Tff na Bodi ya Ligi imeisadia Yanga kushinda ubingwa msimu wa 2022/23

Tff na Bodi ya Ligi imeisadia Yanga kushinda ubingwa msimu wa 2022/23

Bushmaster

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2022
Posts
583
Reaction score
1,265
Habari kwenu nyote.

Katika kile ambacho TFF na Bodi ya Ligi inakipinga kila siku suala la upangaji wa matokeo,lakini wao kwa namna moja ama nyingine wamekua wakikifanya kwa makusudi kabisa bila kushtakiwa na mtu yeyote.

Hivi inawezekana vipi katika hali ya ushindani wewe unapanga ratibu Simba ianze kucheza kila mechi na Yanga ndio icheze, Imagine Simba imepoteza au kutoa droo unadhani Yanga itapoteza? hamkuona haja kutofautisha ratiba kama Simba anaanza kucheza wiki hii,wiki ijayo Yanga ndio aanze.

Na ndio maana tulikua tunaona hali ya rushwa kila Yanga inapocheza,recall mechi ya juzi Singida v Yanga

Ratiba nzima ilikua ni kuifavour Yanga ili achukue ubingwa, ina maana yule mtu mliemuita kutoka spain awafundishe namna ya kupanga ratiba ndio amewafundisha hivyo.
 
Angalia hizo tarehe za mechi then uje na hoja yako
Screenshot_2023-05-14-13-09-18-476_com.sofascore.results.jpg
Screenshot_2023-05-14-13-08-50-476_com.sofascore.results.jpg
Screenshot_2023-05-14-13-08-32-299_com.sofascore.results.jpg
Screenshot_2023-05-14-13-08-12-400_com.sofascore.results.jpg
Screenshot_2023-05-14-13-07-41-953_com.sofascore.results.jpg
 
We kweli wa bush asee

Narudia tena! Acheni ujinga, acheni ujinga rekebisheni timu yenu. Kufikiria mmeshindwa sababu yanga kapangiwa ratiba nzuri ni kupanga kushindwa tena mwakani!

Angalieni matatizo yenu ya kweli, acha kufikiria Yanga.
 
Habari kwenu nyote.
Katika kile ambacho Tff na Bodi ya ligi inakipinga kila siku suala la upangaji wa matokeo,lakini wao kwa namna moja ama nyingine wamekua wakikifanya kwa makusudi kabisa bila kushtakiwa na mtu yeyote.

Hivi inawezekana vipi katika hali ya ushindani wewe unapanga ratibu Simba ianze kucheza kila mechi na Yanga ndio icheze, Imagine Simba imepoteza au kutoa droo unadhani Yanga itapoteza? hamkuona haja kutofautisha ratiba kama Simba anaanza kucheza wiki hii,wiki ijayo Yanga ndio aanze.

Na ndio maana tulikua tunaona hali ya rushwa kila Yanga inapocheza,recall mechi ya juzi Singida v Yanga

Ratiba nzima ilikua ni kuifavour Yanga ili achukue ubingwa, ina maana yule mtu mliemuita kutoka spain awafundishe namna ya kupanga ratiba ndio amewafundisha hivyo.
Wewe jamaa baada ya kukosa ubingwa ndio umekuja na sababu za ovyo kiasi hiki?

Ratiba ilivyoanza ni Yanga ndio alikuwa anatangulia kucheza kisha siku inayofuata ndipo simba anacheza. Ila baada ya makundi ya klabu bingwa na shirikisho ndipo ratiba ya ligi kuu ikabadilishwa ili kuendana sawa sawa na muda wa kupumzika kwaajili ya michuano ya CAF. Ukizingatia michezo ya klabu bingwa ndio ilikuwa inatangulia kisha shirikisho
 
Habari kwenu nyote.

Katika kile ambacho TFF na Bodi ya Ligi inakipinga kila siku suala la upangaji wa matokeo,lakini wao kwa namna moja ama nyingine wamekua wakikifanya kwa makusudi kabisa bila kushtakiwa na mtu yeyote.

Hivi inawezekana vipi katika hali ya ushindani wewe unapanga ratibu Simba ianze kucheza kila mechi na Yanga ndio icheze, Imagine Simba imepoteza au kutoa droo unadhani Yanga itapoteza? hamkuona haja kutofautisha ratiba kama Simba anaanza kucheza wiki hii,wiki ijayo Yanga ndio aanze.

Na ndio maana tulikua tunaona hali ya rushwa kila Yanga inapocheza,recall mechi ya juzi Singida v Yanga

Ratiba nzima ilikua ni kuifavour Yanga ili achukue ubingwa, ina maana yule mtu mliemuita kutoka spain awafundishe namna ya kupanga ratiba ndio amewafundisha hivyo.
Kwahiyo tff na bodi ya ligi ndo iliingia kucheza?
 
Habari kwenu nyote.

Katika kile ambacho TFF na Bodi ya Ligi inakipinga kila siku suala la upangaji wa matokeo,lakini wao kwa namna moja ama nyingine wamekua wakikifanya kwa makusudi kabisa bila kushtakiwa na mtu yeyote.

Hivi inawezekana vipi katika hali ya ushindani wewe unapanga ratibu Simba ianze kucheza kila mechi na Yanga ndio icheze, Imagine Simba imepoteza au kutoa droo unadhani Yanga itapoteza? hamkuona haja kutofautisha ratiba kama Simba anaanza kucheza wiki hii,wiki ijayo Yanga ndio aanze.

Na ndio maana tulikua tunaona hali ya rushwa kila Yanga inapocheza,recall mechi ya juzi Singida v Yanga

Ratiba nzima ilikua ni kuifavour Yanga ili achukue ubingwa, ina maana yule mtu mliemuita kutoka spain awafundishe namna ya kupanga ratiba ndio amewafundisha hivyo.

Elimu, Elimu, Elimu
 
Habari kwenu nyote.

Katika kile ambacho TFF na Bodi ya Ligi inakipinga kila siku suala la upangaji wa matokeo,lakini wao kwa namna moja ama nyingine wamekua wakikifanya kwa makusudi kabisa bila kushtakiwa na mtu yeyote.

Hivi inawezekana vipi katika hali ya ushindani wewe unapanga ratibu Simba ianze kucheza kila mechi na Yanga ndio icheze, Imagine Simba imepoteza au kutoa droo unadhani Yanga itapoteza? hamkuona haja kutofautisha ratiba kama Simba anaanza kucheza wiki hii,wiki ijayo Yanga ndio aanze.

Na ndio maana tulikua tunaona hali ya rushwa kila Yanga inapocheza,recall mechi ya juzi Singida v Yanga

Ratiba nzima ilikua ni kuifavour Yanga ili achukue ubingwa, ina maana yule mtu mliemuita kutoka spain awafundishe namna ya kupanga ratiba ndio amewafundisha hivyo.

Wewe
Sasa hivi unalaum ratiba na msimu uliopita ilikuwaje?

Ratiba inahusikaje na huko kimataifa mlikotolewa?

Kwa hiyo unaamini simba ni bora tatizo ni ratiba?

Aiseeh hayo ya rushwa peleka ushahidi takukuru!

Na huyu nae eti ni great thinker
 
Habari kwenu nyote.

Katika kile ambacho TFF na Bodi ya Ligi inakipinga kila siku suala la upangaji wa matokeo,lakini wao kwa namna moja ama nyingine wamekua wakikifanya kwa makusudi kabisa bila kushtakiwa na mtu yeyote.

Hivi inawezekana vipi katika hali ya ushindani wewe unapanga ratibu Simba ianze kucheza kila mechi na Yanga ndio icheze, Imagine Simba imepoteza au kutoa droo unadhani Yanga itapoteza? hamkuona haja kutofautisha ratiba kama Simba anaanza kucheza wiki hii,wiki ijayo Yanga ndio aanze.

Na ndio maana tulikua tunaona hali ya rushwa kila Yanga inapocheza,recall mechi ya juzi Singida v Yanga

Ratiba nzima ilikua ni kuifavour Yanga ili achukue ubingwa, ina maana yule mtu mliemuita kutoka spain awafundishe namna ya kupanga ratiba ndio amewafundisha hivyo.
Endeleeni kuamini mazingaombwe na kujifariji msimu ujao sio mbali. Imekuwa vizuri mngekuja na nyuzi za kuwakomalia viongozi wenu wafanye usajili mzuri. Mimi nawaambia mkibaki na hiyo timu yenu mwakani mtapiga ramli za kutosha.
 
Hivi ukifeli mtihani wa taifa ualaumu baraza la mitihani au ww mwenyewe kwa kushindwa jiandaa?...simba hii kuna vitu vingi vimechangia,kubadili kocha katikati mwa msimu,kutokwenda na muda wakufanya sub,kutowaamini wachezaji waliopo..etc
 
Endeleeni kuamini mazingaombwe na kujifariji msimu ujao sio mbali. Imekuwa vizuri mngekuja na nyuzi za kuwakomalia viongozi wenu wafanye usajili mzuri. Mimi nawaambia mkibaki na hiyo timu yenu mwakani mtapiga ramli za kutosha.

Ramli mbona huwa wanapiga hadi ugenini lakini wapi!
 
Habari kwenu nyote.

Katika kile ambacho TFF na Bodi ya Ligi inakipinga kila siku suala la upangaji wa matokeo,lakini wao kwa namna moja ama nyingine wamekua wakikifanya kwa makusudi kabisa bila kushtakiwa na mtu yeyote.

Hivi inawezekana vipi katika hali ya ushindani wewe unapanga ratibu Simba ianze kucheza kila mechi na Yanga ndio icheze, Imagine Simba imepoteza au kutoa droo unadhani Yanga itapoteza? hamkuona haja kutofautisha ratiba kama Simba anaanza kucheza wiki hii,wiki ijayo Yanga ndio aanze.

Na ndio maana tulikua tunaona hali ya rushwa kila Yanga inapocheza,recall mechi ya juzi Singida v Yanga

Ratiba nzima ilikua ni kuifavour Yanga ili achukue ubingwa, ina maana yule mtu mliemuita kutoka spain awafundishe namna ya kupanga ratiba ndio amewafundisha hivyo.
Umegeuza ukweli, mechi nyingi alicheza kwanza Yanga na akafuatiwa na Simba, hivyo Yanga ndio walalamike.
 
Habari kwenu nyote.

Katika kile ambacho TFF na Bodi ya Ligi inakipinga kila siku suala la upangaji wa matokeo,lakini wao kwa namna moja ama nyingine wamekua wakikifanya kwa makusudi kabisa bila kushtakiwa na mtu yeyote.

Hivi inawezekana vipi katika hali ya ushindani wewe unapanga ratibu Simba ianze kucheza kila mechi na Yanga ndio icheze, Imagine Simba imepoteza au kutoa droo unadhani Yanga itapoteza? hamkuona haja kutofautisha ratiba kama Simba anaanza kucheza wiki hii,wiki ijayo Yanga ndio aanze.

Na ndio maana tulikua tunaona hali ya rushwa kila Yanga inapocheza,recall mechi ya juzi Singida v Yanga

Ratiba nzima ilikua ni kuifavour Yanga ili achukue ubingwa, ina maana yule mtu mliemuita kutoka spain awafundishe namna ya kupanga ratiba ndio amewafundisha hivyo.
Haki ya nani mtatafuta visingizio mpaka vitaisha vyote. Sasa hii sababu ndiyo ina mashiko kweli!!

Yaani sababu hii ndiyo imesababisha simba kushindwa kuchukua ubingwa wa ligi kuu, imeshindwa kuchukua Ngao ya Jamii! Sababu hii hii ndiyo imesababisha simba kutolewa hatua ya nusu fainali na Azam Fc!!

Au hii sababu yako imesababisha tu simba kuukosa ubingwa wa ligi kuu?
 
Back
Top Bottom