Extroverted Introvert
JF-Expert Member
- Aug 18, 2022
- 599
- 1,565
Kama tangia msimu unaanza simba yupo nyuma mechi moja, basi acha Yanga acheze kesho ili aendelee kuwa na mechi moja mbeleya simba.Mzee hujasoma ukaelewa au inawezekana hujafuatilia msimamo wa ligi. Simba huwa yupo nyuma kwa idadi ya mechi tokea mwaka jana kabla hata ya AFCON. Lakini pamoja na hilo bado Yanga anapangiwa ratiba ya idadi sawa za mechi na Simba. Na bado Azam nae wanamuendelezea kucheza mechi.
Unataka Azam wasimuendelezee mechi wakati hana ratiba za kimataifa.