TFF kumpelekea kipa Manula kocha mpya wa makipa Taifa Stars, Kaseja ni kuhatarisha hasa performance ya timu nzima kimatokeo

TFF kumpelekea kipa Manula kocha mpya wa makipa Taifa Stars, Kaseja ni kuhatarisha hasa performance ya timu nzima kimatokeo

Makocha mtabadirisha sana tu lakini hakuna mtakachofanikiwa, tatizo linajulikana hakuna wachezaji wenye hadhi ya kushindana hapa, watu wamewekeza sana, nenda UGANDA, mpira toka chini upo, hapa mnategemea kukuza mpira kiujanja ujanja tu mtegemee matokeo!!eti wachezaji 12 wa kigeni ruksa kuanza kwenye timu moja!!kisa yanga na simba zifike mbali!!!"KAMA HUFAHAMU UNAKO KWENDA WALA HUWEZI KUPOTEA"
Hili nalo neno. Tuntapa tapa tuu
 
Kwani wachezaji 12 wa kigeni wanaathiri nini timu ya taifa?Utitiri wa wachezaji wa kigeni hapa Tz umeanza miaka ya hivi karibuni.Lakini tangu tupate uhuru leo miaka 61 timu ya taifa haijawahi kufanya vizuri.

Timu ilipewa jina la kichwa cha mwendawazimu miaka ya 1990 na Mzee Mwinyi sababu ya kila taifa kujipigia tu kama ngoma ya wagobogobo. Kama tatizo ni wachezaji kuwa wengi wa kigeni mbona miaka hiyo ambayo hatukuwa na wachezaji wengi wa kigeni stars ilikuwa haifanyi vizuri?

Mchawi mkubwa wa mpira wetu ni MUNGAI aliyefuta michezo mashuleni mwaka 1998 .Apelekwe gerezani miaka 12 siku anamaliza kifungo achapwe viboko 12 ili akamuoneshe mkewe.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Alishakufa kitambo

Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom