TFF mnasubiri nini, haya makosa ya kibinadamu hutokea tu Simba wanapocheza?

TFF mnasubiri nini, haya makosa ya kibinadamu hutokea tu Simba wanapocheza?

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
I salute you kinsmen
Hivi sasa imekuwa too much kwa ligi yetu ambayo inazidi kupanda ubora ila sasa wahuni wachache wakiongozwa na TFF na klabu yao ya simba wanatia kinyaa sana

Nadhani msimu huu TFF wameamua wazi kwamba simba wachukue kombe watake wasitake..!

Kama umefuatilia hii ni mechi zaidi ta 12 ila kila mechi basi kunakuwa na makosa ya kibinadamu yanayo wafavour hawa simba. Mfano mechi na Tabora ilikuwa ni kichekesho kikubwa sana mpaka unaona aibu.

Kuna jamaa wa simba pembeni yangu yeye mwenyewe hajufurahishwa na ushindi huo wa "gusa weka bahasha tushinde"

Kwanini kila simba wanapocheza basi TFF na bodi ya ligi huweka marefa weak na walafi wa Rushwa?

Tusipoangalia basi ligi yetu itashuka mpaka nafasi ya 20 huko sababu simba ndiyo wanataka kuididimiza ligi ishuke kuwa ya kawaida matopeni tena.

Its Pancho
 
I salute you kinsmen
Hivi sasa imekuwa too much kwa ligi yetu ambayo inazidi kupanda ubora ila sasa wahuni wachache wakiongozwa na TFF na klabu yao ya simba wanatia kinyaa sana

Nadhani msimu huu TFF wameamua wazi kwamba simba wachukue kombe watake wasitake..!

Kama umefuatilia hii ni mechi zaidi ta 12 ila kila mechi basi kunakuwa na makosa ya kibinadamu yanayo wafavour hawa simba .

Mfano mechi na Tabora ilikuwa ni kichekesho kikubwa sana mpaka unaona aibu .

Kuna jamaa wa simba pembeni yangu yeye mwenyewe hajufurahishwa na ushindi huo wa "gusa weka bahasha tushinde"

Kwanini kila simba wanapocheza basi TFF na bodi ya ligi huweka marefa weak na walafi wa Rushwa?

Tusipoangalia basi ligi yetu itashuka mpaka nafasi ya 20 huko sababu simba ndiyo wanataka kuididimiza ligi ishuke kuwa ya kawaida matopeni tena

Its Pancho
Huna akili
 
Naona midomo inawawashwa sana ili na yenu yaanikwe ili akili ziwakae sawa....
Naona mnafungua midomo kama wehu ila watu wakija na data zenu mtazimwa kama mlivyozimwa club Bingwa...
Jikite kwenye mada wewe kigagula wa kolo

Hujui kwamba unabebwa wazi au ndio vile umeamua kunyamaza tu sababu kipenda roho hula nyama mbichi eeh
 
Mkuu achana na habari za Makolo,Tafuta pesa Kwa ajili ya kizazi chako!

Huko Kwa Makolo na Binamu yake Tifua Tifua kutakupotezea muda wa mapambano!
 
Kweli utopolo mmechanganyikiwa na siku zinapozidi kwenda inadhihirisha wenye akili ni 2...mmoja amekuja na utopolo wake woote mnaswagwa kama mbuzi ...nawaambia mtaumbuka wenyewe siku si nyingi...
Huna hoja kolo
Leta vithibitisho kwamba hakuna mbeleko kwenu yaani hata kolo wenzio wanaona aibu namna mnavyocheza papatu papatu na "gusa weka bahasha tupate penati"
 
Jikite kwenye mada wewe kigagula wa kolo

Hujui kwamba unabebwa wazi au ndio vile umeamua kunyamaza tu sababu kipenda roho hula nyama mbichi eeh
Acha shobo kiben Ten wewe..unaongea pumba bila kuwa na ushahidi....
Mnabebwa nyie....
Mna timu nane 8 mnadhamini mbona watu wako kimya
 
Huna hoja kolo
Leta vithibitisho kwamba hakuna mbeleko kwenu yaani hata kolo wenzio wanaona aibu namna mnavyocheza papatu papatu na "gusa weka bahasha tupate penati"
Papatu leta timu yako pimbi wewe ushenyentwe....
Nani anaona aibu...
Waite hapa wanaoona aibu waseme
 
Mkuu achana na habari za Makolo,Tafuta pesa Kwa ajili ya kizazi chako!

Huko Kwa Makolo na Binamu yake Tifua Tifua kutakupotezea muda wa mapambano!
Imekua too much sasa yaani mpaka TFF wanaangalia chini na wenyewe lakini watafanyaje na ni ndugu yao kolo hajachukua kombe siku nyingi?
 
Acha shobo kiben Ten wewe..unaongea pumba bila kuwa na ushahidi....
Mnabebwa nyie....
Mna timu nane 8 mnadhamini mbona watu wako kimya
Azam anadhamini ligi kuu nzima ni mdhamini namba mbili je aliwafunga?

Nani akushobokee kigagula wa makolo wewe kazi kupenda vibovu tu
 
Azam anadhamini ligi kuu nzima ni mdhamini namba mbili je aliwafunga?

Nani akushobokee kigagula wa makolo wewe kazi kupenda vibovu tu
Acha shobo na Simba braza..mm sina taimu ya kukwambia unanishobokea..mimi sio mlezi wa wana...
 
Acha shobo na Simba braza..mm sina taimu ya kukwambia unanishobokea..mimi sio mlezi wa wana...
Wewe kama nani sasa? Jinyonge tu lazima tuwaambie ukweli we mama
 
Screenshot_20250204-094134_Instagram.jpg
 
Back
Top Bottom