steveachi JF-Expert Member Joined Nov 7, 2011 Posts 10,643 Reaction score 12,247 May 30, 2024 #21 Kafuata maoni yenu kuhusu usalama wa uwanja mnalalamika. Asingefuata na yangetokea maafa si mngemla nyama. Hivi nyie wabongo malaika msio na mapungufu yoyote kama malaika mnataka nini?
Kafuata maoni yenu kuhusu usalama wa uwanja mnalalamika. Asingefuata na yangetokea maafa si mngemla nyama. Hivi nyie wabongo malaika msio na mapungufu yoyote kama malaika mnataka nini?