TFF na Bodi ya Ligi inavunja kanuni za mpira ili kuilinda Simba sc dhidi ya KMC

TFF na Bodi ya Ligi inavunja kanuni za mpira ili kuilinda Simba sc dhidi ya KMC

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Kanuni inasemema "Taarifa ya mabadiliko ya uwanja inatakiwa kutolewa siku 7 kabla ya mchezo"

lakini imekua tofauti kabisa kwenye mchezo wa Simba sc vs KMC kwani jumamosi iliyopita timu ya KMC ilipewa taarifa kuwa Mchezo wao dhidi ya Simba sc utachezwa kwenye uwanja wa Generali Isamuyo na cha kushangaza zaidi zimebaki siku 3 mchezo kuchezwa timu ya KMC wanapewa taarifa kuwa mchezo umehamishwa kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid JIji la Arusha

huu ni uonevu wa hali ya juu unaofanywa na TFF na Bodi ya ligi kuzikandamiza timu ndogo kwa kuzikanyaga kanuni kwa makusudi ili tu Simba sc inufaike na mchezo huu

swali langu je ingekua ni derby ya kariakoo ungefanyika utumbo wa namna hii kama tu kuna timu ya kariakoo haikuingiza timu uwanjani baada ya kubadilishiwa muda na hakuna adhabu yoyote iliyotolewa kwa wahusika

TFF na BODI YA LIGI acheni kuchezea kanuni mlizoziweka wenyewe ili kunufaisha kikundi cha watu wachache huu ni uovu wa waziwazi na haikubaliki katika ukuaji wa mpira wetu huu.
 
Simba ndio mwenyeji, uwanja wanaotumia wa nyumbani ni Azam complex ambao pia unatumiwa na Azam na yanga.
Bodi ya ligi imetaka mechi zote zichezwe muda mmoja nani aliwachagulya Simba huo uwanja unaitaka wacheze.?
walchagua wao wenyewe simba kuwa watacheza dar hakuna aliyewachagulia mzee hizi ni figisu za wazi
 
Simba ndio mwenyeji, uwanja wanaotumia wa nyumbani ni Azam complex ambao pia unatumiwa na Azam na yanga.
Bodi ya ligi imetaka mechi zote zichezwe muda mmoja nani aliwachagulya Simba huo uwanja unaitaka wacheze.?
Sio kwamba hilo unalosema viongozi wa Simba hawakujua, walijua kabisa kuwa mechi zitachezwa kwa muda sawa na ndio maana wakachagua uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo. Ila ghafla wamebadili maamuzi kupeleka Arusha
 
Hapo kuna kitu kinatengenezwa na sio kingine ni kuipa Simba point 3 na magoli matatu ya mezani ili kupunguza gap la point kwa Azam. Kwavile Simba ni mtoto wa TFF anatengenezewa mazingira
 
Simba ndio mwenyeji, uwanja wanaotumia wa nyumbani ni Azam complex ambao pia unatumiwa na Azam na yanga.
Bodi ya ligi imetaka mechi zote zichezwe muda mmoja nani aliwachagulya Simba huo uwanja unaitaka wacheze.?
Mkuu fuatilia vizuri hili sakasaka. Simba ndiye aliyechagua huo uwanja wa Isamuyo na kuwapa taarifa KMC, TFF na bodi ya ligi. Ila kwasasa wamebadili maamuzi na kupeleka Arusha.
 
walchagua wao wenyewe simba kuwa watacheza dar hakuna aliyewachagulia mzee hizi ni figisu za wazi
Sasa ndio uelewe, siku hiyo kutakuwa na mechi kwenye huo uwanja, Simba wameambiwa wachague uwanja mwingine, kwani mechi zote zinachezwa muda mmoja.
 
Sasa ndio uelewe, siku hiyo kutakuwa na mechi kwenye huo uwanja, Simba wameambiwa wachague uwanja mwingine, kwani mechi zote zinachezwa muda mmoja.
Hakuna mechi yeyote kwenye huo uwanja wa Isamuhyo na ndio maana Simba waliuchagua huo uwanja na walikubaliwa na bodi ya ligi na TFF kwavile ilishajulikana hakutakuwa na mechi kwenye huo uwanja.
20240523_162026.jpg
 
Hakuna mechi yeyote kwenye huo uwanja wa Isamuhyo na ndio maana Simba waliuchagua huo uwanja na walikubaliwa na bodi ya ligi na TFF kwavile ilishajulikana hakutakuwa na mechi kwenye huo uwanja. View attachment 2997455
Karia ni Aina ya viongozi Wenye Kariba ya CCM. Àmbao hata wakosee hawawezi kuomba radhi. Ni ubabe mwanzo mwisho.
 
Kanuni inasemema "Taarifa ya mabadiliko ya uwanja inatakiwa kutolewa siku 7 kabla ya mchezo"

lakini imekua tofauti kabisa kwenye mchezo wa Simba sc vs KMC kwani jumamosi iliyopita timu ya KMC ilipewa taarifa kuwa Mchezo wao dhidi ya Simba sc utachezwa kwenye uwanja wa Generali Isamuyo na cha kushangaza zaidi zimebaki siku 3 mchezo kuchezwa timu ya KMC wanapewa taarifa kuwa mchezo umehamishwa kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid JIji la Arusha

huu ni uonevu wa hali ya juu unaofanywa na TFF na Bodi ya ligi kuzikandamiza timu ndogo kwa kuzikanyaga kanuni kwa makusudi ili tu Simba sc inufaike na mchezo huu

swali langu je ingekua ni derby ya kariakoo ungefanyika utumbo wa namna hii kama tu kuna timu ya kariakoo haikuingiza timu uwanjani baada ya kubadilishiwa muda na hakuna adhabu yoyote iliyotolewa kwa wahusika

TFF na BODI YA LIGI acheni kuchezea kanuni mlizoziweka wenyewe ili kunufaisha kikundi cha watu wachache huu ni uovu wa waziwazi na haikubaliki katika ukuaji wa mpira wetu huu.
Tifuatifua wajinga sana na mali ya Karai.
 
Back
Top Bottom