TFF na Bodi ya ligi mlisema utafuatilia Rushwa kwenye michezo haswa kipindi hiki ligi ipo mwishoni. Je, mmeona goli walilonyimwa Tabora United?

ONESHA HUO MPAKA AU UMESIKILIZA MPIRA KWENYE REDIO
Kwa hiyo ligi ya Tanzania haijafikia viwango; inaendeshwa kwa rushwa ni afadhali itelemshwe hadhi?

Neno rushwa ni zito sana; mimi ninataka tujivunie kuona ligi yetu ikiwa inashindaniwa. Sasa hivi tunaweza kupata wachgezaji kutoka Mrocco kuja kucxheza kwenye ligi yetu, na ukienda huko Afrika ya Magharibi na kusini (ispokuwa SA) utashangaa wachazaji wanavyotaka kuingia kwenye ligi yetu kwa hamu sana

Makosa ya refa ni kitu kimoja lakini haina maana kuwa ligi yote. Hata CAF refa aliinyima Yanga ushindi lakini haina na maana kuwa mashindano yote yana rushwa.
 
5imba huwaga hawanunuagi mechi maboko mengi ya marefa kwenye mechi zao,huwaga ya kibinadamu tuseme tu refa kapitiwa.
 
Mbona ya Kagera sugar husemi? Vipi umelia sana had kamasi au machozi kukaukaa?

Afu bado hujasemaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hatuwezi kulia msimu huu mtani umetupa pwenti 6 na upo nyuma pwenti 9
 
Ya mwamuzi kumpa mchezaji wa coastal Union red card uliita hii bodi?
Ile card imefutwa kisiasa tu ila lawi alistahili kwa kumvuta aziz ki,kama lawi akua mtu wa so akustahili straight red card basi njano ya pili ilimuhusu maana alishakua na njano tayari,mguto na karia wote ni watu wa tanga na mguto bado kiongozi wa coastal,kinachopambaniwa coastal ashike nafasi ya 4 ili kama Yanga atabeba fa coastal washiriki michuano ya caf,Yanga walichokifanya wamepotezea tu ile kadi kufutwa sababu haina ilichobadilisha matokeo
 
Mbumbumbu watabebwa ila nafasi yao ni 3
 
Sasa hapa wewe ndio unaleta siasa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Wana Simba tusimame na timu yetu mi nawaambia mkiwafata Yanga na propaganda zao timu itawashinda..
Huu huu wanaouita uonevu wao wameafanyiwa favour na marefa mara nyingi zaidi yetu..
Baby hawa hawatusmbui subiri msimu ujao. Kuna watu watalia. Tutakamata kila kona.
 
Unaumia pwiru ukiwa wapi?
 
Kolo
 
Refa mwenyewe kavaa ushungi, unategemea atatenda haki kweli?

God Bless Israel
 
Kama uliona goli pekee halafu hujaona Ile advantage Simba walinyimwa usoni mwa lango basi wewe ni mbulula plus plus
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…