Tetesi: TFF kuburuzwa FIFA na Yanga kwa kuahirisha mchezo halali wa ligi bila sababu maalum

Tetesi: TFF kuburuzwa FIFA na Yanga kwa kuahirisha mchezo halali wa ligi bila sababu maalum

Machi 8 ni siku ya kina Mama na Simba SC.
 
Talking point wiki yote hii, kuanzia leo hadi jmosi ijayo kila kijiwe itakuwa ndio story.
 
Huyo jamaa anaitwa Patrick anazidi kuwapoteza.

Hakuna mwanasheria wa namna ile.

Kwanza mkienda tu FIFA mkataja jina la Club yenu FIFA waki search mwenye database zao watakutana na kesi zenu za madai na udhulumishi.

Kufikia hapo mtaonekana ni Club ya wahuni na haifai kusikikizwa madai yake mpaka pale watapomalizana na madeni wanayodaiwa.
😂😂😂
 
Habari za ndani zinaeleza, Uongozi wa club ya Young africans imeketi na kuamua kuipeleka TFF katika mahakama za juu za FIFA kufuatia shirikisho hilo kuufuta mchezo namba 148 wa Ligi kuu bila sababu za msingi kinyune na sheria na taratibu za Ligi kuu bara.

Kwa mujibu wa kanuni na taratibu za Ligi, sababu pekee zinazoweza kusababisha mchezo kuahirishwa ni kifo cha mchezaji, hali mbaya ya hewa, au sababu kubwa kulingana na itakavyobainika. Nje ya hapo kanuni zinalazimu mchezo kuchezwa kisha kama kuna dosari au changamoto yoyote hatua huchukuliwa baada ya mchezo husika ikiwemo kutozwa faini au wahusika kufungiwa.

Hii italeta doa kubwa katika Ligi ya Tanzania.
Siasa chafu katika michezo hii,na mchanganyo wa siasa na michezo kwa wanufaika wa matukio na vituko hivyo.
 
Simba imefanya kitendo cha kijinga sana kwa kuikimbia mechi muhimu kama hii, kwa sababu zao za kipuuzi.
Mimi naona hata Yanga hawawezi kukwepa lawama katika hili. Kwa kuwa walikuwa wanajiamini kwamba watashinda huo mchezo kwanini walifanya kitendo cha kijinga cha kwakatalia Simba waingie wafanye mazoezi?
Tukiacha mambo ya ushabiki pembeni, hizi timu mbili ni pasua kichwa kwa soka la Bongo. Sijui kwanini bado wanaendekeza mambo ya kishirikina katika soka? Hovyo sana. Viongozi wa timu hizi na wale wenye ushawishi kwenye hizi timu ndio chanzo cha huu uchafu wa ushirikina kiendelea kutamalaki ndani timu zao. Wanakera
 
Mimi naona hata Yanga hawawezi kukwepa lawama katika hili. Kwa kuwa walikuwa wanajiamini kwamba watashinda huo mchezo kwanini walifanya kitendo cha kijinga cha kwakatalia Simba waingie wafanye mazoezi?
Tukiacha mambo ya ushabiki pembeni, hizi timu mbili ni pasua kichwa kwa soka la Bongo. Sijui kwanini bado wanaendekeza mambo ya kishirikina katika soka? Hovyo sana. Viongozi wa timu hizi na wale wenye ushawishi kwenye hizi timu ndio chanzo cha huu uchafu wa ushirikina kiendelea kutamalaki ndani timu zao. Wanakera
Je, Yanga wana funguo za mageti ya kuingia uwanja wa Mkapa? Je, simba walifuata taratibu zikiwemo za kutoa taarifa?

Katika hali ya kawaida, hujatoa taarifa halafu unaenda uwanjani na kuanza kumpigia meneja wa simu ili aje kukufungulia geti ukafanya mazoezi!! Je, hii nayo iko sawa?
 
Je, Yanga wana funguo za mageti ya kuingia uwanja wa Mkapa? Je, simba walifuata taratibu zikiwemo za kutoa taarifa?

Katika hali ya kawaida, hujatoa taarifa halafu unaenda uwanjani na kuanza kumpigia meneja wa simu ili aje kukufungulia geti ukafanya mazoezi!! Je, hii nayo iko sawa?
Kanuni ndio zinatoa taarifa sio simba
 
Huyo jamaa anaitwa Patrick anazidi kuwapoteza.

Hakuna mwanasheria wa namna ile.

Kwanza mkienda tu FIFA mkataja jina la Club yenu FIFA waki search mwenye database zao watakutana na kesi zenu za madai na udhulumishi.

Kufikia hapo mtaonekana ni Club ya wahuni na haifai kusikikizwa madai yake mpaka pale watapomalizana na madeni wanayodaiwa.
Piga kichwani bado anapumua 😂
 
Habari za ndani zinaeleza, Uongozi wa club ya Young africans imeketi na kuamua kuipeleka TFF katika mahakama za juu za FIFA kufuatia shirikisho hilo kuufuta mchezo namba 148 wa Ligi kuu bila sababu za msingi kinyune na sheria na taratibu za Ligi kuu bara.

Kwa mujibu wa kanuni na taratibu za Ligi, sababu pekee zinazoweza kusababisha mchezo kuahirishwa ni kifo cha mchezaji, hali mbaya ya hewa, au sababu kubwa kulingana na itakavyobainika. Nje ya hapo kanuni zinalazimu mchezo kuchezwa kisha kama kuna dosari au changamoto yoyote hatua huchukuliwa baada ya mchezo husika ikiwemo kutozwa faini au wahusika kufungiwa.

Hii italeta doa kubwa katika Ligi ya Tanzania.
ile kesi ya kagoma yusuph kujisajili timu mbili imeishia wapi??
 
Habari za ndani zinaeleza, Uongozi wa club ya Young africans imeketi na kuamua kuipeleka TFF katika mahakama za juu za FIFA kufuatia shirikisho hilo kuufuta mchezo namba 148 wa Ligi kuu bila sababu za msingi kinyune na sheria na taratibu za Ligi kuu bara.

Kwa mujibu wa kanuni na taratibu za Ligi, sababu pekee zinazoweza kusababisha mchezo kuahirishwa ni kifo cha mchezaji, hali mbaya ya hewa, au sababu kubwa kulingana na itakavyobainika. Nje ya hapo kanuni zinalazimu mchezo kuchezwa kisha kama kuna dosari au changamoto yoyote hatua huchukuliwa baada ya mchezo husika ikiwemo kutozwa faini au wahusika kufungiwa.

Hii italeta doa kubwa katika Ligi ya Tanzania.
Viongozi wa tff wasimamishwe
 
Bado hamjasema na mtasema tu.

Ushirikina ni kitu kibayasana
Hawa wahuni watakua walikua wamepiga uchawi mkali sana ...Sasa uchawi wao umegundulika wakazuia uwanja mana walijua timu ikiingia wanaenda kutengua huo uchawi..yanga siku zote uchawi ndio unawasaidia
 
Habari za ndani zinaeleza, Uongozi wa club ya Young africans imeketi na kuamua kuipeleka TFF katika mahakama za juu za FIFA kufuatia shirikisho hilo kuufuta mchezo namba 148 wa Ligi kuu bila sababu za msingi kinyune na sheria na taratibu za Ligi kuu bara.

Kwa mujibu wa kanuni na taratibu za Ligi, sababu pekee zinazoweza kusababisha mchezo kuahirishwa ni kifo cha mchezaji, hali mbaya ya hewa, au sababu kubwa kulingana na itakavyobainika. Nje ya hapo kanuni zinalazimu mchezo kuchezwa kisha kama kuna dosari au changamoto yoyote hatua huchukuliwa baada ya mchezo husika ikiwemo kutozwa faini au wahusika kufungiwa.

Hii italeta doa kubwa katika Ligi ya Tanzania.
Bora wapewe hizo point 3 na magoli kuliko kufungwa uwanjani tena mfululizo
 
Wale wanaoidai Yanga watafurahi Sana maana wamejipeleka wenyewe Kwa Pilato😜
 
Back
Top Bottom