TFF kumpelekea kipa Manula kocha mpya wa makipa Taifa Stars, Kaseja ni kuhatarisha hasa performance ya timu nzima kimatokeo

TFF kumpelekea kipa Manula kocha mpya wa makipa Taifa Stars, Kaseja ni kuhatarisha hasa performance ya timu nzima kimatokeo

Muacheni Kaseja naye apate ugali KMC wamemtema mnataka afe njaa anayo familia inamtegemea.
Alafu mpeni heshima anayostahili msijizime data Juma kafanya mengi kwenye mpira.
Aliyekuambia kuwa Kipa Juma Kaseja ni Masikini na ana Njaa kama Mimi na Wewe kakudanganya sana.

Kaseja ni Tajiri na amewekeza mno katika Majumba, Maduka, Magari ( Mabasi ), Kilimo na Viwanja.

Na kwa Kukusaidia tu ni kwamba 75% ya Utajiri wake umetokana na tabia yake ya Kuuza Mechi alipokuwa Simba SC na hata kule Yanga SC na ndiyo maana Watu wa Mpira huwa tunamuita Mzee wa Mbili kwa Nne ( 2 X 4 )

Simba SC ina Heshima Kubwa tu Kwake Kaseja ila inaogopa kumpa Kazi ( Majukumu ) ndani ya Kikosi kwa Kuogopa asije akawaambukiza hiyo tabia yake ya kupenda Kuuza Mechi ( Rushwa ) Makipa wa Simba SC.

Na Mwalimu wake Mkuu Kaseja wa hii tabia ya Kuuza Mechi ni Golikipa ambaye ni Role Model wake aitwae Amani Simba ambaye akichukua Pesa huanza Kudaka vyema ila zikibakia tu dakika 15 Mechi kumalizika anafungua Duka na Kufungwa Kizembe.
 
Wacha weeeee utakuwa ni Chibe Chibindu eti .....
Majina halisi ( ya RITA na NIDA ) naitwa Omary Bahari Kibua ni Mzanzibari kutoka hapa Nungwi Pemba na hapa JamiiForums natumia hii ID ya MINOCYCLINE.
 
Na Kaseja na Mecky ni Marafiki wazuri tu tokea walipokuwa pamoja Mkoani Morogoro na ndiyo maana hata Nyumba zao huko Morogoro wamejenga sehemu moja.

Yule kocha aliyetimuliwa nilimuona ni chizi.

Uwezi kuita kwenye timu ya Taifa magolikipa Manula na Kakolonya ambao wote ni magolikipa kwenye timu ya Simba, sijui kama akili zake ziko vizuri.
 
Kaseja anastahilii kuwepo hapo.. Kaanza kucheza mpira kipindi huyo Manura wako yuko kwa mama yake anatafuna machicha
 
Yule kocha aliyetimuliwa nilimuona ni chizi.

Uwezi kuita kwenye timu ya Taifa magolikipa Manula na Kakolonya ambao wote ni magolikipa kwenye timu ya Simba, sijui kama akili zake ziko vizuri.
Msaidizi wake Nsajigwa alishaanza Kumvutisha Bange na kaanza kuwa Mswahili Mswahili hivi.
 
Hicho hakiwezi kuwa kigezo cha kumnyima nafasi kocha
Huna Akili Aishi Manula sasa ndiyo Nahodha wa Taifa Stars hivi unadhani kwa kupelekewa Adui yake Mkuu Juma Kaseja kutakuwepo na Ufanisi? Kwa hili TFF nawalaumu kwani hata kama Watawapatanisha ila Wawili hawa kwa tunaowajua na kuwa nao mara kwa mara ni Watu wasiova ( wasiopendana ) kabisa.
 
KMC wamemtema na sasa ndiyo Wakala Mkuu pamoja na Rafiki yake mkubwa Musa Hassan Mgosi a.k.a Komando kuwapeleka Wachezaji Wazawa na baadhi wa Kigeni kwa Waganga wa Kienyeji Tanga na Kigoma kuroga ili wasikose namba katika Vilabu vyao.
Tutafika kweli?! 😀😀😀
 
Huna Akili Aishi Manula sasa ndiyo Nahodha wa Taifa Stars hivi unadhani kwa kupelekewa Adui yake Mkuu Juma Kaseja kutakuwepo na Ufanisi? Kwa hili TFF nawalaumu kwani hata kama Watawapatanisha ila Wawili hawa kwa tunaowajua na kuwa nao mara kwa mara ni Watu wasiova ( wasiopendana ) kabisa.
Sio lazima kila tukio ulianzishie mada, ni dalili za ukosefu wa kufikiria mambo hata kabla ya matukio.
 
Back
Top Bottom