TFF na Bodi ya Ligi mipango yenu ya kuipangia Yanga ratiba ngumu ili idondoshe point imezikwa rasmi, Mungu sio Athumani

TFF na Bodi ya Ligi mipango yenu ya kuipangia Yanga ratiba ngumu ili idondoshe point imezikwa rasmi, Mungu sio Athumani

Chief hiki Si kitu cha kujisifia, wachezaji wamejitoa hadi nguvu yao ya mwisho na haitakiwi kuwa hivi.

Kinachonikera ni ukimya wa Engineer, hawa mbwa TFF kuendelea kuwakalia kimya kunasabisha wazidi kuongeza vizingiti kwenye mechi zetu. Mf, mdogo msimu wa mwaka juzi Magoli mengi halali ya Mayele yalikataliwa ili tu asiwe mfungaji bora na kweli wakafanikiwa.

Kuna kitu kinaitwa makosa ya kibinadamu ya waamuzi, kama kweli ni makosa ya kibinadamu kwanini Msimu huu karibu kila mechi lazima waamuzi watunyonge hata leo imekuwa hivyo wakati Simba Sc wao wananufaika na maamuzi ya hovyo ya waamuzi?

Engineer Hersi toka usingizini hawa wachezaji wana damu, wanachoka kimwili na kisaikolojia hasa wanapoona mpinzani anabebwa wazi wazi.

Engneeer ita press wachane hao TFF na bodi ya ligi. Usiposema ukweli unakaribisha matatizo zaidi sababu hawa wachezaji kwa huu mwendo ni lazima watadondosha points.
Eng.Hersi usifikili kakaa kimya kwamba ajui mipango yao, anajua sana isipokuwa na yeye ni mtoto wa mjini vile vile anazichanga karata zake namna wanavyokuja maana alishaona lile genge la warace karia na watu wake linafanya Kila njia kumfelisha ivyo basi anaenda nao kimlalo
Chief hiki Si kitu cha kujisifia, wachezaji wamejitoa hadi nguvu yao ya mwisho na haitakiwi kuwa hivi.

Kinachonikera ni ukimya wa Engineer, hawa mbwa TFF kuendelea kuwakalia kimya kunasabisha wazidi kuongeza vizingiti kwenye mechi zetu. Mf, mdogo msimu wa mwaka juzi Magoli mengi halali ya Mayele yalikataliwa ili tu asiwe mfungaji bora na kweli wakafanikiwa.

Kuna kitu kinaitwa makosa ya kibinadamu ya waamuzi, kama kweli ni makosa ya kibinadamu kwanini Msimu huu karibu kila mechi lazima waamuzi watunyonge hata leo imekuwa hivyo wakati Simba Sc wao wananufaika na maamuzi ya hovyo ya waamuzi?

Engineer Hersi toka usingizini hawa wachezaji wana damu, wanachoka kimwili na kisaikolojia hasa wanapoona mpinzani anabebwa wazi wazi.

Engneeer ita press wachane hao TFF na bodi ya ligi. Usiposema ukweli unakaribisha matatizo zaidi sababu hawa wachezaji kwa huu mwendo ni lazima watadondosha points.
Eng.Hersi sio kwamba ajui wanachokifanya awa jamaa anajua sana isipokuwa ashagundua hili genge la warace karia na watu wake linataka kumfelisha, na yeye kwakuwa ni mtoto wa mjini vile vile anaenda nao kimlalo mlalo mpaka watatema ndoano wenyewe,
Hersi hataki kuwapa faida na kuonekana analalamika isipokuwa na yeye atawapiga kimya kimya Kila Kona watayopangia mipango yao atachoma Kila aina ya kichaka, maana awa watu ni ovyo sana wanafikiri wale wachezaji ni vyuma avichoki! Na awatoweza janja yao ishagundulika kinachoibeba yanga ni kocha mzuri wa viungo waliyenae amewafanya wachezaji wawe timamu kimwili na energy kubwa sana ya kuweza kuhimili kucheza kwa dakika nyingi bila kuchoka but ingekuwa ni wale mwakarobo Sasa hivi wangekuwa nafasi ya Saba uko!
 
mechi ijayo tutawapangia na utopolo Queens.
Kweli nimeamini ni watu wawili tu wenye akili kudogo japo ya kuvukia barabara pale utopoloni

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Jina lako linamaanisha akili zako master
20231108_125436.jpg
 
Kwakweli Hawa watu ni makatili sijawai Kuona, walikuwa wametega mtego mbaya sana dhidi ya yanga lakini wameferi na wameshindwa vibaya sana.

Hii ratiba aikupangwa kwa bahati mbaya bali walikuwa wamedhamilia na walikuwa na Nia mbaya kabisa, yanga kacheza na Azam baada ya siku tatu kacheza na singida, baada ya siku 5 kacheza na Simba baada ya siku 3 akasafiri kwenda tanga kucheza na coast union, mechi 4 ngumu ndani ya siku 13.

Wanayejitahidi kumbeba abebeki ni Kama gunia la misumali mgongoni, kacheza jumapili lakini yeye anacheza siku inayofata na Yuko dar lakini anayesafiri ndiye kacheza kabla ni mambo ya kishamba sana haya!

Walikuwa wanajua yanga lazima adondoshe point kwa Azam wakaferi, wakajua waipange mechi ya singida karibu ili kusudi wasipodondosha kwa Azam basi wadondoshe kwa singida kwakuwa watakuwa na uchovu mwingi napo wakapigwa za uso, imekuja mechi ya Simba wakaaibishwa.

Wakapanga yanga ikutane coast union ndani ya siku 3 ili kusudi wakishindwa kudondosha kwenye derby wasafiri kwenda tanga na wakutane na UGUMU wakiwa wametoka kutumia nguvu kubwa kwenye mechi ya derby ili waache point ata sare napo wamelambishwa mchanga🤣🤣🤣

Siku zote Giza aijawai kuishinda Nuru mtaendelea kushindwa Kila mtapokuwa mnapanga mipango miovu na Yanga ni mpango wa mungu, ingekuwa ndio iyo timu yenu imekutana na hii ratiba Sasa hivi mngekuwa mnaomboleza parapanda kolowahed.
Kabisa Mkuu... Wametutesa ..wametunyanyasa mnoo..
Mungu Mkubwa.
 
Hivi nawezaje kukusanya ushahidi na kuupeleka #Fifa hawa #Tff wamezidi sana kuionea Yanga sio mara ya kwanza hii yani haiji akilini kabisa huu udhalilishaji mkubwa sana kwenye mpira wetu.

Acha kulalamika. Waambie TFF wafute team zote ibaki Yanga peke yao
 
Back
Top Bottom