Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Unajua kusoma?Kumbe mlifungwa kwa makosa ya personal, kwanini hapo juu ulilalamikia fixture mgumu ndio iliyochangia kwa timu ya Simba kupoteza mechi. Tusimame na fixture au tusimame na makosa personal?
Wapi nimeandika fixture ngumu ndio sababu ya kupoteza mechi?