TFF mnachokitafuta soon mtakipata

Utaamini vipi yaani yule nguruwe pori ni kirusi sana kwenye tasnia ya michezo juzi tu hapa yanga princess walikuwa mpaka siku ya mwisho ya usajili hawajapeleka majina ya wachezaji wa yanga princess ila tff japo walichelewa wakakubaliwa kusajiliwa kwenye mfumo ili kuepuka lawama yaani mchelewe kuwasilisha jina lake halafu mje muilaumu tff kweli nguruwe pori amewamata.
 
Aliyekwambia Yanga wamepeleka Tff majina 13 nani? Punguza Mihemko.
 
Ha
Hawafahamu kitu... Si viongozi hao hao walipeleka kesi ya Morrison CAS? Si haohao walifanya kazi na manara akiwa kafungiwa? Na si ndio haohao wanavunja kanuni kwa kupeleka majina 13 ya kigeni?
Nimekuja kujua viongozi na mashabiki wa yanga wanafanana akili zao nilipoona adhabu ile waliyopewa na tff kwa kuzidisha idadi ya substitution kwenye mechi ndo nikajua kweli ile team ya wahuni.
 
Mambo yakufanya vitu dakika zamwisho yn siku zote hizo mlikuwa mnagalauka mnasubiri siku ya mwisho tena usiku ndio mnakimbia kimbia na vibahasha aya sasa mapungufu tuliyoyaona tukawaambia mkayarekebishe mumeyarekebisha time out
Wewe hutaki Tanzania iwe ulaya?!!
 
Utopwinyo kama sub tu ziliwashinda hamjielewi mtakuja kuelewa hilo sakata lenu la bamuku ba clere,calorite na cocoa butter? Mnataka mlaumu watu bure ila mtakuja muumbuke vibaya sana kila siku muonewe nyie tu na kuna mengi mnakaushia tu nb vyura wengi wanahisi kama hela za Giesiem kama zao yani😂😂
 
We boya kisinda alishasajiliwa muda tu na docs zake zilienda tff,siku ile Yanga ilimtangaza kama unavyoona sasa hivi inatangaza wachezaji Yanga princess while usajili ulishafungwa
Tulia we Nanga hujui kitu
 
Sasa kama utaratibu haujafuatwa mnataka iweje???TATIZO YANGA HAMNA VIONGOZI PALE WAMEJAA WAHUNI WAHUNI TUU
 
Mna nini cha kufanya mtakaria kulialia tu
 
Sisi yanga tutahamia Zanzibar,huwezi kushindana na mamlaka ukatoboa
 
Mtamfanya nini nyie washamba
 
We boya kisinda alishasajiliwa muda tu na docs zake zilienda tff,siku ile Yanga ilimtangaza kama unavyoona sasa hivi inatangaza wachezaji Yanga princess while usajili ulishafungwa
We boya Tff ilisajili wachezaji 12 ulitaka atoke nani ndo aingie kisinda
 
We yanga ilishapeleka majina 12 ya wachezaji wa kigeni Tff ulitaka imtoe nani
 
Tff ya Karia inamambo ya ajabu sana walilazimisha ishu ya Morrison kwenda Simba kibabe na wanajua walichofanya ...
na si TFF tu, hata FIFA walishiriki hii hujuma ya kumpeleka Morrison kule Simba, maana hata tulipokata rufaa, tukashindwa na ikaonekana kuwa TFF ilikuwa sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…