Tff na Bodi ya Ligi imeisadia Yanga kushinda ubingwa msimu wa 2022/23

Tff na Bodi ya Ligi imeisadia Yanga kushinda ubingwa msimu wa 2022/23

Habari kwenu nyote.

Katika kile ambacho TFF na Bodi ya Ligi inakipinga kila siku suala la upangaji wa matokeo,lakini wao kwa namna moja ama nyingine wamekua wakikifanya kwa makusudi kabisa bila kushtakiwa na mtu yeyote.

Hivi inawezekana vipi katika hali ya ushindani wewe unapanga ratibu Simba ianze kucheza kila mechi na Yanga ndio icheze, Imagine Simba imepoteza au kutoa droo unadhani Yanga itapoteza? hamkuona haja kutofautisha ratiba kama Simba anaanza kucheza wiki hii,wiki ijayo Yanga ndio aanze.

Na ndio maana tulikua tunaona hali ya rushwa kila Yanga inapocheza,recall mechi ya juzi Singida v Yanga

Ratiba nzima ilikua ni kuifavour Yanga ili achukue ubingwa, ina maana yule mtu mliemuita kutoka spain awafundishe namna ya kupanga ratiba ndio amewafundisha hivyo.
Kwa hiyo Yanga ikawa inaibia style ya Simba? Au una maanisha nini?
 
Habari kwenu nyote.

Katika kile ambacho TFF na Bodi ya Ligi inakipinga kila siku suala la upangaji wa matokeo,lakini wao kwa namna moja ama nyingine wamekua wakikifanya kwa makusudi kabisa bila kushtakiwa na mtu yeyote.

Hivi inawezekana vipi katika hali ya ushindani wewe unapanga ratibu Simba ianze kucheza kila mechi na Yanga ndio icheze, Imagine Simba imepoteza au kutoa droo unadhani Yanga itapoteza? hamkuona haja kutofautisha ratiba kama Simba anaanza kucheza wiki hii,wiki ijayo Yanga ndio aanze.

Na ndio maana tulikua tunaona hali ya rushwa kila Yanga inapocheza,recall mechi ya juzi Singida v Yanga

Ratiba nzima ilikua ni kuifavour Yanga ili achukue ubingwa, ina maana yule mtu mliemuita kutoka spain awafundishe namna ya kupanga ratiba ndio amewafundisha hivyo.
1684066724946.png
 
Habari kwenu nyote.

Katika kile ambacho TFF na Bodi ya Ligi inakipinga kila siku suala la upangaji wa matokeo,lakini wao kwa namna moja ama nyingine wamekua wakikifanya kwa makusudi kabisa bila kushtakiwa na mtu yeyote.

Hivi inawezekana vipi katika hali ya ushindani wewe unapanga ratibu Simba ianze kucheza kila mechi na Yanga ndio icheze, Imagine Simba imepoteza au kutoa droo unadhani Yanga itapoteza? hamkuona haja kutofautisha ratiba kama Simba anaanza kucheza wiki hii,wiki ijayo Yanga ndio aanze.

Na ndio maana tulikua tunaona hali ya rushwa kila Yanga inapocheza,recall mechi ya juzi Singida v Yanga

Ratiba nzima ilikua ni kuifavour Yanga ili achukue ubingwa, ina maana yule mtu mliemuita kutoka spain awafundishe namna ya kupanga ratiba ndio amewafundisha hivyo.
Hivi ligi ya Tanzania ni ya Simba na Yanga pekee??
 
Utopolo hawajawahi shinda kihalali hata wacheze na mbuni fc wao ni bahasha tu
 
Juzi kuna rushwa gani imetolewa au na wewe kichwa chako Ni mfuniko wa miwili
 
mwaka jana Manara alishupaza shingo hawataki viporo leo wanaungana na tff kusogeza michezo yao [emoji23][emoji23]
 
Kaangalie ratiba vizuri, then urudi hapa kufuta Uzi wako..round 1 Hadi 4 Yanga alianza kabla ya Simba, round 5 hadi 8 Simba akaanza, then ikawa inabadilika badilika
 
Habari kwenu nyote.

Katika kile ambacho TFF na Bodi ya Ligi inakipinga kila siku suala la upangaji wa matokeo,lakini wao kwa namna moja ama nyingine wamekua wakikifanya kwa makusudi kabisa bila kushtakiwa na mtu yeyote.

Hivi inawezekana vipi katika hali ya ushindani wewe unapanga ratibu Simba ianze kucheza kila mechi na Yanga ndio icheze, Imagine Simba imepoteza au kutoa droo unadhani Yanga itapoteza? hamkuona haja kutofautisha ratiba kama Simba anaanza kucheza wiki hii,wiki ijayo Yanga ndio aanze.

Na ndio maana tulikua tunaona hali ya rushwa kila Yanga inapocheza,recall mechi ya juzi Singida v Yanga

Ratiba nzima ilikua ni kuifavour Yanga ili achukue ubingwa, ina maana yule mtu mliemuita kutoka spain awafundishe namna ya kupanga ratiba ndio amewafundisha hivyo.
dah..makolo mmezidi kuandika utopolo
 
Back
Top Bottom