TFF na Bodi ya ligi Tanzania hakuna watu wa mpira bali ni kikundi cha watu kinachotafuta mkate wa kila siku

TFF na Bodi ya ligi Tanzania hakuna watu wa mpira bali ni kikundi cha watu kinachotafuta mkate wa kila siku

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
kufuatia utumbo huu (mistakes) uliofanywa na TFF na Bodi ya ligi inaonesha dhahiri kabisa hakuna watu weledi na wanaojua uongozi wa mpira

kitu kama

1) kuamuru mechi ya fainali ya FA kuchezewa Zanzibar wakati mwanzo timu ya TFF ikiongozwa na Karia walikwenda kujiridhisha na kukagua uwanja na kuona kuwa unafaa na kuutangazia umma kuwa fainali itachezwa Manyara baada ya muda watu kuanza kuhoji akiwemo Haji Manara, TFF walijitokeza tena na kudai kuwa uwanja hauna usalama na mechi itachezwa zanzibar

2) Utengenezaji wa kanuni za mfungaji bora endapo Wafungaji watalingana magoli hapa TFF walibugi baada ya kujifungia ndani walikuja na kipengele endapo watalingana magoli basi kitaangaliwa nani aliyepiga penati nyingi na kama kuna mchezaji anapenati nyingi basi hatochukua kiatu, kipengele cha asist kimeachwa kabisa na mchezaji aliyecheza dakika chache mwisho wa siku imeonekana magoli ya penati siyo magli kabisa

3)Tuzo za wachezaji ndani ya msimu hili ndiyo shirikisho la mpira linalotoa tuzo msimu kwenye msimu mwingine hakika hapa wamebugi pakubwa sana baada ya kutangaza kuwa tuzo zitatolewa kwenye ufunguzi wa ngao ya jamii

swali je wachezaji wanaoachwa na timu au wanaosajliwa na timu za nje huko watapewa nauli na TFF ili kuja kuchukua tuzo zao?

je wachezaji wasipokuja kwenye tuzpo hizo mtawapiga faini kama mnavyowatishiaga wachezaji ??

MAONI YANGU: Kwa ubabaishaji huu inaonekana kabisa pale TFF na Bodi ya ligi hakuna watu wa mpira bali kuna waganga njaa na watafuta mkate wa kila siku huu ni muda sasa wa kuachana na wazee wasiotaka hata kujifunza namna gani dunia inakwenda katika mabadiliko ya mpira
 
kufuatia utumbo huu (mistakes) uliofanywa na TFF na Bodi ya ligi inaonesha dhahiri kabisa hakuna watu weledi na wanaojua uongozi wa mpira

kitu kama

1) kuamuru mechi ya fainali ya FA kuchezewa Zanzibar wakati mwanzo timu ya TFF ikiongozwa na Karia walikwenda kujiridhisha na kukagua uwanja na kuona kuwa unafaa na kuutangazia umma kuwa fainali itachezwa Manyara baada ya muda watu kuanza kuhoji akiwemo Haji Manara, TFF walijitokeza tena na kudai kuwa uwanja hauna usalama na mechi itachezwa zanzibar

2) Utengenezaji wa kanuni za mfungaji bora endapo Wafungaji watalingana magoli hapa TFF walibugi baada ya kujifungia ndani walikuja na kipengele endapo watalingana magoli basi kitaangaliwa nani aliyepiga penati nyingi na kama kuna mchezaji anapenati nyingi basi hatochukua kiatu, kipengele cha asist kimeachwa kabisa na mchezaji aliyecheza dakika chache mwisho wa siku imeonekana magoli ya penati siyo magli kabisa

3)Tuzo za wachezaji ndani ya msimu hili ndiyo shirikisho la mpira linalotoa tuzo msimu kwenye msimu mwingine hakika hapa wamebugi pakubwa sana baada ya kutangaza kuwa tuzo zitatolewa kwenye ufunguzi wa ngao ya jamii

swali je wachezaji wanaoachwa na timu au wanaosajliwa na timu za nje huko watapewa nauli na TFF ili kuja kuchukua tuzo zao?

je wachezaji wasipokuja kwenye tuzpo hizo mtawapiga faini kama mnavyowatishiaga wachezaji ??

MAONI YANGU: Kwa ubabaishaji huu inaonekana kabisa pale TFF na Bodi ya ligi hakuna watu wa mpira bali kuna waganga njaa na watafuta mkate wa kila siku huu ni muda sasa wa kuachana na wazee wasiotaka hata kujifunza namna gani dunia inakwenda katika mabadiliko ya mpira
Tukisema huwa mnaona tuna nongwa na Mmiliki wa TFF. Yeye alishafanya TFF kama Mali ya familia yake binafsi. Leo useme unatoa tuzo siku ya Ngao ya Jamii, tuseme Tshakei kashinda uchezaji Bora halafu June kasajiliwa na Far Rabat, mtamrudisha aje kwenye kitchen party yenu?
Pili, kanuni mlizotunga mwaka Jana zinasema tuzo zitatolewa ndani ya wiki baada ya fainali ya shirikisho na tuliona hili likitekelezwa mwaka Jana pale Tanga. Hii kanuni mmeifuta Kwa kikao gani?
 
kufuatia utumbo huu (mistakes) uliofanywa na TFF na Bodi ya ligi inaonesha dhahiri kabisa hakuna watu weledi na wanaojua uongozi wa mpira

kitu kama

1) kuamuru mechi ya fainali ya FA kuchezewa Zanzibar wakati mwanzo timu ya TFF ikiongozwa na Karia walikwenda kujiridhisha na kukagua uwanja na kuona kuwa unafaa na kuutangazia umma kuwa fainali itachezwa Manyara baada ya muda watu kuanza kuhoji akiwemo Haji Manara, TFF walijitokeza tena na kudai kuwa uwanja hauna usalama na mechi itachezwa zanzibar

2) Utengenezaji wa kanuni za mfungaji bora endapo Wafungaji watalingana magoli hapa TFF walibugi baada ya kujifungia ndani walikuja na kipengele endapo watalingana magoli basi kitaangaliwa nani aliyepiga penati nyingi na kama kuna mchezaji anapenati nyingi basi hatochukua kiatu, kipengele cha asist kimeachwa kabisa na mchezaji aliyecheza dakika chache mwisho wa siku imeonekana magoli ya penati siyo magli kabisa

3)Tuzo za wachezaji ndani ya msimu hili ndiyo shirikisho la mpira linalotoa tuzo msimu kwenye msimu mwingine hakika hapa wamebugi pakubwa sana baada ya kutangaza kuwa tuzo zitatolewa kwenye ufunguzi wa ngao ya jamii

swali je wachezaji wanaoachwa na timu au wanaosajliwa na timu za nje huko watapewa nauli na TFF ili kuja kuchukua tuzo zao?

je wachezaji wasipokuja kwenye tuzpo hizo mtawapiga faini kama mnavyowatishiaga wachezaji ??

MAONI YANGU: Kwa ubabaishaji huu inaonekana kabisa pale TFF na Bodi ya ligi hakuna watu wa mpira bali kuna waganga njaa na watafuta mkate wa kila siku huu ni muda sasa wa kuachana na wazee wasiotaka hata kujifunza namna gani dunia inakwenda katika mabadiliko ya mpira
Good thinking
 
kufuatia utumbo huu (mistakes) uliofanywa na TFF na Bodi ya ligi inaonesha dhahiri kabisa hakuna watu weledi na wanaojua uongozi wa mpira

kitu kama

1) kuamuru mechi ya fainali ya FA kuchezewa Zanzibar wakati mwanzo timu ya TFF ikiongozwa na Karia walikwenda kujiridhisha na kukagua uwanja na kuona kuwa unafaa na kuutangazia umma kuwa fainali itachezwa Manyara baada ya muda watu kuanza kuhoji akiwemo Haji Manara, TFF walijitokeza tena na kudai kuwa uwanja hauna usalama na mechi itachezwa zanzibar

2) Utengenezaji wa kanuni za mfungaji bora endapo Wafungaji watalingana magoli hapa TFF walibugi baada ya kujifungia ndani walikuja na kipengele endapo watalingana magoli basi kitaangaliwa nani aliyepiga penati nyingi na kama kuna mchezaji anapenati nyingi basi hatochukua kiatu, kipengele cha asist kimeachwa kabisa na mchezaji aliyecheza dakika chache mwisho wa siku imeonekana magoli ya penati siyo magli kabisa

3)Tuzo za wachezaji ndani ya msimu hili ndiyo shirikisho la mpira linalotoa tuzo msimu kwenye msimu mwingine hakika hapa wamebugi pakubwa sana baada ya kutangaza kuwa tuzo zitatolewa kwenye ufunguzi wa ngao ya jamii

swali je wachezaji wanaoachwa na timu au wanaosajliwa na timu za nje huko watapewa nauli na TFF ili kuja kuchukua tuzo zao?

je wachezaji wasipokuja kwenye tuzpo hizo mtawapiga faini kama mnavyowatishiaga wachezaji ??

MAONI YANGU: Kwa ubabaishaji huu inaonekana kabisa pale TFF na Bodi ya ligi hakuna watu wa mpira bali kuna waganga njaa na watafuta mkate wa kila siku huu ni muda sasa wa kuachana na wazee wasiotaka hata kujifunza namna gani dunia inakwenda katika mabadiliko ya mpira
Mpira wa tanzania wa wahuni tu mtu mmoja anamiliki timu tatu halafu ni kiongozi wa timu nyingine nje ya timu zake zenu mfadhili wa timu moja anafadhili timu 11 hapo kuna mpira au wahuni!
 
Kadri unavokuwa na tumbo kubwa ndivyo uwezo wa ubongo unavo pungua, huyu mzee nadhani anapitia hii changamoto.
 
Tatizo sio TFF Wala Bodi ya ligi Bali ni vilabu vinavyounda Bodi ya ligi vikiongozwa na Simba na yanga.
Tff imepoka madaraka ya Bodi ya ligi kuanzia kuajili watendaji ambao sio kazi yao, kuingia mikataba ambapo sio kazi yao na pia TFF inachukua asilimia 20 ya pesa za udhamini wakati inatakiwa kuchukua asilimia 10 lakini kwa sababu wao ndio wamemwajili mtendaji na viongozi wengine wako pale kulinda maslahi ya TFF.
 
Taasisi nyingi za Bongo zinaendeshwa na vilaza wakubwa.
Uratibu wa tuzo ni upupu mtupu, si muziki, soka wala fasihi.
 
Mpira wa tanzania wa wahuni tu mtu mmoja anamiliki timu tatu halafu ni kiongozi wa timu nyingine nje ya timu zake zenu mfadhili wa timu moja anafadhili timu 11 hapo kuna mpira au wahuni!
Hili hukuliona wala kulisemea kipindi MO anadhamini timu 3 na makolo wanabeba ubingwa misimu minne. Tulia uteseke
 
Back
Top Bottom