye kutumia betri kwa kazi hiyo; bei yake haifiki $3000 tu.
Imefika wakati wa TFF kununu Golf Cart yenye kutumia betri kwa kazi hiyo; bei yake haifiki $3000 tu.